Joseph Musukuma: Wazungu wanatuwekea ushoga kwenye chanjo; haiwezekani binti wa miaka 10 avae sidiria

Tuna Wataalamu Wetu wanaothibitisha hizo dawa lakini pia nadhani tuna watu wa kitengo wenye kuweza kufanya independent verification.

On top.of that hizo chanjo.sio Tanzania pekee zipo, Mabadiliko ya kimaumbile sio.kwenye chanjo tuu Bali ni changanyiko wa vitu vingi sana.

Mwisho ndio maana Samia anapambana kununua vifaa tiba,kuwezesha taasisi za kiytafiti za chakula,mifugo na Afya Ili walau hapo baadae let say by 2030-35 huko tuwe na 80% ya dawa made in Tanzania.
Una wataalamu wako wa kuhakiki ubora wa chanjo eeh? Are you serious? Ni mtaalamu gani anawsza kuhakiki contents zilizomo kwenye chanjo hapa nchini Tanganyika?
 
huyu nae mtu mzima ovyo how unafocus na mazowa ya watoto ayo ni maumbile tu mbona hao hao wa miak 10 wengne ad 13 hawna manyonyo changamoto ni kuzdsha aina flan ya vyakula vya antficial km chips mayai mayai ya kisas burger piza bt chanjo kila mtu kapgw sana tu paka tunakua kama iv ila wapo wana maziwa madog tu..moe naona kiwango cha kufkir cha mueshimiwa manak ni darasa la7..alobeba majkum makubwa ya kutunga sheria ya nchi knyume na uwez wa elim yake nafkr shelia zpitiwe upya daras la7 uwez changia vya mana ndio wananch wke wamemtuma awasemee shida iyo jmbon kwake shame aache kunyanyapaa watt hat wao awapend mionekano yao ukchnguz utaon wadg wnye maziw makubw wanakua awap confotable km kufcha kfua au kurudsha nyuma kfua wakitembea kaul yke ni pgo kwao pia
Kanjbhai upo sahihi umenena jamaa ana akili ya kutafuta pesa ila hana academic reasoning
 
Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria.

Amedai utafiti huo ameufanya huko mashuleni na kuwaomba wabunge wengine nao waende wakafanye ili kujiridhisha. Sitaki kuwapotezea muda na maneno mengi, hebu msikilize nyinyi wenyewe.

MAONI YANGU
Namuunga mkono daktari Msukuma kwa asilimia zote. Siku hizi ukikutana na binti wa miaka 10 njiani ukimuangalia kifuani hadi unaogopa na kuona aibu. Na sio mabinti tu, hata wanaume nao wana chuchu kubwa mithiri ya wanawake

Kuna uwezekano mkubwa wazungu wanatuwekea homoni za ushoga kwenye chanjo. Hili suala liangaliwe kwa undani kwani sio mara ya kwanza kusikia ushuhuda huu hapa nchini. Tusibeze wala kudharau kwani mdharau mwiba mguu huota tende. Waziri Ummy Mwalimu tunakuomba uzifanyie utafiti hizi chanjo za bure za wazungu zisije zikatuletea shida hapo baadaye.

Pia soma: Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!


View attachment 2989832
Mnakula vyakula vya hovyo halafu mnasingizia wazungu. Akili mbovu kabisa!
 
Hawa Wazungu tunawaosingizia ubaya ndio watengeneza Tiba na Vifaa Tiba vinavyotumika nchini. Elimu ya Utabibu biomedical imetoka kwao. Halafu hormone za Ushoga zinaitwaje na ziko Eneo gani mwilini?
Mkuu homoni za ushoga are not extracted from the human body; they are purely synthetic substances.
 
Research? Huyu la saba hiyo sampling aliiandaaje? Je analysis tools gani alitumia au data alikusanya vipi? Haya mambo ya kutumia assumptions ndio yanatumaliza waafrika. Mara albino hawazikwagi, sijui kitovu kikigusa uume unakua hanithi, sijui ukiwa period miti inanyauka!! Ukiuliza mtu scientific evidence anakua mkali!!

Tuache kuendeshwa na hisia, hakuna connection yoyote kati ya lishe/chanjo na ushoga. Labda malezi na genetics ila sio chanjo!!
Tufanye utafiti ili tujue hakuna connection,tunaogopa nini?No research no right to speak.Ni ujinga uliokithiri kutumia chochote bila kuhakikisha kwamba it is safe,na ndio maana kitaifa tuna institutions za kufanya kazi hizo.Watoto hawaelewi darasani,watoto wadogo matiti yanafika kitovuni,watoto wanakuwa mashoga,watoto tabia hazieleweki,magonjwa ya ajabu ajabu kama cancers,mgongo wazi,heart diseases,diabetes,herpatitis A,B,C,D etc.yamejaa wala hatupo concerned,tupo tupo tu,kama mataihira vile.No, it is time to wake up and do something.
 
According to Msukuma, this is not a claim but a research finding. If you listen to him well, you can obviously hear him asserting he did a research in schools and analysed the results before releasing the results before the parliament. Prove him wrong or right by conducting another research of the like.
Beware of politicians! A person cannot just claim he conducted research and be said to have conducted research. Conducting research is more than just saying it. I would have liked to hear more than what he said so that I may be persuaded. Otherwise, as I've always mentioned it I'm a disciple of a French mathematician, scientist and philosopher Rene des Cartes and espouse his 'methodical doubt' - meant to search for certainty and avoid being misled. There are many people who claim to have conducted research, but what they mean is that they saw some girls with enlarged breasts and because they are witch hunters, they can easily say the problem is caused by vaccines from outside. I cannot buy it! He has to prove to me more than what he has simply claimed to have done.
 
Beware of politicians! A person cannot just claim he conducted research and be said to have conducted research. Conducting research is more than just saying it. I would have liked to hear more than what he said so that I may be persuaded. Otherwise, as I've always mentioned it I'm a disciple of a French mathematician, scientist and philosopher Rene des Cartes and espouse his 'methodical doubt' - meant to search for certainty and avoid be misled. There are many people who claim to have conducted research but what they mean is that they saw some girls with enlarged breasts and because they are witch hunters, they can easily say the problem is caused by vaccines from outside. I cannot buy it! He has to prove to me more than what he has simply claimed to have done.
No research, no right to speak. I said it early but let me repeat. The only thing that people can understand is for you to conduct a simiar research to prove Dr Msukuma wrong or right. Unless you conduct a further research, Msukuma's findings are there to stay.
 
No research, no right to speak. I said it early but let me repeat. The only thing that people can understand is for you to conduct a simiar research to prove Dr Msukuma wrong or right. Unless you conduct a further research, Msukuma's findings are there to stay.
What type of research did he conduct? This is what I'm questioning - I want to know the methodology he used, sample size, was it qualitative, quantitative or mixed methods research? He cannot just say he conducted research and then be said to have conducted research. That would be cheap reasoning ndugu!
 
No research, no right to speak. I said it early but let me repeat. The only thing that people can understand is for you to conduct a simiar research to prove Dr Msukuma wrong or right. Unless you conduct a further research, Msukuma's findings are there to stay.
Awfully im wondering to read this kind of sentiment from a senior member of GTs!!
Are you just an activist against your GOT or just a normal citizen like me wishing to have some positives changes that make sense??

Why he pin points on Vaccines whereas we import a bunch of items from those whites??
Why not Contraceptive pills? Why not GMO/Canned food and drinks?
What about those yung girls/boys who show up their secondary sexual characters in the late adolescence?? What're the drawbacks?
 
Beware of politicians! A person cannot just claim he conducted research and be said to have conducted research. Conducting research is more than just saying it. I would have liked to hear more than what he said so that I may be persuaded. Otherwise, as I've always mentioned it I'm a disciple of a French mathematician, scientist and philosopher Rene des Cartes and espouse his 'methodical doubt' - meant to search for certainty and avoid being misled. There are many people who claim to have conducted research, but what they mean is that they saw some girls with enlarged breasts and because they are witch hunters, they can easily say the problem is caused by vaccines from outside. I cannot buy it! He has to prove to me more than what he has simply claimed to have done.
Let us do our own research and prove him wrong,just saying
he has not carried out the right type of research to be able to make the conclusions he is making is not the way, kwa kuwa ni kweli wanaweka hormones kwenye pipi,dawa za kuswakia,vyakula vya misaada,chanjo nk.nk.,we know it,and we have evidence,so lazima tuwe makini.Hivi umeshawahi kusikia Contraceptive Maize wewe,mahindi hayo yapo👉GM corn set to stop man spreading his seed

But seriously,is it right to use fertilizers,planned parenthood drugs or pills,pharmaceuticals,Fluoride in water or Toothpaste,Pesticides,Vaccines,Plastics,Paints,Roofing Material,Tiles,Tarmac,Gasoline,Diesel,Lead in Gasoline,On the Shelf Foods,Beverages the types of Coca Cola and Pepsi etc.,Tobacco,
Industrial Juices,
Chlorine in water etc.etc.without knowing their short and long effects on our health?

Let me say this without mincing words,it is stupid and lunatic to use anything without knowing its health hazards,and because of this lunacy we have sadly destroyed generations of our people.For how long we will follow this extremely dangerous path remains to be seen,but there is need for change, not later,but now.
 
Back
Top Bottom