Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

... mwandishi kaaandika, and I quote, "kutoa copi ile barua ya Kikwete" haimaanishi photocopy. Siku zile palikuwa na STENCIL copying method. (Almost kama Riso copiers zinavyofanya. Tofauti ni kuwa RISO ina-scan)...SO IT WAS POSSIBLE
Mbona mpaka miaka ya 80/90, huku kwetu zilikuwa zinatumika, nakumbuka masecretary wakiwa na hizo stencil na wanapaka wino na wanatumia zile drums, then inazungushwa kwa mkono si umeme na inatoa kopi vizuri kabisa.
 
Kwahiyo huna kithibitisho?
Nimekuuliza swali,mbona hujanijibu?Je,yote wewe unayoyajua umeyathibisha?
Kwa mfano,tumeambiwa the following compounds contribute to the Ozone layer depletion. 1.Chlorofluorocarbons (CFCs), 2.Hydrochlorofluorocarbons (HCFCs), 3.Halons, 4.Methyl Bromide, 5.Carbon Tetrachloride, 6.Hydrobromofluorocarbons 7.Chlorobromo Methane, 8.and Methyl Chloroform.

Je tumethibisha kwamba kweli hizo substances zinaleta Ozone depletion,mbona tunaamini?Almost everything we believe we know hatujathibitisha!!Hata ulichofundishwa darasani hujakithibisha,umeamini kwamba ndivyo kweli ilivyo,sembuse la Kikwete!?Mwambie aliyeleta mada athibitishe,usinichulie,kama una-vested interest kwa Kikwete,ni wewe mimi sina.Kwanza aliyofanya kwa nchi yetu mabaya ni mengi sana.Ila naamini taarifa hii ni ya kweli,naK Kikwete aliondoka Monduli Chuo cha Kijeshi kwa misukosuko.

Halafu circumstantial evidence shows that the story is true.Mwandishi hawezi kumtaja Sayore by name,Mwalimu Nyere by name, halafu Mkuu wa Majeshi wa wakati huo,then story iwe ya uwongo,haiwezekani.

Mwisho,nakuomba usinichagulie cha kuamini,nina uhuru wa kuamini chochote ninachotaka.
 
Back
Top Bottom