Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 nini kifanyike ili uchaguzi uwe huru na wa haki

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
485
913
Jana kulikuwa na malumbano ya hoja juu ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Washiriki wengi walitoa hoja za maana sana kwa mfano

(1) Wananchi wengi hawana uelewa na uchaguzi huu hivyo kuwe na eliimu ya kutosha.
(2) Mpaka sasa Wizara husika haijatunga kanuni za kuendesha uchaguzi huu na bado miezi minne tu kufanyike uchaguzi.
(3) Vyama vya siasa havijashirikishwa kwenye taratibuzote za uchaguzi huu.
(4) Kwenye Katiba inasema KUTAKUWA NA TUME YA UCHAGUZI na kwenye mabadiliko ya sheria inasema KUTAKUWA NA TUME HURU YA UCHAGUZI sasa kipi kichukuliwe kuwa ni sahihi.

Je, ni Katiba au sheria? Washiriki walishauri kuwa mabadiliko ya katiba yangefanyika kwanza ndo sheria itungwe. Walisisitiza kuwa kuna kosa. Pamoja na majadiliano ya jana basi ni vema kanuni inayoongoza uchaguzi tayari ingekwisha toka na kusambazwa kwa wananchi.
 
Jana kulikuwa na malumbano ya hoja juu ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Washiriki wengi walitoa hoja za maana sana kwa mfano

(1) Wananchi wengi hawana uelewa na uchaguzi huu hivyo kuwe na eliimu ya kutosha.
(2) Mpaka sasa Wizara husika haijatunga kanuni za kuendesha uchaguzi huu na bado miezi minne tu kufanyike uchaguzi.
(3) Vyama vya siasa havijashirikishwa kwenye taratibuzote za uchaguzi huu.
(4) Kwenye Katiba inasema KUTAKUWA NA TUME YA UCHAGUZI na kwenye mabadiliko ya sheria inasema KUTAKUWA NA TUME HURU YA UCHAGUZI sasa kipi kichukuliwe kuwa ni sahihi.

Je, ni Katiba au sheria? Washiriki walishauri kuwa mabadiliko ya katiba yangefanyika kwanza ndo sheria itungwe. Walisisitiza kuwa kuna kosa. Pamoja na majadiliano ya jana basi ni vema kanuni inayoongoza uchaguzi tayari ingekwisha toka na kusambazwa kwa wananchi.
Nimetoa hoja kama hii mara mbili, Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana! kisha

Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?
Sheria ya uchaguzi wa serikali za mitaa, imefutwa na sheria mpya ya uchaguzi, bila ya sheria mbadala!. The best way forward uchaguzi ufanyewe siku moja na uchaguzi mkuu!.
P
 
Jana kulikuwa na malumbano ya hoja juu ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Washiriki wengi walitoa hoja za maana sana kwa mfano

(1) Wananchi wengi hawana uelewa na uchaguzi huu hivyo kuwe na eliimu ya kutosha.
(2) Mpaka sasa Wizara husika haijatunga kanuni za kuendesha uchaguzi huu na bado miezi minne tu kufanyike uchaguzi.
(3) Vyama vya siasa havijashirikishwa kwenye taratibuzote za uchaguzi huu.
(4) Kwenye Katiba inasema KUTAKUWA NA TUME YA UCHAGUZI na kwenye mabadiliko ya sheria inasema KUTAKUWA NA TUME HURU YA UCHAGUZI sasa kipi kichukuliwe kuwa ni sahihi.

Je, ni Katiba au sheria? Washiriki walishauri kuwa mabadiliko ya katiba yangefanyika kwanza ndo sheria itungwe. Walisisitiza kuwa kuna kosa. Pamoja na majadiliano ya jana basi ni vema kanuni inayoongoza uchaguzi tayari ingekwisha toka na kusambazwa kwa wananchi.
1. Kubadilisha Katiba ya nchi iliyopo pamoja na Sheria zingine zote zilizopo hivi sasa (Total Regime overhaul).
2. Elimu sahihi na iliyo Bora
 
Jana kulikuwa na malumbano ya hoja juu ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Washiriki wengi walitoa hoja za maana sana kwa mfano

(1) Wananchi wengi hawana uelewa na uchaguzi huu hivyo kuwe na eliimu ya kutosha.
(2) Mpaka sasa Wizara husika haijatunga kanuni za kuendesha uchaguzi huu na bado miezi minne tu kufanyike uchaguzi.
(3) Vyama vya siasa havijashirikishwa kwenye taratibuzote za uchaguzi huu.
(4) Kwenye Katiba inasema KUTAKUWA NA TUME YA UCHAGUZI na kwenye mabadiliko ya sheria inasema KUTAKUWA NA TUME HURU YA UCHAGUZI sasa kipi kichukuliwe kuwa ni sahihi.

Je, ni Katiba au sheria? Washiriki walishauri kuwa mabadiliko ya katiba yangefanyika kwanza ndo sheria itungwe. Walisisitiza kuwa kuna kosa. Pamoja na majadiliano ya jana basi ni vema kanuni inayoongoza uchaguzi tayari ingekwisha toka na kusambazwa kwa wananchi.
Changamoto ipo kwa wale waliopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa masilahi binafsi kwakulitumikia kundi Fulani, kujipendekeza na uoga wa viongozi wao
 
Kupiga kura kwa mazingira ya sasa ni matumizi mabaya ya muda na akili.
Sahihi kabisa, yaani mtu unayejitambua ukasimame kwenye mstari wa kura juani, kisha mshindi anatangazwa kwa maagizo ya ccm nyuma ya pazia. Ujinga huo tulioufanya kwa miaka 30+ kwa sasa umefika mwisho. Uchaguzi wa 2019-20 Magufuli alikuja kuweka mpaka wa kuendelea kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi kwa mazingira haya haya. Njia ya machafuko tu ndio huwa lugha inayoeleweka kwa walafi wa madaraka.
 
Jana kulikuwa na malumbano ya hoja juu ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Washiriki wengi walitoa hoja za maana sana kwa mfano

(1) Wananchi wengi hawana uelewa na uchaguzi huu hivyo kuwe na eliimu ya kutosha.
(2) Mpaka sasa Wizara husika haijatunga kanuni za kuendesha uchaguzi huu na bado miezi minne tu kufanyike uchaguzi.
(3) Vyama vya siasa havijashirikishwa kwenye taratibuzote za uchaguzi huu.
(4) Kwenye Katiba inasema KUTAKUWA NA TUME YA UCHAGUZI na kwenye mabadiliko ya sheria inasema KUTAKUWA NA TUME HURU YA UCHAGUZI sasa kipi kichukuliwe kuwa ni sahihi.

Je, ni Katiba au sheria? Washiriki walishauri kuwa mabadiliko ya katiba yangefanyika kwanza ndo sheria itungwe. Walisisitiza kuwa kuna kosa. Pamoja na majadiliano ya jana basi ni vema kanuni inayoongoza uchaguzi tayari ingekwisha toka na kusambazwa kwa wananchi.
Hakuna huru na haki kwenye chaguzi zeru!

Bali makubaliano TU kati.y chama tawala na wapinzani!

Ndio maana wapinzani wanaenda ikulu maana yake kuelewana majimbo ya kuachiana!!

Katiba mpya pekee ndio.ina uwezo huo wa kuhakikisha huru na haki inapatikana !sio Kwa katiba iliyopo!
 
Kwa kutumia Katiba ipi na Sheria zipi za nchi hii? Kwa kutumia Government Machinery zipi za kuaminika ambazo Wananchi wote watakuwa na imani nazo???
Kwakutumia,(un working government machineries) yaani kwakumia mifumo inao hitaji watu kuahirisha kufikiri,(suspending their individual reasoning)
 
Machafuko au mapinduzi ya kijeshi pekee ndio yatatoa hapa tulipo. Kinyume na hapo kutakuwa ni mikutano ya kupotezeana muda tu.
Tindo mapinduzi ya kijeshi hayajawahi kuwa na manufaa kwa raia popote duniani.

Labda kama mmechoka kuishi kama raia huru.
 
Tume ivunjwe, sheria ibadilike mwenyekiti na watu wake wasichaguliwe / kuteuliwa na Rais.
 
Back
Top Bottom