Moshi25
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 1,881
- 2,997
Mpira wa miguu ni mchezo wa muda mfupi sana Kibu Denga yuko sahihi mno kwasasa afuate maslahi yalipo asiangalie sura, muda wake ni huu yuko on fire, iwapo atakuja kwetu uto utakuwa uamuzi sahihi maana ata shine sana. Angalia Mudathir wa Azam na Mudathir wa Yanga.
Simshauri kwenda Azam, huko ataenda akitokea Yanga kwa dau kubwa. Kiukweli uto atafit sana na kiwango chake kitakua kikubwa, sisi uto hatuhitaji afunge tunachotaka akasaidiane na wenzake kutia kashkash lango la wapinzani mpaka Real Madrid waombe game nasisi ya kirafiki.
Watu wa bugoi hawajawahi kuwa wajinga chukua hela Kibu mpira ni ajira yako, njoo Yanga ubebe makombe kama Mkude, hao hao makolo wanaokubembeleza leo mpira ukiisha ghafla watakutupa bila kukuangalia usoni.
Simshauri kwenda Azam, huko ataenda akitokea Yanga kwa dau kubwa. Kiukweli uto atafit sana na kiwango chake kitakua kikubwa, sisi uto hatuhitaji afunge tunachotaka akasaidiane na wenzake kutia kashkash lango la wapinzani mpaka Real Madrid waombe game nasisi ya kirafiki.
Watu wa bugoi hawajawahi kuwa wajinga chukua hela Kibu mpira ni ajira yako, njoo Yanga ubebe makombe kama Mkude, hao hao makolo wanaokubembeleza leo mpira ukiisha ghafla watakutupa bila kukuangalia usoni.