ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 44,176
- 91,783
Labda kama mmekutana wawili wanafiki na wazindiki, ila wanaopendana kwa dhati lazima wakumbane na changamoto tu, ukikutana na mnafiki wa kukujibu "sawa baby" kwa kila kitu hutaona changamoto zozote.Sio kweli.
Wapo Watu wanaishi mapenzi ambayo ûkiyaona hutaamini. Yake mapenzi ya tamthilia.
Ninàushuhuda