Iran hii jeuri ya kupitisha mizinga juu ya Bunge la Israeli "Knesset" anaitoa wapi?

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
10,042
16,924
Nimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita.

Iran katuacha vinywa wazi jumamosi iliyopita baada ya kupitisha Ballistic missiles juu ya Bunge la Israeli siyo kitu cha kawaida.

Ushauri wangu hii ni dharau kubwa sana kwa taifa kama la israeli hatua za haraka sana tena za nguvu zitumike kuijibu Iran kwa kitendo hiki ambacho hatujaona kikitokea katika nchi zingine mashuhuru hapa ulimwenguni (japo Israel ni nchi ya mchongo).

Screenshot_20240417_221818_Google.jpg
 
Nimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita.

Iran katuacha vinywa wazi jumamosi iliyopita baada ya kupitisha Ballistic missiles juu ya Bunge la Israeli siyo kitu cha kawaida.

Ushauri wangu hii ni dharau kubwa sana kwa taifa kama la israeli hatua za haraka sana tena za nguvu zitumike kuijibu Iran kwa kitendo hiki ambacho hatujaona kikitokea katika nchi zingine mashuhuru hapa ulimwenguni (japo Israel ni nchi ya mchongo).

View attachment 2966784
Mimi mwenyewe nashangaa kusikia mzigo wote 99%umedakwa wakati umepita juu ya bunge,waliudakia wapi sasa kama mzigo ulipita juu ya bunge au bunge halipo ndani ya Israel? Israel niwaongo kupita kiasi,wao wakubali Iran sio hamas,ni mziki mnene
 
Nimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita.

Iran katuacha vinywa wazi jumamosi iliyopita baada ya kupitisha Ballistic missiles juu ya Bunge la Israeli siyo kitu cha kawaida.

Ushauri wangu hii ni dharau kubwa sana kwa taifa kama la israeli hatua za haraka sana tena za nguvu zitumike kuijibu Iran kwa kitendo hiki ambacho hatujaona kikitokea katika nchi zingine mashuhuru hapa ulimwenguni (japo Israel ni nchi ya mchongo).

View attachment 2966784
Unataka kuwaponza waludi utumwani mkuu?
 
Iran ilichofanya ni kutoa ujumbe kwamba inaweza kushambulia Israel wakati wowote na kuua mamia ya askari au raia wa Israel endapo watahitaji kufanya hivyo, ni kama shambulizi walilofanya kwenye zile bases za US wakati wa Trump kulipiza kisasi cha kifo cha Qassem Soleiman, walitoa taarifa mapema watashambulia base za US na hakukuwa na namna yeyote ya kuzuia shambulizi hilo, hii inamaanisha wangeweza kufanya shambulizi baya na kuua askari mamia kwa maelfu wa US na EU na kwa shabaha ya hali ya juu katika shambulizi la kushtukiza, lakini kwa nini unaua askari vijana wasio na hatia wenye familia zao wamekwenda Iraq kutekeleza majukumu ya kazi zao kisa ujinga wa wanasiasa?

Na sasa ni kwa Israel, Iran imetoa taarifa juu ya shambulizi na Israel ikawa makini kujipanga kuzuia shambulizi lakini haikuwa hivyo. Missiles zimeingia Israel na kupita nchi kadhaa bila kuzuiwa.

Je Iran ilishindwa kupiga makazi ya raia wa Tel Aviv na kuua maelfu?

Iran wamesema walikuwa wame target kupiga kambi za kijeshi na wamefanikiwa ku target na kuipiga kambi ya Israel inaitwa Nevatim iliyotumika kushambulia balozi ya Iran pale Syria hivi karibuni.

Katika historia inasemekana ni kwa mara ya kwanza kwa nchi kushambulia kwa mara moja kwa kutumia drones nyingi zaidi.

Israel ikijaribu kupiga makazi ya watu pale Iran, Iran haitakiwa na option zaidi ua kupiga makazi ya watu pale Israel, hivyo Israel haiwezi kujibu.


Israel haina uwezo kuzuia mashambulizi ya Iran kwa asilimia 100.

US hawakurupuki kusema hawatojibu shambulizi la Iran, kwa siri nzito ambayo hawataki kusema hadharani wanafahamu uwezo wa Iran.


Hata hivyo Iran kutuma drones nyingi kiasi kile ni ku confuse mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel, hii ndio ilipelekea wakapiga targets walizokuwa wanahitaji kuzipiga na kufanikiwa. Hizo drones wanaita Shahed 136 kwanza zina kelele na zinakwenda mwendo usio na kasi sana, ni nafuu sana kuzitengeneza lakini ni ghali sana kuzizuia, missile ya kuzuia Shahed 136 ni almost $1 million, hivyo Iran ilifahamu fika Israel wangeweza kuzuia hizo shahed drones lakini kwa gharama kubwa, lakini wana drones zenye kasi kama shahed 238 zenye kasi zaidi.

Wachambuzi wa masuala ya kijeshi kutoka US na EU wanakiri kwamba Israel haina uwezo kukabiliana kijeshi na Iran moja kwa moja zaidi ya kumshirikisha US na EU.
 
Akina Netanyahu na war cabinet wanapsawa kupelekwa rehab maana naona wamepata psychological torture kutoka kana na hii hali

Huku huudhi.huku hamas .
Huko lebonon huku irana inawapapasa hadi makalio ukisikia kuchangamyikkwa ndo huku sasa. Na matelka hawajaptikana
Wananchi wa Israel wanataka kuishi, watoto waende shule, watu waende kazinj kwenye majukumi ya kila siku, wakulima waende shambani, Israel kwa vyovyote itabidi waepuke hii vita, itawaumiza sana.

Hii sio 1960's, uwezo kupambana na hoa adui zote hawana.
 
Mimi mwenyewe nashangaa kusikia mzigo wote 99%umedakwa wakati umepita juu ya bunge,waliudakia wapi sasa kama mzigo ulipita juu ya bunge au bunge halipo ndani ya Israel? Israel niwaongo kupita kiasi,wao wakubali Iran sio hamas,ni mziki mnene
akili zako zipo sawa ? Umepita juu ya bunge ukaenda kulenga wapi ? , maana uhalibifu tulisikia umetokea kwenye kambi mbili za mipakani , au zilpita juu ya bunge zikarudi mpakani ?
 
Israel na Iran raia sasahiv wanaomba kila mtu kwa mungu wake mapumbavu huku yanashangalia kwamba amjibu sasa aone🤣.
Si ajabu Infropreneur anasemaga Afrika ni Laana haswa utanzania.
Ndio maana Kiranga anasemaga Dini na mungu ni vitu vya kutengenezwa.
Hivi vitu tulivyovishupalia kama ni vyetu.
 
Semeni nyie basi madhara waliyoyapata wa Israel msilazimishe tu kuimba taarabu.
Mimi mwenyewe nashangaa kusikia mzigo wote 99%umedakwa wakati umepita juu ya bunge,waliudakia wapi sasa kama mzigo ulipita juu ya bunge au bunge halipo ndani ya Israel? Israel niwaongo kupita kiasi,wao wakubali Iran sio hamas,ni mziki mnene
 
Israel na Iran raia sasahiv wanaomba kila mtu kwa mungu wake mapumbavu huku yanashangalia kwamba amjibu sasa aone🤣.
Si ajabu Infropreneur anasemaga Afrika ni Laana haswa utanzania.
Ndio maana Kiranga anasemaga Dini na mungu ni vitu vya kutengenezwa.
Hivi vitu tulivyovishupalia kama ni vyetu.
Kwanza huyo Mungu wa Israel ni mdhaifu na mzembe sana, Alishindwa kuwaokoa waisraeli kwenye concentration camps za Adolph Hitler wakauwawa maelfu na maelfu.

Halafu kuna wajinga huku Afrika wanasali kwa Mungu wa Israel awaokoe...😄😄
 
Nimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita.

Iran katuacha vinywa wazi jumamosi iliyopita baada ya kupitisha Ballistic missiles juu ya Bunge la Israeli siyo kitu cha kawaida.

Ushauri wangu hii ni dharau kubwa sana kwa taifa kama la israeli hatua za haraka sana tena za nguvu zitumike kuijibu Iran kwa kitendo hiki ambacho hatujaona kikitokea katika nchi zingine mashuhuru hapa ulimwenguni (japo Israel ni nchi ya mchongo).

View attachment 2966784
Hawana ujanja wala uwezo wa kurudisha mapigo. Kwanza silaha za kufika Iran hawana, lakini pia uwezo wa kuingia vitani na Iran peke yao hawana pia.
 
Back
Top Bottom