Kitendo cha Mwijaku kumshikashika miguu mke wa mtu na kuweka kwenye Facebook yake siyo maadili wengi tumeumia sana.

The Stress Challengerr

JF-Expert Member
Jan 18, 2020
2,584
7,015
Inakuwaje Wanajamvi!

Influencer/Mhamasishaji na mchekeshaji maarufu nchini Mwijaku amefanya jambo ambalo siyo sahihi na kinyume na maadili kwa kumshikashika miguu inayovutia na inayotamanisha mwanadada mrembo na mjasiriamali alipokuwa akimtangazia biashara yake ya nguo na viatu na kuweka video kwenye ukurasa wake wa Facebook. Ikumbukwe huyo mrembo ni mke wa mtu. Wadau tumesikitika na kuumia sana wengine tukimuonea wivu na husda Mwijaku.

20240510_225612.jpg
20240510_225737.jpg
20240510_225837.jpg
20240510_230008.jpg

 

Attachments

  • 20240510_225811.jpg
    20240510_225811.jpg
    423.1 KB · Views: 7
HUYO DEMU UNAMJUA KWANZA

ANAITWA HAFSA ANAUZA NGUO HANA MUME HUYO LABDA ANA MTU WAKE SOMWHERE WA KUMPIGA PESA MADEM WA KARIAKOO HAO WANAJUA KUITAFUTA HELA HAO KUWAFUGA NDANI UWAITE MKE SAHAU
Ila maamae toto zuri balaa. Dah lina miguu mikaree mwijaku kujifanya chizi linafaidi kwelikweli. Ningekuwa gavana BOT namhonga 2% ya bajet ya nchi. Bora mitanzania kama kina adriz ife na njaa lakini madem wakali kama hawa wawe na furaha kutuletea tabasamu.
 
Ila maamae toto zuri balaa. Dah lina miguu mikaree mwijaku kujifanya chizi linafaidi kwelikweli. Ningekuwa gavana BOT namhonga 2% ya bajet ya nchi. Bora mitanzania kama kina adriz ife na njaa lakini madem wakali kama hawa wawe na furaha kutuletea tabasamu.
Comment # 11 mwanzo Sikua nimeielewa,ila baada ya kusoma hii comment yako ndio nime elewa sasa ephen_ alimaanisha nini.
 
Back
Top Bottom