Bei za vocha za paa

Mr. Marangu

JF-Expert Member
Apr 10, 2013
1,570
1,529
Habari
Kwa eneo nililopo bei ya jumla ya kununua vocha imepanda kutoka Tsh 960/= kwa vocha ya 1000/= kwenda Tsh 970/= kwa Vocha ya Tsh 1000/=

Hivyo ukinunua Vocha Pc 10 Tsh 9700/= wanakuachia 300/= sawa na Tsh 30/= kila vocha
Hali imekua ngumu kwani bei elekezi ya Kuuza Vocha ni aidha Tsh 500/=, 1000/=

Baadhi ya wafanyabiashara wasiotaka utani wanauza vocha ya 500 kwa 600, ya 1000/= kwa 1100/=

Vipi huko mliko hali ikoje?
 
Juzi nilitaka kununua Vocha ya elfu 5 nikatakiwa kulipia 5,500

Nikaone bora niweke MPesa ninunue kupitia MPesa tu 🙌
 
Habari
Kwa eneo nililopo bei ya jumla ya kununua vocha imepanda kutoka Tsh 960/= kwa vocha ya 1000/= kwenda Tsh 970/= kwa Vocha ya Tsh 1000/=

Hivyo ukinunua Vocha Pc 10 Tsh 9700/= wanakuachia 300/= sawa na Tsh 30/= kila vocha
Hali imekua ngumu kwani bei elekezi ya Kuuza Vocha ni aidha Tsh 500/=, 1000/=

Baadhi ya wafanyabiashara wasiotaka utani wanauza vocha ya 500 kwa 600, ya 1000/= kwa 1100/=

Vipi huko mliko hali ikoje?
Mpango mzima ni kutupia MPESA, TIGO PESA. AIRTEL MONEY, HALO PESA
 
Habari
Kwa eneo nililopo bei ya jumla ya kununua vocha imepanda kutoka Tsh 960/= kwa vocha ya 1000/= kwenda Tsh 970/= kwa Vocha ya Tsh 1000/=

Hivyo ukinunua Vocha Pc 10 Tsh 9700/= wanakuachia 300/= sawa na Tsh 30/= kila vocha
Hali imekua ngumu kwani bei elekezi ya Kuuza Vocha ni aidha Tsh 500/=, 1000/=

Baadhi ya wafanyabiashara wasiotaka utani wanauza vocha ya 500 kwa 600, ya 1000/= kwa 1100/=

Vipi huko mliko hali ikoje?
Mama anaupiga mwingi mno kwa kuifungua nchi.
Mi5 tena!
 
Habari
Kwa eneo nililopo bei ya jumla ya kununua vocha imepanda kutoka Tsh 960/= kwa vocha ya 1000/= kwenda Tsh 970/= kwa Vocha ya Tsh 1000/=

Hivyo ukinunua Vocha Pc 10 Tsh 9700/= wanakuachia 300/= sawa na Tsh 30/= kila vocha
Hali imekua ngumu kwani bei elekezi ya Kuuza Vocha ni aidha Tsh 500/=, 1000/=

Baadhi ya wafanyabiashara wasiotaka utani wanauza vocha ya 500 kwa 600, ya 1000/= kwa 1100/=

Vipi huko mliko hali ikoje?
Halafu na Bando la intaneti linakwisha haraka nikiingia mule fb linafyekwa fasita, Yani mb 500 ulikuwa unatumia siku 5, eti Sasa hivi unatumia masaa matano duhh!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom