900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 5,911
- 6,375
alikuwa na roho mbaya sanaJiwe bhana...
alikuwa na roho mbaya sanaJiwe bhana...
tofautisha majukumu ya nesi na dokta, nesi huwa karibu na mgonjwa mda wote kuliko dokta,huenda nesi hakutoa mwanya wa wahuni kufanya yaoSasa mbona hajafukuzwa Dr mponda afukuzwe nesi?
Kama madai ni kuwa alimsaidia si angefukuzwa Dr atafukuzwaje nesi?
Aloo, Rose kama roseHuyu nesi anaitwa Rose mat.ko kwa utani sema mwanaharakati sana.
Wakati anapata huduma JF ilikuwa live hatukuwahi kusikia haya...huyo nesi atakuwa mkorofi kwani ni jambo gumu kufukuzwa kwenye utumishi wa ummaNa vipi kama madaktari walimpa maagizo akakiuka? Uwe na fikra pana usijifungie upande mmoja.
anaitwa nani?halafu daktari mtaalamu wa dawa za usingizi ni mpoki ....hivi Dr mpoki ameachishwa kazi lini???Maelezo yanasema yule Daktari mtaalam wa dawa za usingizi, yeye aliachichwa kazi baada ya siku si nyingi baada ya tukio lile..
Bila shaka alipewaga maelekezo ya kumpa "usingizi feki" mgonjwa ili afe akakataa. Gharama yake ni kupoteza kazi yake..
Yule mtu (Magufuli) na mbwa wake kina Makonda, Ndugai walikuwa watu hatari sana..
sahihi yule mama hakuwepo kwenye mission ,Lisu alifikishwa kama wagonjwa wengine hivyo alisimama huyo mama kusaidia serikali na ukumbuke lisu alikuwa mbunge , ngoja tuone mwisho wa hilijamboKwa kifupi ile mission yao waliichonga kizembe sana. Hawakufikiria endapo hata kufa papo hapo na kama angefikishwa hospital.
Laiti wangefikiria hivyo wangekuwa washaseti watu wa kummalizia huko Hospital kwa huduma za kimchongo.
Walipofeli wakaishia kuadhibu ambao hawana hatia. UFEDHULI SANA.
Shujaa?Mmmhhhh! Aliyemtimua yuko wapi? Dunia tunapita, fanya yako pita hivi, mambo ya kufatiliana ni ushamba. Jamaa alifanya ushamba sana kumtimua huyu nurse.
Inasikitisha sanaKimsingi bibie alitafutiwa pakifukuziwa ,alihamishwa kwenda hospitali ya mirembe kutoka regional referral hospital
Mkurugezi wapale mirembe aka anza kumwomba mbwimbwi ,demu akachomoa akanza kuumwa miguu kosa akaomba ruhusa kwenda kutibiwa muhimbili akageuziwa kibao ntoro ,mpaka leo yuko home
Hakuna hiyo, huwezi kupatanishwa na Shetani, Dawa ni kulipa kisasi tu, na wala hakuna popote kwenye vitabu vya Mungu Palipoandikwa kupatanishwa na ShetaniNadhani tunahitaji tume ya Upatanishi
HakikaNadhani tunahitaji tume ya Upatanishi
Wewe ni mjinga sana!Wakati anapata huduma JF ilikuwa live hatukuwahi kusikia haya...huyo nesi atakuwa mkorofi kwani ni jambo gumu kufukuzwa kwenye utumishi wa umma
Nadhani any one with an inquisitive mind atauliza swali nililouliza sababu bila kuweka sababu ya kufukuzwa habari hii ina ambiguity na inaweza ikawa misrepresented..., sababu kutenda kwake mema once hakumpi leeway ya kutoka kwenye reli kesho au kumpa kinga dhidi ya kufukuzwa kama atetenda tofauti na ajira yake inavyotaka..., Kwahio narudia tena officially walisema wanamfukuza kwa kosa gani ?Hivi hata kama huna akili, unadhani wanaweza kusema hivyo?
Amepata fupa la kua kiongozi wa malaika kama alivyojitabiriaMAGUFULI MAGUFULI huko uliko MUNGU atajua cha kukufanya
Wewe hoja yako ipo wapi? Lissu alihudumiwa na nesi peke yake bila madaktari?yani team yote ya wataalam iachwe,afukuzwe yeye peke yake?Huna hoja