Car4Sale Carina TI inauzwa

live on

JF-Expert Member
Dec 30, 2018
825
1,298
CARINA TI INAUZWA bei tshs 6.8 M
Ipo Dar es salaam

kama unahitaji njo inbox

IMG_20240516_073725_295.jpg
IMG_20240516_073752_722.jpg
IMG_20240516_073801_790.jpg
IMG_20240516_073843_030.jpg
IMG_20240516_074004_691.jpg
 
Pamoja na kwamba hiyo gari inaonekana umeitunza lakini kwa bei hiyo bado ni ghali.
Hapo mkuu jiandae usawa wa m 4 hadi 3.5
 
Wabongo huwa siwaelewi, gari limeingia nchini 2014 kati ya February hadi May. Kipindi hicho hilo gari mpaka clearance haizidi milioni 6 na nusu. Miaka 10 baadae anauza milioni 6.8. Kisa ni T.i. Ngoja tumtakie kila la heri tu kwenye biashara yake.
Wananishangazaga sana wabongo.

Wenyewe wajapani huko wametumia weeee,wakaja kumuuzia kwa bei ndogo

Na yeye hapa bongo kaitumia weeeeee,anataka kuwapiga wabongo wenzake kwa bei za tamaa
 
Habari wakuu msione nipo kimya Kwa ambao mmetuma post zenu humu na wengine walikuja inbox

Gali limepatwa na majanga wezi waliruka ukuta wakaiba baadhi ya vitu
Taa za nyuma
Site mirror zote
Betri
Regetor na feni zake
Jeki
Show ya mbele

Ila Gali Ina bima kubwa ndio nafuatilia nione itakuwaje
 

Attachments

  • IMG_20240519_070226_325.jpg
    IMG_20240519_070226_325.jpg
    2.6 MB · Views: 4
  • IMG_20240519_070328_801.jpg
    IMG_20240519_070328_801.jpg
    3 MB · Views: 3
Habari wakuu msione nipo kimya Kwa ambao mmetuma post zenu humu na wengine walikuja inbox

Gali limepatwa na majanga wezi waliruka ukuta wakaiba baadhi ya vitu
Taa za nyuma
Site mirror zote
Betri
Regetor na feni zake
Jeki
Show ya mbele

Ila Gali Ina bima kubwa ndio nafuatilia nione itakuwaje
Duhhhh.
 
Habari wakuu msione nipo kimya Kwa ambao mmetuma post zenu humu na wengine walikuja inbox

Gali limepatwa na majanga wezi waliruka ukuta wakaiba baadhi ya vitu
Taa za nyuma
Site mirror zote
Betri
Regetor na feni zake
Jeki
Show ya mbele

Ila Gali Ina bima kubwa ndio nafuatilia nione itakuwaje
Pole sana kamanda. Nadhani siku ukiona mwizi anachomwa hutamuonea huruma. Hata hao wanaowachoma moto wanakuwa kwenye mazingira kama hayo hayo ya kwako.
 
Habari wakuu msione nipo kimya Kwa ambao mmetuma post zenu humu na wengine walikuja inbox

Gali limepatwa na majanga wezi waliruka ukuta wakaiba baadhi ya vitu
Taa za nyuma
Site mirror zote
Betri
Regetor na feni zake
Jeki
Show ya mbele

Ila Gali Ina bima kubwa ndio nafuatilia nione itakuwaje
Mwizi wako hata hatoki mbali. Lazima atakuwa ni yule mwenye ufahamu na hiyo gari. Kama uliwaleta mafundi, madalali, nk. kuja kulikagua hilo gari, basi na mchakato wa wizi wa hivyo vifaa ulianzia hapo.
 
Mwizi wako hata hatoki mbali. Lazima atakuwa ni yule mwenye ufahamu na hiyo gari. Kama uliwaleta mafundi, madalali, nk. kuja kulikagua hilo gari, basi na mchakato wa wizi wa hivyo vifaa ulianzia hapo.
Hiyo nayo imo. Unaweza dhani ni madalali kumbe wanachora mchoro wa wizi
 
Habari wakuu msione nipo kimya Kwa ambao mmetuma post zenu humu na wengine walikuja inbox

Gali limepatwa na majanga wezi waliruka ukuta wakaiba baadhi ya vitu
Taa za nyuma
Site mirror zote
Betri
Regetor na feni zake
Jeki
Show ya mbele

Ila Gali Ina bima kubwa ndio nafuatilia nione itakuwaje
Pole mkuu
 
Wabongo huwa siwaelewi, gari limeingia nchini 2014 kati ya February hadi May. Kipindi hicho hilo gari mpaka clearance haizidi milioni 6 na nusu. Miaka 10 baadae anauza milioni 6.8. Kisa ni T.i. Ngoja tumtakie kila la heri tu kwenye biashara yake.
6M hapati hata aonge njia panda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom