Ni muda mrefu tangu mwezi wa pili kama sio januari tangu mitihani ya leseni ifanyike.
Nauliza hivi hakuna mkataba wa huduma kwa mteja? Hivi ninyi mnaweza kuamua tu mkusanye pesa halafu mnakaa kimya tu hadi mtakapojisikia kusema?
Hivi hata taarifa tu tangu muda wote huo,hamtaki kutoa?Mbona mnakuwa miungu watu katika ofisi zenu?
Nawaomba mjitokeze mtoe taarifa ili watu wajue wanafanya nini
Nauliza hivi hakuna mkataba wa huduma kwa mteja? Hivi ninyi mnaweza kuamua tu mkusanye pesa halafu mnakaa kimya tu hadi mtakapojisikia kusema?
Hivi hata taarifa tu tangu muda wote huo,hamtaki kutoa?Mbona mnakuwa miungu watu katika ofisi zenu?
Nawaomba mjitokeze mtoe taarifa ili watu wajue wanafanya nini