Kuna matukio ya utekaji serikali kimya

Weka nyama utujize na sisi wa huku Mbwinde. Usiandike kana kwamba wote tuko Dar jirani na waliotekwa.
subiri kuna mambo ya kishenzi yanaendelea tz kuna kitu kinafanyika watu wa ndani wanatumika na $$%
 
Kila wiki kuna utekaji vijana dar serikali kimya rais kimya tupeleke kesi ICC
Kama aliyekuwa mkuu wa genge la utekaji lililoasisiwa na yule mwovu amerudi kwenye mfumo unategemea nini? Bashite atamaliza watu kama alivyofanya awamu ya mwendazake
 
Kila wiki kuna utekaji vijana dar serikali kimya rais kimya tupeleke kesi ICC
ICC wanataka ushahidi, unao? Labda upeleke malalamiko Ubalozi wa Marekani, wao wana watu wao nchini wa kuwapa ushahidi. Ushahidi wa Makonda wa kuwanyima watu haki ya kuishi wote wanao.
 
Kama aliyekuwa mkuu wa genge la utekaji lililoasisiwa na yule mwovu amerudi kwenye mfumo unategemea nini? Bashite atamaliza watu kama alivyofanya awamu ya mwendazake
Toa ushahidi mkuu na upeleke mahakamani, la huna, kaa kimya
 
Back
Top Bottom