Chief Godlove na Chimakeke wa mitandao ya jamii wamejaliwa akili ya kuchochea hasira za maendeleo

Kichwamoto

JF-Expert Member
Jan 21, 2019
3,363
4,559
Hello Bazzukulu!

Kukaa maghettoni bila michongo ya pesa ni hatari kwa afya ya uchumi wa jamii na taifa.

Raha ya maisha ni pesa na maendeleo. Huyu Chief Godlove, na Chimakeke ni madoni na misheni inspirers wa mchongo, wna akili fulani hivi ya kuchochea hasira za maendeleo.

Michano yao ya makavu ya kuwatoa vijana maghettoni ni inatia hasira sana vijana ambao hawana ajira, hawana michongo, wana mavyeti tu ya elimu.

Nawapongeza waendelee hivyo hivyo maisha hayajawahi kuwa na ubwete kwenye maisha ili ufike mbali jasho na damu vita tamalaki.

Ni uamuzi ukitaka utamu wa maisha huna budi utokwe jasho au damu au vyote kwa pamoja.

Vijana wakubali kupata elimu na maarifa kwa njia ya majigambo, kubezwa, kuchekwa, haijalishi pokeeni changamoto hizo namna chanya.

Kubweteka maghettoni sio ujanja utaishia na kauli mbiu Ooh sie tupo downtown kitambo, sie malegend wa town, inasaidia nini sasa utakula ulegend, downtown kitambo sio pesa. 🤣🤣🤣🤣

Maisha ni pesa tafuta pesa kila siku usiulize wapi wewe tafuta pesa. Kazi ni pesa na pesa ni kazi.

Hasira ya maendeleo ndio utu vijana amkeni sasa.

Ni hayo tu

Kichwamoto nawasalisha.
 
Chimakeke kono jeusi mutanitaka
Tokeni magetoni mbwa ninyi
Kuna nini tena tataaa.!!!
Vijana walianzia na hasira kali dhidi yao ila sasa hivi wameshaelewa wameanza kukubali wanatoka maghettoni kiasi motivation zinawaingia.
 
Hello Bazzukulu!

Kukaa maghettoni bila michongo ya pesa ni hatari kwa afya ya uchumi wa jamii na taifa.

Raha ya maisha ni pesa na maendeleo. Huyu Chief Godlove, na Chimakeke ni madoni na misheni inspirers wa mchongo, wna akili fulani hivi ya kuchochea hasira za maendeleo.

Michano yao ya makavu ya kuwatoa vijana maghettoni ni inatia hasira sana vijana ambao hawana ajira, hawana michongo, wana mavyeti tu ya elimu.

Nawapongeza waendelee hivyo hivyo maisha hayajawahi kuwa na ubwete kwenye maisha ili ufike mbali jasho na damu vita tamalaki.

Ni uamuzi ukitaka utamu wa maisha huna budi utokwe jasho au damu au vyote kwa pamoja.

Vijana wakubali kupata elimu na maarifa kwa njia ya majigambo, kubezwa, kuchekwa, haijalishi pokeeni changamoto hizo namna chanya.

Kubweteka maghettoni sio ujanja utaishia na kauli mbiu Ooh sie tupo downtown kitambo, sie malegend wa town, inasaidia nini sasa utakula ulegend, downtown kitambo sio pesa. 🤣🤣🤣🤣

Maisha ni pesa tafuta pesa kila siku usiulize wapi wewe tafuta pesa. Kazi ni pesa na pesa ni kazi.

Hasira ya maendeleo ndio utu vijana amkeni sasa.

Ni hayo tu

Kichwamoto nawasalisha.
Sawa wamekusikia na watoke magettoni si ujanja!
 
Hello Bazzukulu!

Kukaa maghettoni bila michongo ya pesa ni hatari kwa afya ya uchumi wa jamii na taifa.

Raha ya maisha ni pesa na maendeleo. Huyu Chief Godlove, na Chimakeke ni madoni na misheni inspirers wa mchongo, wna akili fulani hivi ya kuchochea hasira za maendeleo.

Michano yao ya makavu ya kuwatoa vijana maghettoni ni inatia hasira sana vijana ambao hawana ajira, hawana michongo, wana mavyeti tu ya elimu.

Nawapongeza waendelee hivyo hivyo maisha hayajawahi kuwa na ubwete kwenye maisha ili ufike mbali jasho na damu vita tamalaki.

Ni uamuzi ukitaka utamu wa maisha huna budi utokwe jasho au damu au vyote kwa pamoja.

Vijana wakubali kupata elimu na maarifa kwa njia ya majigambo, kubezwa, kuchekwa, haijalishi pokeeni changamoto hizo namna chanya.

Kubweteka maghettoni sio ujanja utaishia na kauli mbiu Ooh sie tupo downtown kitambo, sie malegend wa town, inasaidia nini sasa utakula ulegend, downtown kitambo sio pesa.

Maisha ni pesa tafuta pesa kila siku usiulize wapi wewe tafuta pesa. Kazi ni pesa na pesa ni kazi.

Hasira ya maendeleo ndio utu vijana amkeni sasa.

Ni hayo tu

Kichwamoto nawasalisha.
Ukwel ni kwamba akuna mtu ambaye hapendi maendeleo na hakuna mtu ambaye hapemdi kuwa na pesa am maendleo flan,, si vijana tu pia kuna wazee ambao hawana michongo na si kuwa wanapenda kuwa hvyo, hvyo bas katika kizaz tulichopo ni kizazi cha kjuana zaid katika maisha, hata kama ni kazi ya kuchimba mitano huwez kupata hyo kazi bila ya kuwa na conection ya mtu flan ko si kwamba watu wote waliokaa mageton wanapenda kuwa hvyo bali ni conection ndo zinakosa na siyo kwamba aangaiki juu ya kupata kazi bali pia anapmbana kupata kazi,, ko kwa watu uliowataja ndyo wanachochea maendleo lKini wasijisifu kuwa na hvyo vitu bali nao kuonekana kwao ni kutokana na konection bila hvyo huenda nao wangekuw mageton,
 
Ukwel ni kwamba akuna mtu ambaye hapendi maendeleo na hakuna mtu ambaye hapemdi kuwa na pesa am maendleo flan,, si vijana tu pia kuna wazee ambao hawana michongo na si kuwa wanapenda kuwa hvyo, hvyo bas katika kizaz tulichopo ni kizazi cha kjuana zaid katika maisha, hata kama ni kazi ya kuchimba mitano huwez kupata hyo kazi bila ya kuwa na conection ya mtu flan ko si kwamba watu wote waliokaa mageton wanapenda kuwa hvyo bali ni conection ndo zinakosa na siyo kwamba aangaiki juu ya kupata kazi bali pia anapmbana kupata kazi,, ko kwa watu uliowataja ndyo wanachochea maendleo lKini wasijisifu kuwa na hvyo vitu bali nao kuonekana kwao ni kutokana na konection bila hvyo huenda nao wangekuw mageton,
Kujisifu ni muhimu sana tupo hapa kwa sababu huo uoga wa kujisifu ukiwa na pesa hio uoga wa sifa ni Pepo la umaskini. Ukiwa na pesa Sena nina pesa hata malaika wa pesa watakaa na wewe. Mindset za kimaskini sio nzuri
 
Ukwel ni kwamba akuna mtu ambaye hapendi maendeleo na hakuna mtu ambaye hapemdi kuwa na pesa am maendleo flan,, si vijana tu pia kuna wazee ambao hawana michongo na si kuwa wanapenda kuwa hvyo, hvyo bas katika kizaz tulichopo ni kizazi cha kjuana zaid katika maisha, hata kama ni kazi ya kuchimba mitano huwez kupata hyo kazi bila ya kuwa na conection ya mtu flan ko si kwamba watu wote waliokaa mageton wanapenda kuwa hvyo bali ni conection ndo zinakosa na siyo kwamba aangaiki juu ya kupata kazi bali pia anapmbana kupata kazi,, ko kwa watu uliowataja ndyo wanachochea maendleo lKini wasijisifu kuwa na hvyo vitu bali nao kuonekana kwao ni kutokana na konection bila hvyo huenda nao wangekuw mageton,
Pambana bila kuchoka
 
Jamaa amecreate contents za kutia hasira watu hivyo zinaenda viral hivyo anazidi kupiga maokoto kwenye tiktok/youtube....ila styles yake wazee wa kikosi Kazi wanaweza kumtilia maguu na kuanza kufatilia sources ya income yake ,naona sasa amevuta Range anatesa nayo.
 
Jamaa amecreate contents za kutia hasira watu hivyo zinaenda viral hivyo anazidi kupiga maokoto kwenye tiktok/youtube....ila styles yake wazee wa kikosi Kazi wanaweza kumtilia maguu na kuanza kufatilia sources ya income yake ,naona sasa amevuta Range anatesa nayo.
Huyo ni nyoko anavuruga vibaya sana
 
Back
Top Bottom