Kauli ya jana kiongoziAlisema Simba hawatachukua ubingwa for 10 years
Kauli ya jana kiongoziAlisema Simba hawatachukua ubingwa for 10 years
Utachoka wewe mkuu, humu kuna watu wako kazini. Yaani kazi yao ni kupost wanapokea mshahara.View attachment 2968330hakuna jipya ...
Acha mada za kijinga na kilimbukeni...hivi huchoki?
Achana na historia za zamani ...enzi hizo offsides ni clear goalsView attachment 2968330hakuna jipya ...
Acha mada za kijinga na kilimbukeni...hivi huchoki?
Wanatoa tenda za matangazo ya mabango kutangaza ushindi dhidi ya Simba wakishinda. Hawajakuambia na upo nao kila siku dimbwini?Kivp mkuu
Hijui kitu tulia...Achana na historia za zamani ...enzi hizo offsides ni clear goals
Biashara ni risk. Chukua bango lolote linaweza kutokea ukapiga hela, ukipoteza basi ajali kazini. Lipia bango chap udalalie mablich wakiyataka.Kwamba huamini kama Simba itashinda??
Aliwashauli washabiki na wachezaji kuwa mechi ya kesho ni ya wakubwa wawili ndani ya NBC na kwa kawaida mechi hiyo huwa haiamuliwi kwa kutazama mchezaji mmoja mmojaKauli ya jana kiongozi
Upuuzi mtupu huuSimba akifungwa na yanga nipigwe ban siku 3