Hamas pambaneni acheni visingizio, la hamuwezi, nyoosheni mikono msione aibu!

Nsanzagee

JF-Expert Member
Jun 28, 2023
2,094
4,413
Magaidi wamekuwa walalamishi kwa visingizio kibao, eti IDF anapiga sana watoto na wake zao, kwa nini asiwapige wao tu?

Wanasema hivyo, huku wakijificha sehemu ya watoto na wake zao, sasa wanataka adui yao akitupa bomu, likachague gaidi liliojificha kwa watoto na wanawake? Hii sjawai kuiona wala kusikia ati.

Hawakumbuki kabisa wao walipoenda kwa Wazayuni kuwalipua na kuwateka wengine huku wakimtukuza mungu wao anayefurahia kuuliwa watu wasio wa dini yake.

Hamasi, tumieni marifa mengine kuwazuwia hao adui zenu wazayuni msikae kulalamika, mtakwisha, shauri yenu

Alikeni na wengine wako huku buza na tandale nao wanasubiri mwaliko wenu, labda wao watasaidia kuwazuia wazayuni hao wasiendelee kuleta maafa zaidi.

Kama hamna njia nyingine, basi inueni mikono juu ishara ya kusalenda, hiyo nayo ni ishara ya kiume.
 
Sasa unataka IDF wakipiga watoto watu wanyamaze kimya? mbona kule Ukraine kila siku vilio Russia akipiga raia wa kawaida, utasikia hadi umoja wa Ulaya wana laani na vilio juu
 
Magaidi wamekuwa walalamishi kwa visingizio kibao, eti IDF anapiga sana watoto na wake zao, kwa nini asiwapige wao tu?

Wanasema hivyo, huku wakijificha sehemu ya watoto na wake zao, sasa wanataka adui yao akitupa bomu, likachague gaidi liliojificha kwa watoto na wanawake? Hii sjawai kuiona wala kusikia ati!

Hawakumbuki kabisa wao walipoenda kwa Wazayuni kuwalipua na kuwateka wengine huku wakimtukuza mungu wao anayefurahia kuuliwa watu wasio wa dini yake!

Hamasi, tumieni marifa mengine kuwazuwia hao adui zenu wazayuni msikae kulalamika, mtakwisha, shauri yenu

Alikeni na wengine wako huku buza na tandale nao wanasubiri mwaliko wenu, labda wao watasaidia kuwazuia wazayuni hao wasiendelee kuleta maafa zaidi

Kama hamna njia nyingine, basi inueni mikono juu ishara ya kusalenda, hiyo nayo ni ishara ya kiume!
Ngoja waje kina Hamas wa buza, wapigania Allah kutema cheche.
 
Magaidi wamekuwa walalamishi kwa visingizio kibao, eti IDF anapiga sana watoto na wake zao, kwa nini asiwapige wao tu?

Wanasema hivyo, huku wakijificha sehemu ya watoto na wake zao, sasa wanataka adui yao akitupa bomu, likachague gaidi liliojificha kwa watoto na wanawake? Hii sjawai kuiona wala kusikia ati!

Hawakumbuki kabisa wao walipoenda kwa Wazayuni kuwalipua na kuwateka wengine huku wakimtukuza mungu wao anayefurahia kuuliwa watu wasio wa dini yake!

Hamasi, tumieni marifa mengine kuwazuwia hao adui zenu wazayuni msikae kulalamika, mtakwisha, shauri yenu

Alikeni na wengine wako huku buza na tandale nao wanasubiri mwaliko wenu, labda wao watasaidia kuwazuia wazayuni hao wasiendelee kuleta maafa zaidi

Kama hamna njia nyingine, basi inueni mikono juu ishara ya kusalenda, hiyo nayo ni ishara ya kiume!
Mkuu Hapa JF wapo, Je wanasoma Bandiko lako..
Kuna wakati tunahitaji Kuwaimbea sana Nyie wenye videndera
 
Magaidi wamekuwa walalamishi kwa visingizio kibao, eti IDF anapiga sana watoto na wake zao, kwa nini asiwapige wao tu?

Wanasema hivyo, huku wakijificha sehemu ya watoto na wake zao, sasa wanataka adui yao akitupa bomu, likachague gaidi liliojificha kwa watoto na wanawake? Hii sjawai kuiona wala kusikia ati!

Hawakumbuki kabisa wao walipoenda kwa Wazayuni kuwalipua na kuwateka wengine huku wakimtukuza mungu wao anayefurahia kuuliwa watu wasio wa dini yake!

Hamasi, tumieni marifa mengine kuwazuwia hao adui zenu wazayuni msikae kulalamika, mtakwisha, shauri yenu

Alikeni na wengine wako huku buza na tandale nao wanasubiri mwaliko wenu, labda wao watasaidia kuwazuia wazayuni hao wasiendelee kuleta maafa zaidi

Kama hamna njia nyingine, basi inueni mikono juu ishara ya kusalenda, hiyo nayo ni ishara ya kiume!
Kwahiyo ww huoni hao wanaouawa kwa mamia kwamba ni watoto na wanawake?kwani hiyo ndio shabaha ya vita?subiria basi na ww siku viibuke vita au machafuko kisha ushuhudie mwanao anavyonyofolewa mikono na mabomu ndipo utayajua maumivu yake shwain kabisa ww.
 
Sasa unataka IDF wakipiga watoto watu wanyamaze kimya? mbona kule Ukraine kila siku vilio Russia akipiga raia wa kawaida, utasikia hadi umoja wa Ulaya wana laani na vilio juu
Soma tena rudia Mara 5 utaelewa.

Kwamba unachanganyika na watoto na akina mama. Unawafanya kinga yako.

Sasa bomu litaacha kupigwa hapo kwasababu Kuna watoto au Hilo bomu litachagua Hamas tu ?
 
Magaidi wamekuwa walalamishi kwa visingizio kibao, eti IDF anapiga sana watoto na wake zao, kwa nini asiwapige wao tu?

Wanasema hivyo, huku wakijificha sehemu ya watoto na wake zao, sasa wanataka adui yao akitupa bomu, likachague gaidi liliojificha kwa watoto na wanawake? Hii sjawai kuiona wala kusikia ati.

Hawakumbuki kabisa wao walipoenda kwa Wazayuni kuwalipua na kuwateka wengine huku wakimtukuza mungu wao anayefurahia kuuliwa watu wasio wa dini yake.

Hamasi, tumieni marifa mengine kuwazuwia hao adui zenu wazayuni msikae kulalamika, mtakwisha, shauri yenu

Alikeni na wengine wako huku buza na tandale nao wanasubiri mwaliko wenu, labda wao watasaidia kuwazuia wazayuni hao wasiendelee kuleta maafa zaidi.

Kama hamna njia nyingine, basi inueni mikono juu ishara ya kusalenda, hiyo nayo ni ishara ya kiume.
Je unaijua Dahiya doctrine ya waisrael kama huijui basi ujue tu wanafuata hiyo strategy na wanapiga civilian makusudi tu. Tunaombea amani vita iishe wanaoumia ni raia .
 
Magaidi wamekuwa walalamishi kwa visingizio kibao, eti IDF anapiga sana watoto na wake zao, kwa nini asiwapige wao tu?

Wanasema hivyo, huku wakijificha sehemu ya watoto na wake zao, sasa wanataka adui yao akitupa bomu, likachague gaidi liliojificha kwa watoto na wanawake? Hii sjawai kuiona wala kusikia ati.

Hawakumbuki kabisa wao walipoenda kwa Wazayuni kuwalipua na kuwateka wengine huku wakimtukuza mungu wao anayefurahia kuuliwa watu wasio wa dini yake.

Hamasi, tumieni marifa mengine kuwazuwia hao adui zenu wazayuni msikae kulalamika, mtakwisha, shauri yenu

Alikeni na wengine wako huku buza na tandale nao wanasubiri mwaliko wenu, labda wao watasaidia kuwazuia wazayuni hao wasiendelee kuleta maafa zaidi.

Kama hamna njia nyingine, basi inueni mikono juu ishara ya kusalenda, hiyo nayo ni ishara ya kiume.
Uharo mtupu.
 
Kwahiyo ww huoni hao wanaouawa kwa mamia kwamba ni watoto na wanawake?kwani hiyo ndio shabaha ya vita?subiria basi na ww siku viibuke vita au machafuko kisha ushuhudie mwanao anavyonyofolewa mikono na mabomu ndipo utayajua maumivu yake shwain kabisa ww.
Sasa gaidi anapataje uhalali wa kulalamikia madhara ya ugaidi wake!
 
Soma tena rudia Mara 5 utaelewa.

Kwamba unachanganyika na watoto na akina mama. Unawafanya kinga yako.

Sasa bomu litaacha kupigwa hapo kwasababu Kuna watoto au Hilo bomu litachagua Hamas tu ?
Kwahiyo kule Ukraine nao wanachanganya ? mbona kila siku wanatoa kauli za kulaani mabomu ya Urusi, acheni propaganda ni kawaida ya wanajeshi kuua raia na ni wajibu wa watu kusema
 
Back
Top Bottom