Droni za Iran zaleta taharuki Ukraine

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,454
11,427
Mwanzo ilikuwa kama tetesi na mshangao kuwa Iran imeiuzia au imeipa zawadi Urusi droni zake ili zishiriki kuitandika Ukraine.Na hata raisi wa Ukraine mwanzoni alizitaja droni kuwa haziwezi kazi na hazitobadilisha kasi yao ya kuteka miji ya Urusi.Mambo yamebadilika tangu wiki mbili zilizopita wakati droni hizo zilipoupiga mji wa bandari wa Odessa na kupelekea Zelensky kuitupia lawama Iran kwa kutoa droni zake za Shaheed kusaidia kuwapiga.Malalamiko hayo yameongezeka hapo juzi Urusi ilipoipiga miji mingi ya Ukraine kwa wakati mmoja.Kwa mara nyengine jeshi la Ukraine limetaja hofu yao kwa droni hizo zinazodowea angani na zinazopiga kama mwewe.
 
Rais wa Ukraine 🇺🇦 amekiri wazi kuwa wana weza kulinda Aanga Lao kwa 10% tu, hivyo anahitaji msaada kuweza kulinda taifa lake

Nchi za Muungano wa G7 zime muahidi kumpatia fedha, silaha nk kujilinda na sio kusababisha vita vya tatu vya Dunia kwa maana hawataki vitokee ila wanacho fanya ni kumuwezesha Ukraine 🇺🇦 aweze kujilinda

Wakati huo huo Marais wa Urusi na Uturuki wamekutana katika nchi moja wapo huko Tajikistan 🇹🇯 Au Azerbaijan 🇦🇿 kwa ajili ya kuimarisha mahusiano yao na kujenga bomba la gesi na viwanda nchini uturuki na kusitisha kupitisha bomba la gas kupitia ukraine 🇺🇦

Putin ana paita uturuki kwa erdogan kuwa ni sehemu Salama sana kwa uwekezaji kuingia ulaya, hivyo bidhaa zake ikiwepo gas anataka zipitie uturuki ndipo ziingie ulaya na sio kupitia ukraine 🇺🇦
 
Russia na Iran wapo na Umoja wao wa chini chini na ninadhani Iran wanatumia mwanya huo kuweza kujaribu ufanisi wa silaha zao.

Pia hao hao Russia, Iran pamoja na kundi la Hezbollah kutoka Lebanon ndio wanamfanya mpaka Rais Assad wa Syria kuwa madarakani hadi leo.
 
Rais wa Ukraine amekiri wazi kuwa wana weza kulinda Aanga Lao kwa 10% tu, hivyo anahitaji msaada kuweza kulinda taifa lake

Nchi za Muungano wa G7 zime muahidi kumpatia fedha, silaha nk kujilinda na sio kusababisha vita vya tatu vya Dunia kwa maana hawataki vitokee ila wanacho fanya ni kumuwezesha Ukraine aweze kujilinda

Wakati huo huo Marais wa Urusi na Uturuki wamekutana katika nchi moja wapo huko Tajikistan Au Azerbaijan kwa ajili ya kuimarisha mahusiano yao na kujenga bomba la gesi na viwanda nchini uturuki na kusitisha kupitisha bomba la gas kupitia ukraine

Putin ana paita uturuki kwa erdogan kuwa ni sehemu Salama sana kwa uwekezaji kuingia ulaya, hivyo bidhaa zake ikiwepo gas anataka zipitie uturuki ndipo ziingie ulaya na sio kupitia ukraine
Kitaalamu hii inaitwaje

Turkey amesaliti EU + USA

Turkey amegundua unafki wa USA
 
Mwanzo ilikuwa kama tetesi na mshangao kuwa Iran imeiuzia au imeipa zawadi Urusi droni zake ili zishiriki kuitandika Ukraine.Na hata raisi wa Ukraine mwanzoni alizitaja droni kuwa haziwezi kazi na hazitobadilisha kasi yao ya kuteka miji ya Urusi.Mambo yamebadilika tangu wiki mbili zilizopita wakati droni hizo zilipoupiga mji wa bandari wa Odessa na kupelekea Zelensky kuitupia lawama Iran kwa kutoa droni zake za Shaheed kusaidia kuwapiga.Malalamiko hayo yameongezeka hapo juzi Urusi ilipoipiga miji mingi ya Ukraine kwa wakati mmoja.Kwa mara nyengine jeshi la Ukraine limetaja hofu yao kwa droni hizo zinazodowea angani na zinazopiga kama mwewe.

Irani na Turkey wako mbele Sana kwenye teknolojia ya drones hatari za vita.
 
Mwanzo ilikuwa kama tetesi na mshangao kuwa Iran imeiuzia au imeipa zawadi Urusi droni zake ili zishiriki kuitandika Ukraine.Na hata raisi wa Ukraine mwanzoni alizitaja droni kuwa haziwezi kazi na hazitobadilisha kasi yao ya kuteka miji ya Urusi.Mambo yamebadilika tangu wiki mbili zilizopita wakati droni hizo zilipoupiga mji wa bandari wa Odessa na kupelekea Zelensky kuitupia lawama Iran kwa kutoa droni zake za Shaheed kusaidia kuwapiga.Malalamiko hayo yameongezeka hapo juzi Urusi ilipoipiga miji mingi ya Ukraine kwa wakati mmoja.Kwa mara nyengine jeshi la Ukraine limetaja hofu yao kwa droni hizo zinazodowea angani na zinazopiga kama mwewe.

russia na iran ni wanachama wamoja ktk muungano wa BRICS... kwhy anachkfnya iran n mumsaidia mwenzake
 
Russia na Iran wapo na Umoja wao unaitwa "BRICS" (Brazil, Russia, Iran, China, South Africa)

Ninadhani Iran wanatumia mwanya huo kuweza kujaribu ufanisi wa silaha zao.

Pia hao hao Russia, Iran pamoja na kundi la Hezbollah kutoka Lebanon ndio wanamfanya mpaka Rais Assad wa Syria kuwa madarakani mpaka leo hii.
Mkuu Iran hayupo BRICS , ni India
 
Hii ni ndege vita ya jeshi la Ukraine imetunguliwa na drone ya Iran
FB_IMG_16656810296882599.jpg
FB_IMG_16656810361989406.jpg
FB_IMG_16656810335702289.jpg
 
Back
Top Bottom