tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 22,295
- 19,043
- Thread starter
- #121
Kutengeneza chanjo sio kazi ndogo kama unavyodhani mkuu. Vitu vidogo tu vinawashinda kutengeneza, chanjo wataziwezea wapi?kama ni hivo kwwnini msitengeneze chanjo zenu?? hiyo akili ya kugundua mngeitumia kutengeneza chanjo zisizo na ushoga