Israel inavyorudi upya Gaza kwa nguvu, ni wazi kulikuwa na njama kati yake na Marekani kuiwacha Iran ishinde ili kupata ushindi wa Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,461
11,443
Yapo mambo mengi ambayo yametoa picha ya namna Israel na Marekani wanavyoshirikiana kimkakati ili kuhakikisha Israel inaitawala Gaza na Palestina yote bila upinzani.

Ni kweli Israel ilikuwa na nia ya kuipiga Iran kwa nguvu kubwa na kuleta madhara zaidi lakini kwa kushauriana na Marekani na kujua kwamba Iran inajiamini kujibu na silaha zake zinafika Israel,hapo wawili hao wakaona ni afadhali waipe ushindi Iran ili Israel ibaki salama kuendeleza vita na Hamas.

Kujizuia kupigana na Iran mkono kwa mkono pia ilikuwa ni mbinu ya kurahisisha kupitishwa kwa msaada mkubwa wa kifedha wa dola bilioni 95 ambao kwa muda mrefu ulikuwa ukipingwa wa wabunge wa mabaraza yote na ulitarajiwa usingepita kabisa.

Hayo yanaonekana tangu pale walipoacha kuipiga Iran wamekuwa wakiongeza nguvu kuipiga Gaza hasa maeneo ya Rafah.

Wamezidisha mashambulizi maeneo ya kati ya Khan Younis na kaskazini katika maeneo ya Zeitoun ambako hawajaweza kuingiza vikosi vya miguu.

Mbinu hizo wanaziita ni vita vya kiakili na kisaikolojia dhidi ya Hamas japo uwezekano upo wa kutokuwapa ushindi wanaoutarajia
 
Yapo mambo mengi ambayo yametoa picha ya namna Israel na Marekani wanavyoshirikiana kimkakati ili kuhakikisha Israel inaitawala Gaza na Palestina yote bila upinzani.

Ni kweli Israel ilikuwa na nia ya kuipiga Iran kwa nguvu kubwa na kuleta madhara zaidi lakini kwa kushauriana na Marekani na kujua kwamba Iran inajiamini kujibu na silaha zake zinafika Israel,hapo wawili hao wakaona ni afadhali waipe ushindi Iran ili Israel ibaki salama kuendeleza vita na Hamas.

Kujizuia kupigana na Iran mkono kwa mkono pia ilikuwa ni mbinu ya kurahisisha kupitishwa kwa msaada mkubwa wa kifedha wa dola bilioni 95 ambao kwa muda mrefu ulikuwa ukipingwa wa wabunge wa mabaraza yote na ulitarajiwa usingepita kabisa.

Hayo yanaonekana tangu pale walipoacha kuipiga Iran wamekuwa wakiongeza nguvu kuipiga Gaza hasa maeneo ya Rafah.

Wamezidisha mashambulizi maeneo ya kati ya Khan Younis na kaskazini katika maeneo ya Zeitoun ambako hawajaweza kuingiza vikosi vya miguu.

Mbinu hizo wanaziita ni vita vya kiakili na kisaikolojia dhidi ya Hamas japo uwezekano upo wa kutokuwapa ushindi wanaoutarajia
Ushindi upi haupo huku gaza haitamaniki? Imegeuzwa majivu
 
Ushindi upi haupo huku gaza haitamaniki? Imegeuzwa majivu
Ushindi wameipatia Iran kirahisi.Wamepigwa halafu hawakujibu.
Hata Gaza nako Israel kwa kugeuza miji kifusi haiitwi ushindi kwani ushindi ilikuw ni kuwafuta Hamas na kurejesha mateka.
 
Yapo mambo mengi ambayo yametoa picha ya namna Israel na Marekani wanavyoshirikiana kimkakati ili kuhakikisha Israel inaitawala Gaza na Palestina yote bila upinzani.

Ni kweli Israel ilikuwa na nia ya kuipiga Iran kwa nguvu kubwa na kuleta madhara zaidi lakini kwa kushauriana na Marekani na kujua kwamba Iran inajiamini kujibu na silaha zake zinafika Israel,hapo wawili hao wakaona ni afadhali waipe ushindi Iran ili Israel ibaki salama kuendeleza vita na Hamas.

Kujizuia kupigana na Iran mkono kwa mkono pia ilikuwa ni mbinu ya kurahisisha kupitishwa kwa msaada mkubwa wa kifedha wa dola bilioni 95 ambao kwa muda mrefu ulikuwa ukipingwa wa wabunge wa mabaraza yote na ulitarajiwa usingepita kabisa.

Hayo yanaonekana tangu pale walipoacha kuipiga Iran wamekuwa wakiongeza nguvu kuipiga Gaza hasa maeneo ya Rafah.

Wamezidisha mashambulizi maeneo ya kati ya Khan Younis na kaskazini katika maeneo ya Zeitoun ambako hawajaweza kuingiza vikosi vya miguu.

Mbinu hizo wanaziita ni vita vya kiakili na kisaikolojia dhidi ya Hamas japo uwezekano upo wa kutokuwapa ushindi wanaoutarajia
Hamas itakuwa kama ilivyofanywa Alqaida na ISIS, hawatakuwa na base tena; na Iran kaicheza karata vibaya. NB Iran imewekwa kiporo
 
Kuna wakati uchambuzi wako kama vile huwa unaeleweka vzr kuliko wenzako. Marekani na Israel huwezi kuwagawa. Kuna wakati Netanyahu na Biden wanaamua kuigiza mambo ati kwamba hawaelewani kumbe ni kuwahadaa watu wasiojua.
 

Mbona Madina pia ni Mji wa Wayahudi... Mtume wao baada ya kuanzisha uchokozi akaenda kuomba hifadhi Medina kwa wayahudi... wayahudi walipendezesha mji alipapenda mno... baada ya kupata nguvu akawaua wengi na kuwakimbiza na kupiga marufuku kurudi kwenye mji wao Medina, na hii ndio imekuwa tabia ya arabs kuchukua nchi na miji ya non Muslim, Egypt,Syria,Lebanon n.k
 
Hii aione mfia hayo mavitu brazaj

1. Labda Ilikuwa na maana ya FaizaFoxy?

2. Tofautisha sisi wengine wengi tu tunaopigania haki bila kujali ni Ukraine, Sahara Magharibi, tukipinga ukoloni na utumwa na wenye dini zao.

3. Kuwashupalia Johnny Sack na sisi wengine kuwa wafia dini kama wewe ni umbumbu uliopitiliza.

4. Nikukumbushe wafia dini wote mnafanana kasoro yenu ni Kambi tu!
 
1. Labda Ilikuwa na maana ya FaizaFoxy?

2. Tofautisha sisi wengine wengi tu tunaopigania haki bila kujali ni Ukraine, Sahara Magharibi, tukipinga ukoloni na utumwa na wenye dini zao.

3. Kuwashupalia Johnny Sack na sisi wengine kuwa wafia dini kama wewe ni umbumbu uliopitiliza.

4. Nikukumbushe wafia dini wote mnafanana kasoro yenu ni Kambi tu!
Israel imeaua wanawake na watoto wengi kuliko hata idadi yote ya raia waliouawa Ukraine .Watu wanalaani Urusi ila wanakuambia Israel hana hatia
 
Israel imeaua wanawake na watoto wengi kuliko hata idadi yote ya raia waliouawa Ukraine .Watu wanalaani Urusi ila wanakuambia Israel hana hatia

1. Inahitaji mtu kuwa mwenda wazimu kuinga mkono Israel kwa lolote hapa ilipo kwenye hii vita.

2. Hivi Gaza wanaiishikilia yote inahitaji bado kutumia mabomu, ndege, drones au mizinga? Si waombe ushauri hata kutoka kwa kina muliro?
 
1. Labda Ilikuwa na maana ya FaizaFoxy?

2. Tofautisha sisi wengine wengi tu tunaopigania haki bila kujali ni Ukraine, Sahara Magharibi, tukipinga ukoloni na utumwa na wenye dini zao.

3. Kuwashupalia Johnny Sack na sisi wengine kuwa wafia dini kama wewe ni umbumbu uliopitiliza.

4. Nikukumbushe wafia dini wote mnafanana kasoro yenu ni Kambi tu!

Nilikua na maana ya nyote mlioshikiliwa akili na muarabu
 
Back
Top Bottom