Hawa vijana wanaohitimu mafunzo ya kijeshi na kukosa ajira ni hatari Kwa taifa letu

GOLD BOY

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
388
477
On point, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi na kukosa ajira, hivi ikitokea Hawa vijana wamebadili mawazo au wameshawishiwa na kikundi Cha kiharifu kujiunga navyo ni hatari Kwa usalama wa watanzania.

Ukifatilia wanasema jeshi tumelima sana tumefanyishwa kazi sana mwisho wametutema hawa vijana saikolojikali wamejenga chuki ndani ya mioyo yao kuhusu serikali hivyo ikitokea wameshawishiwa na vikundi viovu aisee ni hatari zaidi.

Mwisho, naomba serikali ikalianganlie hili upya hawa vijana ni wengi Kila mwaka wanahitimu wamerundikana mtaani hivyo ni vyema serikali iwaajiri hata wawe wakata kuni, na waosha vyombo kule makambini kuliko kuwaacha uraiani ni hatari sana
 
Hili taifa linahitaji jeshi kubwa sana la wananchi wasio katika mifumo rasmi ya ajira.

Taifa hili linahitaji zaidi JKT wasio na ajira.
 
Urithi tulioachiwa na waasisi wetu ni amani, inapaswa tuilinde kwa gharama yoyote Ile..!
 
Sio hatari hata kidogo bali unapaswa kufurahi na kushangilia kua saa ya ukombozi imefika.
Fikiria vizuri mkuu!! Kwa mfano Hawa vijana wamedanganyika wakaumda vikosi vyao au wamepata mfadhiri wa kigaidi unadhani Nini kitatokea
 
On point, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi na kukosa ajira, hivi ikitokea Hawa vijana wamebadili mawazo au wameshawishiwa na kikundi Cha kiharifu kujiunga navyo ni hatari Kwa usalama wa watanzania.

Ukifatilia wanasema jeshi tumelima sana tumefanyishwa kazi sana mwisho wametutema hawa vijana saikolojikali wamejenga chuki ndani ya mioyo yao kuhusu serikali hivyo ikitokea wameshawishiwa na vikundi viovu aisee ni hatari zaidi.

Mwisho, naomba serikali ikalianganlie hili upya hawa vijana ni wengi Kila mwaka wanahitimu wamerundikana mtaani hivyo ni vyema serikali iwaajiri hata wawe wakata kuni, na waosha vyombo kule makambini kuliko kuwaacha uraiani ni hatari sana
Hawatakuelewa hata
 
Fikiria vizuri mkuu!! Kwa mfano Hawa vijana wamedanganyika wakaumda vikosi vyao au wamepata mfadhiri wa kigaidi unadhani Nini kitatokea
Kile ambacho kilipaswa kutokea.

Usiogope taifa lina hitaji JKT wengi zaidi wasio na ajira wenda ndio saa ya ukombozi imewadia.

Usiwaze tu kuhusu ugaidi waza pia kuhusu uasi wa mifumo miovu iliyopo hapa nchini.
 
On point, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi na kukosa ajira, hivi ikitokea Hawa vijana wamebadili mawazo au wameshawishiwa na kikundi Cha kiharifu kujiunga navyo ni hatari Kwa usalama wa watanzania.

Ukifatilia wanasema jeshi tumelima sana tumefanyishwa kazi sana mwisho wametutema hawa vijana saikolojikali wamejenga chuki ndani ya mioyo yao kuhusu serikali hivyo ikitokea wameshawishiwa na vikundi viovu aisee ni hatari zaidi.

Mwisho, naomba serikali ikalianganlie hili upya hawa vijana ni wengi Kila mwaka wanahitimu wamerundikana mtaani hivyo ni vyema serikali iwaajiri hata wawe wakata kuni, na waosha vyombo kule makambini kuliko kuwaacha uraiani ni hatari sana
Usiogope ndio maana kuna Sheria, Mahakama na Police maana kwamba wakifanya uhalifu Sheria itawatafuna
 
Usiogope ndio maana kuna Sheria, Mahakama na Police maana kwamba wakifanya uhalifu Sheria itawatafuna
Wakati huo mahakama na police zitakuwa hazifanyi kazi ipasavyo hata huo muda sidhani kama watakuwa nao.
 
Acha woga wewe, uharifu wamefanya madogo( panya road) ambao hata dojo hawajui.
 
Huwa wana danganywa ...eti nyie ndo wazalendo ...hakuna mzalendo mwenye njaa hapa dunian..
 
Back
Top Bottom