Well said, ungekuwa karibu hakika ningekupa zawadiKuwa bikra sio kigezo Cha uke wema na maadili.
Kujitambua ndio kunasaidia.
Unaweza ukaoa bikra lakini baba mwenye nyumba akammendea na kunitambulisha kwenye ulimwengu tofauti akanogewa akaanza kulalwa hovyo na kukuletea watoto sio wako.
Unampa soda ya fanta wenzio wanamuonjesha mirinda nyeusi😊 ananogewa anataka kote.
Kikubwa ni kujitambua mtu binafsi ajue yeye ni nani nayuko kwenye nafasi gani.aheshimu viapo vyake na mahusiano yake basi.kuoa bkra haimaanishi hatokitana na vishawishi,na kujitambua ndio kitasaidia kuvivuka na kubaki loyal.
Tuma mkuu hata huku inafika🙆Well said, ungekuwa karibu hakika ningekupa zawadi
Tukifanikiwa kuwajenga wasichana wasigawe k kabla ya ndoa itasaidia sana. Tabia ya mtu hujengeka utotoni. Ukubwani siyo rahisi sana kumdanganya mtu.Unaweza ukaoa bikra lakini baba mwenye nyumba akammendea na kunitambulisha kwenye ulimwengu tofauti akanogewa akaanza kulalwa hovyo na kukuletea watoto sio wako.
tatizo watakufa na bikra zako kitu ambacho hakina maanak kabla ya ndoa itasaidia sana
Sure thing..😆yani utafikiri izo bikira tunajitoa na vibunzi, kumbe wanaolalama ndo hao wanaotutoa,,mxiuuu
aah watuache sie,,uroda wetu wanataka na sild wanaitaka😫Sure thing..😆
Bikira ni muhimu na heshima kubwa sana kwa mwanamke. Nitoe mahari ya kutunziwa nini wakati nimekuta binti ashatumika? Kama haujaolewa na aliekutoa bikira usitafute justification ya kuahalalisha ukicheche wako. Suala la kujitambua hata mwenye bikira anaweza kuwa anajitambua tena uyo ndio mfano mzuri maana kaonesha mfano kwamba mwili wake sio wa kuchezewa ovyo na wanaume, suala la kutoa kote hata asiekua na bikira anaweza kutoa pia.Kuwa bikra sio kigezo Cha uke wema na maadili.
Kujitambua ndio kunasaidia.
Unaweza ukaoa bikra lakini baba mwenye nyumba akammendea na kunitambulisha kwenye ulimwengu tofauti akanogewa akaanza kulalwa hovyo na kukuletea watoto sio wako.
Unampa soda ya fanta wenzio wanamuonjesha mirinda nyeusi😊 ananogewa anataka kote.
Kikubwa ni kujitambua mtu binafsi ajue yeye ni nani nayuko kwenye nafasi gani.aheshimu viapo vyake na mahusiano yake basi.kuoa bkra haimaanishi hatokitana na vishawishi,na kujitambua ndio kitasaidia kuvivuka na kubaki loyal.
Ni sawa lakini kujitunza kwa kutunza usichana kuna thamani zaidiKuwa bikra sio kigezo Cha uke wema na maadili.
Kujitambua ndio kunasaidia.
Unaweza ukaoa bikra lakini baba mwenye nyumba akammendea na kunitambulisha kwenye ulimwengu tofauti akanogewa akaanza kulalwa hovyo na kukuletea watoto sio wako.
Unampa soda ya fanta wenzio wanamuonjesha mirinda nyeusi😊 ananogewa anataka kote.
Kikubwa ni kujitambua mtu binafsi ajue yeye ni nani nayuko kwenye nafasi gani.aheshimu viapo vyake na mahusiano yake basi.kuoa bkra haimaanishi hatokitana na vishawishi,na kujitambua ndio kitasaidia kuvivuka na kubaki loyal.
Hawaeleweki wanataka Nini,😆😆Kama tabia huanzia utotoni tuwafunze watoto wa kiume pia kutochovya buyu la asali wakiwa wadogo,,,😆😆😆 mtoto wa kiume sikuhizi unakuta Yuko bize kutoa bikra za mabinti alafu baadae akija kuoa anataka aoe bikra😆 bikra which?aah watuache sie,,uroda wetu wanataka na sild wanaitaka😫
Ni sawa lakini kujitunza kwa kutunza usichana kuna thamani zaidi