Kumbe Nesi aliyeokoa Uhai wa Lissu Dodoma Hospital alifukuzwa kazi, Akutana na Tundu Lissu kuomba Msaada wa Kisheria

Kwani nilichoandika ni Uwongo?

Wewe unaonaje?

Lissu hakupigwa Risasi?

Wewe unafikirije? Alipigwa mawe?

Lissu hana matundu ya Risasi?
Wewe unadhani ana matundu ya sindano ya risasi?

Kwani ni uwongo kwamba wahanga wanaopigwa Risasi n.k wanafanya "Exposure Therapy" ikiwa na pamoja na kwenda kwenye eneo la tukio
Ni hakika unalitumia hili neno "exposure therapy" kijinga tu kujaribu ku-manipulate akili za wajinga wachache for political purposes. Na nani kakuambia kuwa kila muhanga wa kupigwa risasi hufanya hiyo therapy? Vipi aliyekufa?

amd kama anavyofanya Lissu kuonana na nesi ama kuliangalia gari alimo rindimwa na risasi? Unabisha nini?

Si ni gari lake? Ulitaka nani aende kuliangalia na kulichukua gari? How that is related to what you call "exposure therapy?"

Ha ha. Personal opinions that are backed up with scientific evidence.

Scientific evidence my foot!

Lissu ni dhahiri anapitia kipindi kigumu, na hiyo haina maana kwamba nashrehekea, lakini ukweli unabakia pale pale. He is suffering from presumeably PTSD -na ni lazima afanyiwe therapy. That is how ataponyeka kisaikillojia.
The opposite is the truth..

Nakuuliza tena: Kwa akili na ufahamu wako na ukimuuliza mtu yeyote mwenye utimamu wa akili zake anaweza kukuambia Tundu Lissu ana tatizo la kisaikolojia kwa tukio lile? Huyu Tundu Lissu wa baada ya kumiminiwa risasi ana tofauti gani na Tundu Lissu yule wa kabla ya risasi?

Huyu Tundu Lissu wa sasa is far better, intelligent and fierce kuliko yule wa kabla. Ushahidi ni uwezo wake wa kujenga hoja dhidi ya wajinga kama nyie kiasi cha kushindwa kujibu na badala yake mnaanza kuokoteza terminologies za kisayansi kujaribu ku - manipulate ufahamu na akili za watu wenye akili na werevu kama sisi..

Hamuwezi. We are in new different era of knowledge & understanding..

To make it short ni kuwa, Wewe na wenzako huko CCM mliompiga huyu mtu risasi kwa kusudi la kumuua lakini mkashindwa ndio mnaumwa hiyo the so called "presumably PTSD" for the reason that, your evil mission was unaccomplished. And this surprised you hence leaving you in a mental psychological shock..

Ndiyo maana mkuu wa mission hiyo (John Pombe Magufuli) alikufa mysterious death. Mwingine (Job Ndugai) akapoteza uspika wake kipumbavu tu. Na wengine kama nduguyo Paul Makonda na wewe mko kwenye psychological trauma kwa sababu ya tukio hilo la kishenzi na kinyama kushindikana..
 
Aliyesimamia zoezi la kuondoa cctv camera ni Kalemani na ndiye alitoa gari lilotumiwa na bashite na wauaji wenzake gari lilikuwa la Tanesco na walipofika Morogoro wakalitia kiberiti kufuta ushahidi wakaondoka.na gari lingene kurudi Dar es Salaam wakiamini kuwa wameshamuua Lissu. Kalemani ipo siku ata face huu muziki ndiyo maana siku hizi anaongea peke yake kama chizi fresh fulani hivi.
Natamani Siku nione bashite na lissu wakisalimiana, wakipeana mikono, wakiangaliana usoni....kwa dakika moja!
 
Mbowe ndiye aliratibu mauaji ya lisu
Wewe unaona hili?

Cha ajabu baba na babu zako huko CCM hawaoni hili..

Laiti wangeliona hili, ile kesi ya "ugaidi wa Mbowe" wa kutengenezwa Lumumba ingeweza kirahisi kuwa "attempted murder" kwa Tundu Lissu ili mpate sababu ya kumpoteza Freeman Mbowe..

Kwa kufikiria na kuandika tu hiki, it shows how ignorant and stupid you are mr/miss/mrs Mudawote...!!
 
The opposite is the truth..

Nakuuliza tena: Kwa akili na ufahamu wako na ukimuuliza mtu yeyote mwenye utimamu wa akili zake anaweza kukuambia Tundu Lissu ana tatizo la kisaikolojia kwa tukio lile? Huyu Tundu Lissu wa baada ya kumiminiwa risasi ana tofauti gani na Tundu Lissu yule wa kabla ya risasi?

Huyu Tundu Lissu wa sasa is far better, intelligent and fierce kuliko yule wa kabla. Ushahidi ni uwezo wake wa kujenga hoja dhidi ya wajinga kama nyie kiasi cha kushindwa kujibu na badala yake mnaanza kuokoteza terminologies za kisayansi kujaribu ku - manipulate ufahamu na akili za watu wenye akili na werevu kama sisi..

Hamuwezi. We are in new different era of knowledge & understanding..

To make it short ni kuwa, Wewe na wenzako huko CCM mliompiga huyu mtu risasi kwa kusudi la kumuua lakini mkashindwa ndio mnaumwa hiyo the so called "presumably PTSD" for the reason that, your evil mission was unaccomplished. And this surprised you hence leaving you in a mental psychological shock..

Ndiyo maana mkuu wa mission hiyo (John Pombe Magufuli) alikufa mysterious death. Mwingine (Job Ndugai) akapoteza uspika wake kipumbavu tu. Na wengine kama nduguyo Paul Makonda na wewe mko kwenye psychological trauma kwa sababu ya tukio hilo la kishenzi na kinyama kushindikana..
Daaah
 
Matanzania hayana akili, afukuzwe nurse anayesukuma machela halafu dokta aachwe.

Siasa za kimbumbumbu
 
The opposite is the truth..
Which truth? Yale anayosema Lissu kuwa ni "Alternative truth"? Give me a break.
Nakuuliza tena: Kwa akili na ufahamu wako na ukimuuliza mtu yeyote mwenye utimamu wa akili zake anaweza kukuambia Tundu Lissu ana tatizo la kisaikolojia kwa tukio lile?
Hakuna mtu yeyote yule amabaye anapitia trauma kama ya Lissu asiwe na some form of a psychological problem. Hakuna. Again sijui unapinga nini kwa kweli.

Huyu Tundu Lissu wa baada ya kumiminiwa risasi ana tofauti gani na Tundu Lissu yule wa kabla ya risasi?
Ana visible scars. Ana matundu ya risasi, hivi unafikiri atakuwa sawa Psychologically Kila akiamka na vyuma vyake vile.? C'mon. Watoto wanaopigwa na ndala tu wanafanyiwa therapy, itakuwa kupigwa risasi?
Huyu Tundu Lissu wa sasa is far better, intelligent and fierce kuliko yule wa kabla.
Sasa ni nani anayesema he is not Intelligent? or Fierce? Tena, umesisitiza Fierce. and by any definition being fierce means he is hostile, aggressive in temeperament and that my brother is a manifestation of of PTSD; heightened irritability, angry outbusrts-These reaction are due to the trauma he has experienced. Sasa kusema kwa sababu alikuwa hivyo kabla ya tukio haina maana he did not sufer any psychollogical trauma.
Ushahidi ni uwezo wake wa kujenga hoja

dhidi ya wajinga kama nyie kiasi cha kushindwa kujibu na badala yake mnaanza kuokoteza terminologies za kisayansi kujaribu ku - manipulate ufahamu na akili za watu wenye akili na werevu kama sisi..
😂😂😂😂 Kati ya mada na nilichokisema kipi kina manipulate.
Hamuwezi. We are in new different era of knowledge & understanding..
Dystopian!
To make it short ni kuwa, Wewe na wenzako huko CCM mliompiga huyu mtu risasi kwa kusudi la kumuua lakini mkashindwa ndio mnaumwa hiyo the so called "presumably PTSD" for the reason that, your evil mission was unaccomplished. And this surprised you hence leaving you in a mental psychological shock..
Kwa ushahidi upi huo?
Ndiyo maana mkuu wa mission hiyo (John Pombe Magufuli) alikufa mysterious death.
Ndio maana tunataka Uchunguzi. Manake hamueleweki. mara Covid, Mara Mungu, ...hapao nitakuunga mkono hoja. Uchunguzi ufanyike tuone kama CHADEMA watakosekana. Itoshe, walikiri "walitengeneza mazingira" Msijifiche kwenye maridhiano ambayo Lissu amyeakataa kwa sababu anataka ajue ukweli, including ya wale waliosuka na kushirikiana ndani ya CHADEMA. Dereva yupo wapi?
Mwingine (Job Ndugai) akapoteza uspika wake kipumbavu tu. Na wengine kama nduguyo Paul Makonda na wewe mko kwenye psychological trauma kwa sababu ya tukio hilo la kishenzi na kinyama kushindikana..
☝🏿 Samahani, lakini hizo juu ni porojo. Haihusiani na nilichokisema ama kuhusiana na mada.
 
Bila ya kuondoa jitihada za medics huko hospitalini.

Mtu pekee aliempa Lissu nafasi ya kuweza kupambania maisha yake ni ‘Dr Tulia Ackson’ mara baada ya tukio; alitoa gari la na kuagiza dereva wake amkimbize hospitali.

Bila ya maamuzi ya haraka ya Dr Ackson chances kubwa Lissu tusingekuwa nae leo. Mpaka leo ajatoa shukran kwa speaker wala dereva wake na ndio waliompa nafasi ya kupambana hakuwa na msaada mwingine.

Waswahili wanasema tenda wema nenda zako. Huyu nurse ana mlaghai tu baada ya kufika Dodoma Lissu alikuwa chini ya madokta mpaka anaondoka.

..Lissu amesema alikimbizwa hospitali na Dada binti wa Naibu Spika wa zamani Juma Jamal Akukweti.

..Wakati wa shambulizi binti Akukweti alikuwa ameajiriwa na Dr.Tulia.

..kingine ambacho Lissu ameeleza ni kwamba, kabla hajaajiriwa na Dr.Tulia, Binti Akukweti aliwahi kuajiriwa na Lissu.

..maelezo ya Lissu ni kwamba baada ya shambulizi lile Dada msaidizi wa nyumbani kwake, na dereva, ndio waliomuomba Binti Akukweti asaidie kumkimbiza bosi wake wa zamani Dodoma Hospital.

..Maelezo ya uhakika zaidi na majina ya waliohusika kumtoa Lissu toka area D kumpeleka Dodoma Hospital unaweza kuyasikiliza ktk hotuba yake ya ufunguzi wa kampeni za 2020 Mbagala Zakhem.
 
The opposite is the truth..

Nakuuliza tena: Kwa akili na ufahamu wako na ukimuuliza mtu yeyote mwenye utimamu wa akili zake anaweza kukuambia Tundu Lissu ana tatizo la kisaikolojia kwa tukio lile? Huyu Tundu Lissu wa baada ya kumiminiwa risasi ana tofauti gani na Tundu Lissu yule wa kabla ya risasi?

Huyu Tundu Lissu wa sasa is far better, intelligent and fierce kuliko yule wa kabla. Ushahidi ni uwezo wake wa kujenga hoja dhidi ya wajinga kama nyie kiasi cha kushindwa kujibu na badala yake mnaanza kuokoteza terminologies za kisayansi kujaribu ku - manipulate ufahamu na akili za watu wenye akili na werevu kama sisi..

Hamuwezi. We are in new different era of knowledge & understanding..

To make it short ni kuwa, Wewe na wenzako huko CCM mliompiga huyu mtu risasi kwa kusudi la kumuua lakini mkashindwa ndio mnaumwa hiyo the so called "presumably PTSD" for the reason that, your evil mission was unaccomplished. And this surprised you hence leaving you in a mental psychological shock..

Ndiyo maana mkuu wa mission hiyo (John Pombe Magufuli) alikufa mysterious death. Mwingine (Job Ndugai) akapoteza uspika wake kipumbavu tu. Na wengine kama nduguyo Paul Makonda na wewe mko kwenye psychological trauma kwa sababu ya tukio hilo la kishenzi na kinyama kushindikana..
Kweli kabisa

Huyo mama naLisu wamkutana msibani au ilipangwa


Kama kweli imekuwa msibani huyo mama aambiwe aingie chadema ili 2025 agombee viti maalum ndani ya chama nachama kimteue kuapishwa tume awe mbunge , ila kuanzia sasa awe na tundulisu kilasehemu kwenye mikutano na aseme ukweli

Kwasababu baada ya dereva wa lisu ,namba mbili ni huyo mama
 
..Lissu amesema alikimbizwa hospitali na Dada binti wa Naibu Spika wa zamani Binti Akukweti.

..Wakati wa shambulizi binti Akukweti alikuwa ameajiriwa na Dr.Tulia.

..kingine ambacho Lissu ameeleza ni kwamba, kabla hajaajiriwa na Dr.Tulia, Binti Akukweti aliwahi kuajiriwa na Lissu.

..maelezo ya Lissu ni kwamba baada ya shambulizi lile Dada msaidizi wa nyumbani kwake, na dereva, ndio waliomuomba Binti Akukweti asaidie kumkimbiza bosi wake wa zamani Dodoma Hospital.

..Maelezo ya uhakika zaidi na majina ya waliohusika kumtoa Lissu toka area D kumpeleka Dodoma Hospital unaweza kuyasikiliza ktk hotuba yake ya ufunguzi wa kampeni za 2020 Mbagala Zakhem.
Sawa tu ,huyu mama alizuia damu zalisu kuisha mwilini ,kwa kutoa huduma yakwanza nakutundikia drip zadamu
 
Wewe ndie ulimpeleka Lissu hospitali baada ya tukio? Au alifikaje huko.

Hivi wewe unadhani risasi alizocharazwa damu aliyokuwa anapoteza ya kitoto, huko hospitali kwenyewe pamoja na kuwaishwa mara baada ya Tukio kapokea chupa kede-kede na kasafiri na machupa ya damu.

Kwenye kichwa chako unadhani bila ya speaker kutoa gari yake angebaki na damu ya kuzungusha moyo.

Mtu pekee aliekuwa kwenye eneo tena ndani kwake na kukimbia nje baada ya tukio alikuwa speaker ndio anakuta Lissu hana msaada wowote yeye akaagiza dereva wake achukue gari amkimbize hospitali na kumpa nafasi ya kupigania uhai wake.

Speaker ndio kiungo muhimu kwenye kuokoa maisha ya Lissu, bila ya intervention zake probability za uhai wake zingekuwa ndogo sana hakuwa na msaada mwingine zaidi yake.

Muwe na shukran, sasa camera zinahusiana vipi na maamuzi yake. Si angeuchuna tu na camera akatoa.

..kama Naibu Spika alikuwepo area D, WALINZI wake walikuwa wapi wakati Lissu anashambuliwa? Walichukua hatua gani?

Cc Erythrocyte
 
chadema hiki mnachokifanya sio siasa wallah..

chuki mnazopandikiza kwa raia juu ya serikali makini kipindi hiki cha mama yetu kipenzi cha wanyomge hakika zina mwisho
Jibu hoja.
Usimtaje rais hata ambapo hahusiki.
Samia hahusiki na kupigwa risasi kwa Lissu.
 
Wewe ndiye mwenye shida ya UELEWA na UFAHAMU..

Mungu hutumia wanadamu kusaidia wengine ktk kila eneo la huduma alilomweka mwanadamu huyo..

Kusema "huyu mama kwa kushirikiana na wenzake aliokoa uhai wa Tundu Lissu", logically ina maana Mungu alitia moyo na uwezo wake wake kwa hawa watu kuokoa maisha ya huyu mwamba - Tundu Lissu..

Hata Musa ndiye aliyekwenda Misri kuwakoa wana wa Misri kwa sababu mkono wa Mungu na nguvu zake zilikuwa pamoja naye ndani yake..

Vivyo hivyo kwa Gidioni ndiye aliyewaokoa wana wa Israel ndidi ya Wamidiani waliokuwa wanawanyanyasa na kuwaonea Waisrael..

Hakuna lugha ya namna hiyo unayotaka wewe itumike. Ila ukitaka kurefusha sentensi unaweza kwenda mpaka huko...
Asipoelewa hapa atakuwa ana shida
 
..kama Naibu Spika alikuwepo area D, WALINZI wake walikuwa wapi wakati Lissu anashambuliwa? Walichukua hatua gani?

Cc Erythrocyte
Tenda wema nenda zako, huyo Akukweti ana gari yake.

Bila ya speaker ‘Hypovolemic Shock’ aikuwa mbali na Lissu.

Mengine ni kukosa Shukran tu.
 
Nikusahihishe kidogo shirika la ndege toka kenya walihitaji 28K US$ na chadema haikuwa na cash in US$s ikumbukwe dollar zilikuwa zimezuiliwa na serikal ndipo mbunge wa jimbo la mpendae Zanzibar nafanya biashara Salum Turki akatoa hizo fedha jambo hili lilimuudhi aliyetangulia ndipo TRA wakatumwa kwenda kumpa Ankara za kodi kiasi cha Bil. 200 kwamba anakwepa kodi jamaa akapata mshituko wa moyo na hakupona ili kuua soo mwanawe akapewa jimbo la babake kama ilivyokuwa kwa Dr. Mgimwa
Magu aliamua mwenyewe kujitwisha mzigo mzito, huko kimara mbezi alivunjia watu maelfu kwa maelfu nyumba zao bila hata kuwapa fidia kama hata ingewezakana kuwapa maeneo wakapeleke vitu vyao huko wakaanze maisha.

Wengi wao walikuwa ni wazee ambao wapo tangu miaka ya 70 washastaafu waliishia kutanga tanga bila kujua hatima yao na zaidi ya nusu wamehangaika tena kwa fedhea hadi umauti umewakuta.

Wazee wengine wamekuwa wapangaji wanapambana hadi leo kudai haki zao, ukiwaza manung'uniko ya raia kama hawa kwake ilikuwa ni mzigo tosha ambao kuubeba ni kazi kubwa.
 
Huyo mama naLisu wamkutana msibani au ilipangwa

It doesn't matter wamekutana wapi na kwa namna gani; Haijalishi kama ilipangwa au walitafutana. Muhimu ni kuthibitisha hizo tuhuma dhidi ya serikali ni za kweli au uongo..

Ila inavyoelekea huyu mama baada ya madhira yaliyompata ya kufukuzwa kazi kionevu na kunyimwa haki zake hata baada ya kutumia njia zote halali kufuatilia, yeye ndiye katafuta kila njia kumpata Tundu Lissu ili amweleze alichomweleza na kuona njia ya kumsaidia kisheria kupata haki zake hizo..

All in all, cha muhimu ni kuwa Tundu Lissu amekutana naye na ametumia muda huo na fursa hiyo kumshukuru kwa ushiriki wake kuokoa maisha yake...

Inashangaza kuona kuwa watu wengine hususani wa upande ule wa pili (wale wa kijani) wamekuwa shocked sana na tukio hili...

Na ili kujaribu kuzima athari zake kisiasa wanakuja na theories nyingi zilizojaa propaganda nyingi kiasi cha kudai huyu mama eti anaichafua serikali..

Mtu anadai haki yake na ametumia njia zote na mifumo yote halali ya kiserikali ili apate haki zake bila mafanikio, afanyeje zaidi?
 
Back
Top Bottom