johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,048
- 142,160
Shehe Ponda ameitaka Dola kuchukua hatua kufuatia kauli ya UVCCM kwamba " Hawa Tukiwapoteza Msiwatafute"
Ponda amesema Katika Utafiti uliofanywa na Shura ya Maimamu wamebaini Kuwa Watu 236 walitekwa na kupotezewa Kati ya mwaka 2023 na 2024 na ameonya wananchi wataweza kuituhumu CCM kwa upotevu huo
Shehe Ponda ameongea Ukurasani X
Ponda amesema Katika Utafiti uliofanywa na Shura ya Maimamu wamebaini Kuwa Watu 236 walitekwa na kupotezewa Kati ya mwaka 2023 na 2024 na ameonya wananchi wataweza kuituhumu CCM kwa upotevu huo
Shehe Ponda ameongea Ukurasani X