Hata extrovert akasome. Huyu member wa kuitwa "raraa reree" ni roboti la ku like posti ama?

Mwamba raraa reree kaanza kasi October mwaka jana wakati hule wa ajali ya precision air bukoba dogo majaliwa alipoibuka. Na wakati huo mwamba Extrovert akawa anapotea potea hadi nikashtutuka na kumtag Extrovert mbona hata kalike hazionekani kulikoni kwasababu hata mada za masanja kugongewa na katibu extrovert holaa nikawa najiuliza na ndo wakati huo mwamba raraa reree kashika kasi alikuwaga na avatar picha flani hivi kavaa kofia kama ya 50 cent alipoibadilisha nilimind kichiz.

Sometimes nahis his Extrovert ndo raraa reree
 
Back
Top Bottom