Kama Mamelodi wamecheza na Esparance nusu fainal ya kwanza vipi rufaa ya Yanga?

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,487
2,344
Wajuzi wa Soka hebu tupeni kilichotokea CAF. YANGA baada ya kufungwa na Mamelodi ktk Robo Fainal hawakuridhika na kuamua kupinga Uamuzi wa Refa wa kukataa Goli alilofunga Aziz Ki na kukata rufaa.

Lakini jana Mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali umechezwa kati ya Mamelodi vs Esperance.

Je kwa Mchezo huo kuchezwa nini hatma ya rufaa ya Yanga? Au Yanga watakata tena rufaa FIFA?

Binafsi nawashauri Yanga wakate rufaa FIFA.
 
Achana na barua Ubuntu ya makolo
20240420_221721.jpg
 
Wajuzi wa SOKA hebu tupeni kilichotokea CAF.YANGA baada ya kufungwa na MAMELODI ktk Robo Fainal hawakuridhika na kuamua kupinga Uamuzi wa Refa wa kukataa Goli alilofunga Aziz Ki na KUKATA RUFAA.
Lakini jana Mchezo wa kwanza wa NUSU FAINAL umechezwa kati ya MAMELODI vs ESPARANCE
Je kwa Mchezo huo kuchezwa nini HATIMA ya RUFAA ya YANGA? Au YANGA watakata tena RUFAA FIFA?
Binafsi nawashauri YANGA wakate RUFAA FIFA.
YouTube wanawalia bundle lenu tu kwakuwadanganya mengi kwanza walivyo waongo wanaongea wenyewe badala ya kimsikiliza walivyo muwekea Bangor,(headline)
 
Rufani huwa hazibadilishi matokeo huwa zinaambatana na adhabu Kwa wahusika tu.
 
Wajuzi wa SOKA hebu tupeni kilichotokea CAF.YANGA baada ya kufungwa na MAMELODI ktk Robo Fainal hawakuridhika na kuamua kupinga Uamuzi wa Refa wa kukataa Goli alilofunga Aziz Ki na KUKATA RUFAA.
Lakini jana Mchezo wa kwanza wa NUSU FAINAL umechezwa kati ya MAMELODI vs ESPARANCE
Je kwa Mchezo huo kuchezwa nini HATIMA ya RUFAA ya YANGA? Au YANGA watakata tena RUFAA FIFA?
Binafsi nawashauri YANGA wakate RUFAA FIFA.
Usikimbilie kwa habari zilizopita, Simba kapigwa ndani nje na mbio za ubingwa kaukosa.
 
Wajuzi wa SOKA hebu tupeni kilichotokea CAF.YANGA baada ya kufungwa na MAMELODI ktk Robo Fainal hawakuridhika na kuamua kupinga Uamuzi wa Refa wa kukataa Goli alilofunga Aziz Ki na KUKATA RUFAA.
Lakini jana Mchezo wa kwanza wa NUSU FAINAL umechezwa kati ya MAMELODI vs ESPARANCE
Je kwa Mchezo huo kuchezwa nini HATIMA ya RUFAA ya YANGA? Au YANGA watakata tena RUFAA FIFA?
Binafsi nawashauri YANGA wakate RUFAA FIFA.
Ndugu mbumbu, Yanga walifahanu kama matokeo ya uwanjani uwa ayabadilishwi na Wala Mamelod wasinge zuiwa kucheza nusu kwa makosa ya Refa.
Walicho Fanya Yanga ni kuitaka CAF Ione madhaifu na kuchukua hatua na kitendo icho kinawafanya CAF kuwajibika dhidi ya waamuzi.
Marefa wataona kumbe Aya maswala ya rushwa yanakwenda kuharibu kazi Yao bila kujali rushwa iyo unapewa na mkubwa katika CAF.
 
Wajuzi wa SOKA hebu tupeni kilichotokea CAF.YANGA baada ya kufungwa na MAMELODI ktk Robo Fainal hawakuridhika na kuamua kupinga Uamuzi wa Refa wa kukataa Goli alilofunga Aziz Ki na KUKATA RUFAA.
Lakini jana Mchezo wa kwanza wa NUSU FAINAL umechezwa kati ya MAMELODI vs ESPARANCE
Je kwa Mchezo huo kuchezwa nini HATIMA ya RUFAA ya YANGA? Au YANGA watakata tena RUFAA FIFA?
Binafsi nawashauri YANGA wakate RUFAA FIFA.
Yanga hawakukata rufaa kupinga ushindi waliopewa mamelodi bali walitaka kufanyike uchunguzi kuhusu umakini (impartiality) wa waamuzi katika usimamizi wa mchezo ule iwapo walitumia VAR sana kuwachunguza wachezaji wa Yanga lakini wakagoma kutumia VAR kuhakiki lile ambalo lingekuwa bao halali la Yanga. kopi ya barua ile iko hapa isome tena kama inapinga ushindi waliopewa Mamelodi.

Faida za malalamiko ya Yanga ni kuwa next time watakuwa na haki ya kuwakataa waamuzi hao iwapo watapangiwa tena. Kumbuke yule refa ndiye aliyezidisha muda katika mchezo mmoja wa Yanga na kusababisha timu pinzani ikapata bao la kusawazisha katika dakika za mwisho kabisa ambazo zilikuwa nje ya official time.
 
Wajuzi wa Soka hebu tupeni kilichotokea CAF. YANGA baada ya kufungwa na Mamelodi ktk Robo Fainal hawakuridhika na kuamua kupinga Uamuzi wa Refa wa kukataa Goli alilofunga Aziz Ki na kukata rufaa.

Lakini jana Mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali umechezwa kati ya Mamelodi vs Esperance.

Je kwa Mchezo huo kuchezwa nini hatma ya rufaa ya Yanga? Au Yanga watakata tena rufaa FIFA?

Binafsi nawashauri Yanga wakate rufaa FIFA.
rufaa za mpira haibadiki ushindi bro
 
Yanga hawakukata rufaa kupinga ushindi waliopewa mamelodi bali walitaka kufanyike uchunguzi kuhusu umakini (impartiality) wa waamuzi katika usimamizi wa mchezo ule iwapo walitumia VAR sana kuwachunguza wachezaji wa Yanga lakini wakagoma kutumia VAR kuhakiki lile ambalo lingekuwa bao halali la Yanga. kopi ya barua ile iko hapa isome tena kama inapinga ushindi waliopewa Mamelodi.

Faida za malalamiko ya Yanga ni kuwa next time watakuwa na haki ya kuwakataa waamuzi hao iwapo watapangiwa tena. Kumbuke yule refa ndiye aliyezidisha muda katika mchezo mmoja wa Yanga na kusababisha timu pinzani ikapata bao la kusawazisha katika dakika za mwisho kabisa ambazo zilikuwa nje ya official time.
Acha uongo YANGA walikata RUFAA kutaka GOLI la AZIZ likubaliwe lakini kwa akili ndogo hawakujua lile GOLI halikuwa Goli na pili ile Timu ni timu kubwa hivyo ilikuwa lazima icheze Nusu Fainal YANGA wakate Rufaa hizi Mechi za Tanzania
 
Yanga hawakukata rufaa kupinga ushindi waliopewa mamelodi bali walitaka kufanyike uchunguzi kuhusu umakini (impartiality) wa waamuzi katika usimamizi wa mchezo ule iwapo walitumia VAR sana kuwachunguza wachezaji wa Yanga lakini wakagoma kutumia VAR kuhakiki lile ambalo lingekuwa bao halali la Yanga. kopi ya barua ile iko hapa isome tena kama inapinga ushindi waliopewa Mamelodi.

Faida za malalamiko ya Yanga ni kuwa next time watakuwa na haki ya kuwakataa waamuzi hao iwapo watapangiwa tena. Kumbuke yule refa ndiye aliyezidisha muda katika mchezo mmoja wa Yanga na kusababisha timu pinzani ikapata bao la kusawazisha katika dakika za mwisho kabisa ambazo zilikuwa nje ya official time.
Mechi gani hiyo ya Yanga iliyosawazishiwa dalila zilizozidi?
 
Kwahiyo yanga wanategemea wapewe nafasi ya mamelodi? Hilo halitatokea Shida ya yanga hawajui mpira
 
Back
Top Bottom