Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,724
- 104,597
Kwasababu wanaccm wa watanganyika ndio wanashurutisha huo muungano uendelee kuwepo. Yaani kama mwanamke hakutaki na ww ukawa unamlazimisha, ni lazima akupe mashati magumu ya kukukomoa. Mtu yoyote mwenye akili timamu akiamua kufuatilia huu muungano atajua ni uhuni wa wazi.Ni fikiria waliwazanini kufanya hivyo sielewi