Hongereni sana wakina mama wote kwa upendo mlionao kwa watoto wenu.

Black poison The Factor

JF-Expert Member
May 31, 2020
1,034
1,498
Juzi mama wa mwanangu alikuwa anaenda dukani, mtoto nayeye akataka kwenda mama yake akamzuia dogo akawa mbishi.

Ikabidi wakubaliane kwamba hakuna kubwebwa, mtoto akakubali safari ikaanza, kama dakika 6 tu dogo akataka abebwe.

Mama akawa mkali, mtoto akatumia akili nyingi akaita mama mamaake akaitika abee mtoto akasema mbebe mtoto wako amechoka.

Akalamika kidogo pale kama kawaida dogo akapata lift.

Ni mengi sana mnayopitia akina mama wakati wa kutulea . Kiukweli hongereni sana sana sana.

Bila kusahau upendo wenu kwa watoto wenu haijalishi wanafanya mangapi ila upendo haupungui.

Mama ni nguzo muhimu sana kwa kila kiumbe, bila mama hakijakamilika kitu.

Hongereni akinamama wote MUNGU awabariki.

Ingependeza sana kama mngewapenda wanaume wenu kama muwapendavyo watoto,

Dunia ingekuwa sehemu salama sana kwetu sote kuishi muwe na jioni njema.
 
Juzi mama wa mwanangu alikua anaenda dukani, mtoto nayeye akataka kwenda mama yake akamzuia dogo akawa mbishi.

Ikabidi wakubaliane kwamba hakuna kubwebwa, mtoto akakubali safari ikaanza, kama dakika 6 tu dogo akataka abebwe.

Mama akawa mkali, mtoto akatumia akili nyingi akaita mama mamaake akaitika abee mtoto akasema mbebe mtoto wako amechoka.

Akalamika kidogo pale kama kawaida dogo akapata lift.

Ni mengi sana mnayopitia akina mama wakati wa kutulea . Kiukweli hongereni sana sana sana.

Bila kusahau upendo wenu kwa watoto wenu haijalishi wanafanya mangapi ila upendo haupungui.

Mama ni nguzo muhimu sana kwa kila kiumbe, bila mama hakijakamilika kitu.

Hongereni akinamama wote MUNGU awabariki.

Ingependeza sana kama mngewapenda wanaume wenu kama muwapendavyo watoto,

Dunia ingekua sehemu salama sana kwetu sote kuishi muwe na jioni njema.
Mkuu, mimi kama mwanamke na mama nikwambie ukweli upendo kwa mtoto na mume ni vitu viwili tofauti.

Kila mmoja ana nafasi yake, hivyo kuwa na amani nafasi yako kwa mama watoto haiwezi kuchukuliwa na watoto.

Vinginevyo inategemea na namna mnavyoishi, ikiwa baba anampa mama stress ndio mama huamishia upendo wote kwa watoto wake kwa kuwa ndio faraja yake.
 
Mimi mama ananipenda sana MUNGU ampe umri mrefu zaidi, inafikiaga hatua kama Nina tatizo flani hua simwambii maana ana pressure sana
 
Back
Top Bottom