Kukumbatiwa kunaa faida hizi

Mr Alpha

JF-Expert Member
Jul 31, 2018
218
595
WANAUME
•Wanaume hujisikia salama
•Husaidia kushuka chini wakiwa na hasira
•Hujisikia ana rafiki wa kweli
•Hujisikia kupendwa
•Hujisikia ni mali yake
•Ni nafasi na kutoa na kupokea upendo
•Kusikia joto la upendo

SABABU ZINAZOFANYA WANAWAKE WAWE WANAPENDA KUKUMBATIWA NA WENZA WAO
•Inawafanya kujisikia kupendwa
•Hujisikia wameunganishwa na kuwa karibu zaidi
•Hujisikia salama
•Ni dawa kisaikolojia
•Hujisikia joto la upendo
•Hujisikia kulindwa
•Hufarijika na kujiona mwanaume anamjali
•Hujisikia vizuri miili kugusana na kujisia mtu muhimu.

Pia Mwanamke anapokumbatiwa anapokua Ana hofu au kakasirika hujikuta anarejea kua sawa kutokana na kujiona kuwa yupo sehem salama , mapigo ya moyo hushuka na presha kutulia.

Usiache kumkumbatia mwenza wako anapokua katika NYAKATI za hofu na mashaka.

Usiku pia niwakati mzuri wakukumbatiana.
 
WANAUME
•Wanaume hujisikia salama
•Husaidia kushuka chini wakiwa na hasira
•Hujisikia ana rafiki wa kweli
•Hujisikia kupendwa
•Hujisikia ni mali yake
•Ni nafasi na kutoa na kupokea upendo
•Kusikia joto la upendo

SABABU ZINAZOFANYA WANAWAKE WAWE WANAPENDA KUKUMBATIWA NA WENZA WAO
•Inawafanya kujisikia kupendwa
•Hujisikia wameunganishwa na kuwa karibu zaidi
•Hujisikia salama
•Ni dawa kisaikolojia
•Hujisikia joto la upendo
•Hujisikia kulindwa
•Hufarijika na kujiona mwanaume anamjali
•Hujisikia vizuri miili kugusana na kujisia mtu muhimu.

Pia Mwanamke anapokumbatiwa anapokua Ana hofu au kakasirika hujikuta anarejea kua sawa kutokana na kujiona kuwa yupo sehem salama , mapigo ya moyo hushuka na presha kutulia.

Usiache kumkumbatia mwenza wako anapokua katika NYAKATI za hofu na mashaka.

Usiku pia niwakati mzuri wakukumbatiana.
Kwa afrika hasa Tanzania hizi ni ngojera tu ukitaka nihisi ni wangu we fungua kipochi manyoya tu

Hizi kumbatio tuwaachie wazungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom