SoC02 + Ilivyoangamiza ndoto zangu

Stories of Change - 2022 Competition

Zagiara

Member
Sep 14, 2022
9
86
Mwanzo nilikuwa binti mwenye nuru sana, pamoja na kufiwa na wazazi wote wawili wakati nikiwa na miaka 8 lakini sikuwahi kuwa na maisha ya ukiwa hata kidgo, ndugu zangu upande wa mama walilichukua jukumu la kunilea kwa zamu tena kwa mapenzi makubwa sana. Nikafanikiwa kupata elimu ya msingi na sekondari na wakati naingia chuo mwaka wa kwanza kwa sababu za kiafya nikamua kucheki afya yangu ndipo nilipogungua nipo + hapo kila kitu nikawa cheusi

Kwangu sikuiona tena future, na sikuwa na ujasiri wa kusema nyumbani coz tulishazika ndugu kama 4 hivi tayari na majonzi yalikuwa bado hajawaisha ndugu zangu. Baada ya kujua hali yangu kila kitu kilibadilika sikuwa na hamu tena na dunia nilikuwa na mawazo ya kufa kila wakati.

Elimu sikuiona tena ya maana., nilivurugwa kabisa nikaona niachane kabisa na chuo coz kwa muda huo sikuona kabisa umuhimu wake. Nikapata sonona moja kali nikawa najifungia tu ndani na kuangukia kabisa kwenye dunia ya waliokata tamaa.

Wakati nikijaribu kutoka na kushindwa siku moja nikapata simu nyumbani kuna ndugu yangu alikuwa kalazwa, sikutaka kwenda kabisa lkn kuna kitu kikaniambia niende tu nikamwone. Baada ya kufika pale na kumwona macho yalinifunguka na kuamua kutoka usingizini hali ya ndugu yangu iliweka simanzi kubwa kwenye nyuso za ndugu zangu, Mungu amlaze salama, hapo nikaamua kutoka gizani.

Baada ya kukaa ukiwa kwa miaka 4 nikaamua kwenda kituo cha afya na kuanzia dawa pamoja na ushauri sasa ni mwaka wa 6 tangu nitoke ndotoni maisha si sawa tena.

Sina future ya maana na ninatamani japo ningemaliza elimu yangu maisha yamekuwa magumu zaidi ya yenye ukiwa zaidi japo kidogo sina tena mawazo ya kijinga na afya yangu imeimarika sana. Mambo yamebadilika sasa, + si tishio tena watu wana + na maisha yanaenda kama kawaida

Mimi natamani miaka ile ingekuwa ni sasa nadhani ningekuwa na bright future.

Asanteni sana
 
Mwanzo nilikuwa binti mwenye nuru sana, pamoja na kufiwa na wazazi wote wawili wakati nikiwa na miaka 8 lakini sikuwahi kuwa na maisha ya ukiwa hata kidgo, ndugu zangu upande wa mama walilichukua jukumu la kunilea kwa zamu tena kwa mapenzi makubwa sana. Nikafanikiwa kupata elimu ya msingi na sekondari na wakati naingia chuo mwaka wa kwanza kwa sababu za kiafya nikamua kucheki afya yangu ndipo nilipogungua nipo + hapo kila kitu nikawa cheusi

Kwangu sikuiona tena future, na sikuwa na ujasiri wa kusema nyumbani coz tulishazika ndugu kama 4 hivi tayari na majonzi yalikuwa bado hajawaisha ndugu zangu. Baada ya kujua hali yangu kila kitu kilibadilika sikuwa na hamu tena na dunia nilikuwa na mawazo ya kufa kila wakati.

Elimu sikuiona tena ya maana., nilivurugwa kabisa nikaona niachane kabisa na chuo coz kwa muda huo sikuona kabisa umuhimu wake. Nikapata sonona moja kali nikawa najifungia tu ndani na kuangukia kabisa kwenye dunia ya waliokata tamaa.

Wakati nikijaribu kutoka na kushindwa siku moja nikapata simu nyumbani kuna ndugu yangu alikuwa kalazwa, sikutaka kwenda kabisa lkn kuna kitu kikaniambia niende tu nikamwone. Baada ya kufika pale na kumwona macho yalinifunguka na kuamua kutoka usingizini hali ya ndugu yangu iliweka simanzi kubwa kwenye nyuso za ndugu zangu, Mungu amlaze salama, hapo nikaamua kutoka gizani.

Baada ya kukaa ukiwa kwa miaka 4 nikaamua kwenda kituo cha afya na kuanzia dawa pamoja na ushauri sasa ni mwaka wa 6 tangu nitoke ndotoni maisha si sawa tena.

Sina future ya maana na ninatamani japo ningemaliza elimu yangu maisha yamekuwa magumu zaidi ya yenye ukiwa zaidi japo kidogo sina tena mawazo ya kijinga na afya yangu imeimarika sana. Mambo yamebadilika sasa, + si tishio tena watu wana + na maisha yanaenda kama kawaida

Mimi natamani miaka ile ingekuwa ni sasa nadhani ningekuwa na bright future.

Asanteni sana

Sasa umesimama tena na Mungu atakuinua zaidi.
Hongera sana sasa umeshinda
 
Uliipataje HIV?
Mwanzo nilikuwa binti mwenye nuru sana, pamoja na kufiwa na wazazi wote wawili wakati nikiwa na miaka 8 lakini sikuwahi kuwa na maisha ya ukiwa hata kidgo, ndugu zangu upande wa mama walilichukua jukumu la kunilea kwa zamu tena kwa mapenzi makubwa sana. Nikafanikiwa kupata elimu ya msingi na sekondari na wakati naingia chuo mwaka wa kwanza kwa sababu za kiafya nikamua kucheki afya yangu ndipo nilipogungua nipo + hapo kila kitu nikawa cheusi

Kwangu sikuiona tena future, na sikuwa na ujasiri wa kusema nyumbani coz tulishazika ndugu kama 4 hivi tayari na majonzi yalikuwa bado hajawaisha ndugu zangu. Baada ya kujua hali yangu kila kitu kilibadilika sikuwa na hamu tena na dunia nilikuwa na mawazo ya kufa kila wakati.

Elimu sikuiona tena ya maana., nilivurugwa kabisa nikaona niachane kabisa na chuo coz kwa muda huo sikuona kabisa umuhimu wake. Nikapata sonona moja kali nikawa najifungia tu ndani na kuangukia kabisa kwenye dunia ya waliokata tamaa.

Wakati nikijaribu kutoka na kushindwa siku moja nikapata simu nyumbani kuna ndugu yangu alikuwa kalazwa, sikutaka kwenda kabisa lkn kuna kitu kikaniambia niende tu nikamwone. Baada ya kufika pale na kumwona macho yalinifunguka na kuamua kutoka usingizini hali ya ndugu yangu iliweka simanzi kubwa kwenye nyuso za ndugu zangu, Mungu amlaze salama, hapo nikaamua kutoka gizani.

Baada ya kukaa ukiwa kwa miaka 4 nikaamua kwenda kituo cha afya na kuanzia dawa pamoja na ushauri sasa ni mwaka wa 6 tangu nitoke ndotoni maisha si sawa tena.

Sina future ya maana na ninatamani japo ningemaliza elimu yangu maisha yamekuwa magumu zaidi ya yenye ukiwa zaidi japo kidogo sina tena mawazo ya kijinga na afya yangu imeimarika sana. Mambo yamebadilika sasa, + si tishio tena watu wana + na maisha yanaenda kama kawaida

Mimi natamani miaka ile ingekuwa ni sasa nadhani ningekuwa na bright future.

Asanteni sana
 
bwana [mention]Deception [/mention] Deception anasema hakuna HIV bali ni haox tu na story za wazungu kupiga hela, una lip la kusema kuhusu hayo?
 
Maana halisi Mwanamke wa shoka!!
+sio kufa au kushindwa jambo
-wapo iv na wamekufa mapema tu na wengine wamepigwa na maisha

Ongera bib dada
 
Mwanzo nilikuwa binti mwenye nuru sana, pamoja na kufiwa na wazazi wote wawili wakati nikiwa na miaka 8 lakini sikuwahi kuwa na maisha ya ukiwa hata kidgo, ndugu zangu upande wa mama walilichukua jukumu la kunilea kwa zamu tena kwa mapenzi makubwa sana. Nikafanikiwa kupata elimu ya msingi na sekondari na wakati naingia chuo mwaka wa kwanza kwa sababu za kiafya nikamua kucheki afya yangu ndipo nilipogungua nipo + hapo kila kitu nikawa cheusi

Kwangu sikuiona tena future, na sikuwa na ujasiri wa kusema nyumbani coz tulishazika ndugu kama 4 hivi tayari na majonzi yalikuwa bado hajawaisha ndugu zangu. Baada ya kujua hali yangu kila kitu kilibadilika sikuwa na hamu tena na dunia nilikuwa na mawazo ya kufa kila wakati.

Elimu sikuiona tena ya maana., nilivurugwa kabisa nikaona niachane kabisa na chuo coz kwa muda huo sikuona kabisa umuhimu wake. Nikapata sonona moja kali nikawa najifungia tu ndani na kuangukia kabisa kwenye dunia ya waliokata tamaa.

Wakati nikijaribu kutoka na kushindwa siku moja nikapata simu nyumbani kuna ndugu yangu alikuwa kalazwa, sikutaka kwenda kabisa lkn kuna kitu kikaniambia niende tu nikamwone. Baada ya kufika pale na kumwona macho yalinifunguka na kuamua kutoka usingizini hali ya ndugu yangu iliweka simanzi kubwa kwenye nyuso za ndugu zangu, Mungu amlaze salama, hapo nikaamua kutoka gizani.

Baada ya kukaa ukiwa kwa miaka 4 nikaamua kwenda kituo cha afya na kuanzia dawa pamoja na ushauri sasa ni mwaka wa 6 tangu nitoke ndotoni maisha si sawa tena.

Sina future ya maana na ninatamani japo ningemaliza elimu yangu maisha yamekuwa magumu zaidi ya yenye ukiwa zaidi japo kidogo sina tena mawazo ya kijinga na afya yangu imeimarika sana. Mambo yamebadilika sasa, + si tishio tena watu wana + na maisha yanaenda kama kawaida

Mimi natamani miaka ile ingekuwa ni sasa nadhani ningekuwa na bright future.

Asanteni sana
Hongera kwa andiko lako,limebeba ujumbe unaoweza wagusa wengi katika maisha yetu,ila mimi naona kama umeunyima nyama ambazo zingegusa mioyo ya wasomaji kwani maandiko yanayokuwa waandishi wameyapitia kwa namna fulani hugusa sana.
Hongera kwa kujipambania kuvua unyonge kujikubali na maisha kuendelea,tunawapoteza wengi kwa kushindwa kuwaambia namna ya kujikubali,watuwanakosa matumaini wanakosa watuwakuwaamini ambao wanaaeza lia pamoja nao katika kukatatamaa kwao.
Hakika ni andiko bora pia kwangu ila umelinyima nyama.
 
Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo 1990s-2004s wapendwa wetu wengi sana waliondoka kwa HIV .
Kipindi cha nyuma kwanza dawa hazikuwepo na baada ya dawa kupatikana mwitikio wa utumiaji haukuwa mkubwa na kupelekea waathirika kuelemea sana na maradhi hata kupoteza maisha.

Wengi walisema kuwa ukimwi wa kipindi kile ulikuwa mkari sana ,ila si kweli ,tatizo lilikuwa ni kwenye matumizi ya dawa fubaishi,watu walikuwa hawazingatii.

Waliondoka ndugu zetu wengi sana na walizaliwa ndugu zetu wengine wengi tu wenye maambukizi
 
tangazo la ARV limekaa vizuri sana
Aisee ndugu kama ni tangazo basi tulitie mubashara wengi labda wanaweza ishi maisha marefu na mshukuru Mungu kama hukuguswa kwa namna yyote ni hili tatizo,wengi tulilia sana miaka hiyo,Leo tunapata hata ujasiri wa kuwapambania baada ya kuona makosa yalikuwa wapi.
 
Zagiara naelewa ni nini unazungumza.
Please ikiwa uko tayari naomba uwe ndugu yangu kutoka leo .Utauliza ni kwanini ?

Dear Zagiara mimi na wewe utofauti ni mimi kuwa negative ila nina historia inayoshahabiana na yako .Kivipi?

Tulizaliwa wawili mimi na dada yangu , my mother passed away in 1997, my father passed away in 2004 and my sister passed in 2006 , all of them it was due to HIV/AIDs but ni mimi tu niliyebaki nikiwa bila ugonjwa huo na sasa ni mzima.So

Kwa hilo tu wewe ni ndugu yangu please kubali nikuite dada ikiwa ni wa kike , au nikuite kaka ikiwa ni wa kiume .

Natanguliza shukrani ready to help for what you are in need to.

TEKERI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna muda huwa nasoma baadhi ya maandiko huwa nafarijika sana,watu pamoja na zile nyuzi pendwa humu Ila bado mioyo inakuwa na Kiu kwamba kunamahali bado,nadhani maandiko kama haya husaidia kuionya,kuifariji na kuihamasisha kwamba ukiamua inawezekana.
Hongera zenu wanafasihi mnaitendea haki,maandiko yanagusa majeraha yetu ya ndani.
 
Kuna muda huwa nasoma baadhi ya maandiko huwa nafarijika sana,watu pamoja na zile nyuzi pendwa humu Ila bado mioyo inakuwa na Kiu kwamba kunamahali bado,nadhani maandiko kama haya husaidia kuionya,kuifariji na kuihamasisha kwamba ukiamua inawezekana.
Hongera zenu wanafasihi mnaitendea haki,maandiko yanagusa majeraha yetu ya ndani.
Hakika kaka inapobidi tunafarijiana ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo nilikuwa binti mwenye nuru sana, pamoja na kufiwa na wazazi wote wawili wakati nikiwa na miaka 8 lakini sikuwahi kuwa na maisha ya ukiwa hata kidgo, ndugu zangu upande wa mama walilichukua jukumu la kunilea kwa zamu tena kwa mapenzi makubwa sana. Nikafanikiwa kupata elimu ya msingi na sekondari na wakati naingia chuo mwaka wa kwanza kwa sababu za kiafya nikamua kucheki afya yangu ndipo nilipogungua nipo + hapo kila kitu nikawa cheusi

Kwangu sikuiona tena future, na sikuwa na ujasiri wa kusema nyumbani coz tulishazika ndugu kama 4 hivi tayari na majonzi yalikuwa bado hajawaisha ndugu zangu. Baada ya kujua hali yangu kila kitu kilibadilika sikuwa na hamu tena na dunia nilikuwa na mawazo ya kufa kila wakati.

Elimu sikuiona tena ya maana., nilivurugwa kabisa nikaona niachane kabisa na chuo coz kwa muda huo sikuona kabisa umuhimu wake. Nikapata sonona moja kali nikawa najifungia tu ndani na kuangukia kabisa kwenye dunia ya waliokata tamaa.

Wakati nikijaribu kutoka na kushindwa siku moja nikapata simu nyumbani kuna ndugu yangu alikuwa kalazwa, sikutaka kwenda kabisa lkn kuna kitu kikaniambia niende tu nikamwone. Baada ya kufika pale na kumwona macho yalinifunguka na kuamua kutoka usingizini hali ya ndugu yangu iliweka simanzi kubwa kwenye nyuso za ndugu zangu, Mungu amlaze salama, hapo nikaamua kutoka gizani.

Baada ya kukaa ukiwa kwa miaka 4 nikaamua kwenda kituo cha afya na kuanzia dawa pamoja na ushauri sasa ni mwaka wa 6 tangu nitoke ndotoni maisha si sawa tena.

Sina future ya maana na ninatamani japo ningemaliza elimu yangu maisha yamekuwa magumu zaidi ya yenye ukiwa zaidi japo kidogo sina tena mawazo ya kijinga na afya yangu imeimarika sana. Mambo yamebadilika sasa, + si tishio tena watu wana + na maisha yanaenda kama kawaida

Mimi natamani miaka ile ingekuwa ni sasa nadhani ningekuwa na bright future.

Asanteni sana
Napenda kuwa na rafiki wa namna yako,Kama utanikubalia naomba niwee rafiki yako

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom