Tafuta hela mkuu ili upunguze muda wa kubabuliwa na jua 😅😅View attachment 2971522
View attachment 2971523
Ray kigosi aliwahi kusema wanakunywa maji mengi sana kubadili rangi ya ngozi, ni Maji haya ni yapi?
Picha ya juu ni mtoto wa Tandale akiwa Tandale, ya chini ni akiwa Mbezi Beach.View attachment 2971522
View attachment 2971523
Ray kigosi aliwahi kusema wanakunywa maji mengi sana kubadili rangi ya ngozi, ni Maji haya ni yapi?
Hapa kuna ukweli mkuu. Hongera umejibu kisomi sana.Picha ya juu ni mtoto wa Tandale akiwa Tandale, ya chini ni akiwa Mbezi Beach.
Kuna watu wanaonekana weusi kutokana na kuoga maji ya kopo kwenye passport size, uchafu hauishi, mwili hautakati, lakini ukipiga shower, hot bath, sauna, jacuzzi, uchafu wote kwisha, unang'ara!.
P
Kuna Hotel fulani Zanzibar niliwahi kuingia kwenye Jaccuz yaani uchafu wote ulikuwa unaelea kwenye kingo za Jaccuz nikajua kumbe kuna kuoga na kujiswafi. Kwenye Jaccuz unajiswafi aisee 😀😀😀Picha ya juu ni mtoto wa Tandale akiwa Tandale, ya chini ni akiwa Mbezi Beach.
Kuna watu wanaonekana weusi kutokana na kuoga maji ya kopo kwenye passport size, uchafu hauishi, mwili hautakati, lakini ukipiga shower, hot bath, sauna, jacuzzi, uchafu wote kwisha, unang'ara!.
P
Picha ya juu ni mtoto wa Tandale akiwa Tandale, ya chini ni akiwa Mbezi Beach.
Kuna watu wanaonekana weusi kutokana na kuoga maji ya kopo kwenye passport size, uchafu hauishi, mwili hautakati, lakini ukipiga shower, hot bath, sauna, jacuzzi, uchafu wote kwisha, unang'ara!.
P
Maji ya kisima!View attachment 2971522
View attachment 2971523
Ray kigosi aliwahi kusema wanakunywa maji mengi sana kubadili rangi ya ngozi, ni Maji haya ni yapi?