Kati ya imani za Kikristo, Kiislam na zile za asili ni ipi imechocheq umasikini kwa kasi nchini?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,718
15,695
Hadi sasa bado umasikini ni janga la taifa na mtu mmoja mmoja.

Ukiacha CCM ambayo wanasiasa wanailaumu kwa kukaa madarakani miaka mingi na bado shida ziko palepale jamii mpya imeibuka inalaumu Mifumo ya imani.

Je unadhani ni imani ipi imetoa mchango kwa asilimia kubwa katika umasikini wa taifa?

Je!
Ukristo kwa sababu unasisitiza nchi mpya ya Bwana Yesu ambayo inakata morali ya kuboresha hii yetu ya TZ? Au maombi makali ni kikwazo cha bidii?

Je ni uislam ambayo hauna hamasa kwenye elimu ya dunia inayosababisha kuwa na Madaktari, maengineers, wajasiliamali na wasomi?

Je ni Dini za asili za mababu zetu zinazosisitiza ushirikina, kafara na kupata utajiri kichawi?


Ni hayo tu.
 
Hadi sasa bado umasikini ni janga la taifa na mtu mmoja mmoja.

Ukiacha CCM ambayo wanasiasa wanailaumu kwa kukaa madarakani miaka mingi na bado shida ziko palepale jamii mpya imeibuka inalaumu Mifumo ya imani.

Je unadhani ni imani ipi imetoa mchango kwa asilimia kubwa katika umasikini wa taifa?

Je!
Ukristo kwa sababu unasisitiza nchi mpya ya Bwana Yesu ambayo inakata morali ya kuboresha hii yetu ya TZ? Au maombi makali ni kikwazo cha bidii?

Je ni uislam ambayo hauna hamasa kwenye elimu ya dunia inayosababisha kuwa na Madaktari, maengineers, wajasiliamali na wasomi?

Je ni Dini za asili za mababu zetu zinazosisitiza ushirikina, kafara na kupata utajiri kichawi?


Ni hayo tu.
Umasikini ni suala la mtu binafsi au jamii husika, ila ukrito unapumbaza wafuasi wao na kuwapora mali kutumia maubili yao.
 
Hakuna sehemu uislamu umekatza kusoma , kweny uislamu elimu ni ''faradhi'' ni lazima kusoma .

Elimu ya mkoloni haswa Africa watu waliokuwa waislamu walikataliwa kusoma mpaka wabadili dini.
 
Me naona ukifata dini zote unakuwa maskin tu inabid uwe kati kwa kati ukibase sn kw3nye dini kutoboa ni ngumu sn we hebu cheki wale wanaopeleka hela kwa mwamposa ivi kuna siku wanaweza kuwa matajiri wale
 
Hakuna sehemu uislamu umekatza kusoma , kweny uislamu elimu ni ''faradhi'' ni lazima kusoma .

Elimu ya mkoloni haswa Africa watu waliokuwa waislamu walikataliwa kusoma mpaka wabadili dini.
Wacha bwana mkubwa. Kwanini kila siku ni kulaumu tu? Sawa, mbona sasa hakuna wakoloni na ndugu zenu wa Mtwara, Lindi, Tanga, Zanzibar na sehemu zenye waislam wengi hawapeleki watoto shule?
 
Wacha bwana mkubwa. Kwanini kila siku ni kulaumu tu? Sawa, mbona sasa hakuna wakoloni na ndugu zenu wa Mtwara, Lindi, Tanga, Zanzibar na sehemu zenye waislam wengi hawapeleki watoto shule?
Una hakika ? watu wanaenda shule kote . Fuatilia mwaka huu kuandikisha kama sio bora ndio shule zimekosa wanafunzi.
Usiwe mjinga ndio maan wazenji wanawapiga kwa ujinga wenu ! :D :D
 
๐Š๐ฎ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ฃ๐ข๐ซ๐ข ๐ฐ๐š๐ฆ๐ž๐ฌ๐ก๐ข๐ค๐š ๐๐ข๐ง๐š ๐ง๐š ๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž๐ฏ๐ข๐ฅ๐ž ๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ฌ๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ฐ๐š๐ง๐š๐จ๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐›๐š ๐ณ๐š ๐ข๐›๐š๐๐š.. ๐Š๐š๐ฆ๐š ๐ข๐ฅ๐ข๐ฏ๐ฒ๐จ ๐ค๐ฐ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ฃ๐ข๐ซ๐ข ๐ฐ๐š๐ฌ๐ข๐จ๐ฃ๐ฎ๐š ๐๐ข๐ง๐ข ..

๐˜๐จ๐ญ๐ž ๐ค๐ฐ๐š ๐ฒ๐จ๐ญ๐ž ๐ฆ๐ข๐ณ๐š๐ง๐ข ๐ข๐ฉ๐จ ๐ฌ๐š๐ฐ๐š
 
Genesis 1:28 God blessed them(people) and told them" multiply and fill the earth and subdue it . Be masters over the fish and birds and all animals"

Kumbukumbu 28: Itakuwa utakapoisikiza sauti ya Bwana Mungu wako, na kufanya maagizo yake, utabarikiwa mjini utabarikiwa na mashambani, utabarikiwa uzao wa tumbo lako na uzao wa nchi yako, , na uzao wa wanyama wako wa mifugo, , litabarikiwa kapu lako na chombo chako Cha kukandia unga,

Utabarikiwa uingiapo utabarikiwa utokapo. Bwana atafanya adui zako kupigwa mbele yako...
 
Wacha bwana mkubwa. Kwanini kila siku ni kulaumu tu? Sawa, mbona sasa hakuna wakoloni na ndugu zenu wa Mtwara, Lindi, Tanga, Zanzibar na sehemu zenye waislam wengi hawapeleki watoto shule?
Hwa ni akina nan? Shule nyingi zilizopo mazingira magumu watato hawaendi, nenda kweny jamii za wafugaji .

Nenda kweny profile ya mwalimu Yusuph pangoma uone changamoto za watoto , wengine wanasaidi ndio inaongeza idadi ya wanaokwenda shule,.Sehemu za vijijini kote changamoto hamna motisha huyo mwalimu anafanya jitihada huko Mara mpaka utoro umepungua , hizi ni jitihada zake.

 
Genesis 1:28 God blessed them(people) and told them" multiply and fill the earth and subdue it . Be masters over the fish and birds and all animals"

Kumbukumbu 28: Itakuwa utakapoisikiza sauti ya Bwana Mungu wako, na kufanya maagizo yake, utabarikiwa mjini utabarikiwa na mashambani, utabarikiwa uzao wa tumbo lako na uzao wa nchi yako, , na uzao wa wanyama wako wa mifugo, , litabarikiwa kapu lako na chombo chako Cha kukandia unga,

Utabarikiwa uingiapo utabarikiwa utokapo. Bwana atafanya adui zako kupigwa mbele yako...
 
Back
Top Bottom