Hili sio Roboti bali ni mdoli mkubwa

GOLD BOY

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
388
477
Straight forward, serikali Kupitia wizara ya mawasiliano na teknolojia imenunua mdoli wa kikubwa wao wanaitwa roboti.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya mdoli na roboti, hili letu ni mdoli kwanza katika uongeaji hakuna ishara ya mdomo kuzungumzia chini linatairi pili macho yake yametazama sehemu Moja tu
Watanzania tusijekushangaa tunaambiwa limenunuliwa billioni 2 hadi 3.

Sisi kiteknolojia bado sana ukilinganisha na nchi za wenzetu, sio kwamba hatuwezi kumake changes ila tuna viongozi wachumia kivulini.
 
kwanza hakukua na haja ya kununua hilo likikaragosi la nape serikali ilitakiwa itie fund kwenye vyuo au incubation hubs vijana waingie mzigoni iwe invention yetu nadhan pia ndio jukumu la tume ya sayans na teknolojia kuliko ule uhayawani
 
Sijui aliwekewa memory card, au wahuni waliconnect na bluetooth ukiongea wanakujibu kwenye vispeaker,ndio maana ukimziba haongei
Kuna pipe ilipitishwa chini ya sakafu mdoli ulipokuwa umewekwa na pipe hilo limefika hadi sehemu ya siri kulipokuwa na mjanja mmoja aliyekuwa na kazi ya kutoa majibu kupitia pipe hilo na kuaminisha watu kuwa ni mdoli unaongea.
 
Kuna pipe ilipitishwa chini ya sakafu mdoli ulipokuwa umewekwa na pipe hilo limefika hadi sehemu ya siri kulipokuwa na mjanja mmoja aliyekuwa na kazi ya kutoa majibu kupitia pipe hilo na kuaminisha watu kuwa ni mdoli unaongea.
Majanga ngoja tisuburi watwambie wanenunua bei gani lazima wataje billion
 
Tuna viongozi ambao akili zao na macho yao ni kama uyo roboti. Unanunua roboti kwa gharama kubwa sana na umuhumu wa kazi anayokuja kufanya kwa nchi kama Tz haupo.
Nyie viongozi sio mnanunua mdoli kariakoo mnatwambia ni roboti dunia nzima roboti anaepaka wanja, make-up yuko Tanzania tuu
 
Karoboti kenu na kamdomo kake
 

Attachments

  • Screenshot_20240519-134259~2.png
    Screenshot_20240519-134259~2.png
    320.4 KB · Views: 1
Straight forward, serikali Kupitia wizara ya mawasiliano na teknolojia imenunua mdoli wa kikubwa wao wanaitwa roboti.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya mdoli na roboti, hili letu ni mdoli kwanza katika uongeaji hakuna ishara ya mdomo kuzungumzia chini linatairi pili macho yake yametazama sehemu Moja tu
Watanzania tusijekushangaa tunaambiwa limenunuliwa billioni 2 hadi 3.

Sisi kiteknolojia bado sana ukilinganisha na nchi za wenzetu, sio kwamba hatuwezi kumake changes ila tuna viongozi wachumia kivulini.
Mimi ninachofikiria ilikaa kamati ya watu kabisa wakakubaliana kulipitisha lile roboti?
 
kwanza hakukua na haja ya kununua hilo likikaragosi la nape serikali ilitakiwa itie fund kwenye vyuo au incubation hubs vijana waingie mzigoni iwe invention yetu nadhan pia ndio jukumu la tume ya sayans na teknolojia kuliko ule uhayawani
Made in China na Made in Tanzania unanunua IPI?
 
Back
Top Bottom