Juma Wage
Member
- Sep 8, 2023
- 60
- 202
Novemba 24, 2021 Kijana wa miaka 13 raia wa Burkina Faso, Aliou Sawadogo akiwa na manati yake porini akiwinda ndege, aliona kitu kikiambaa angani.
Sawadogo akatoa jiwe kutoka katika kaptula yake kisha akaliweka katika kigozi cha manati na kuanza kutafuta shabaha.
Akavuta pumzi na kuzishusha kwa kuachia jiwe lililoenda kuidungua ndege nyuki (drone) iliyokuwa angani.
Ndege nyuki hiyo ilikuwa ikipiga picha za kijasusi ambazo serikali ya Ufaransa huzitumia kwa manufaa yake.
Baada ya kuidondosha "drone" hiyo akaiokota kurudi nayo mjini.
Wananchi wakamtunza tuzo ya ushujaa kwa kumuinua juu kisha kuzunguka naye mitaani huku wakiimba nyimbo za kumsifu mtoto huyo.
Ndimi Juma Wage
Dodoma.
Sawadogo akatoa jiwe kutoka katika kaptula yake kisha akaliweka katika kigozi cha manati na kuanza kutafuta shabaha.
Akavuta pumzi na kuzishusha kwa kuachia jiwe lililoenda kuidungua ndege nyuki (drone) iliyokuwa angani.
Ndege nyuki hiyo ilikuwa ikipiga picha za kijasusi ambazo serikali ya Ufaransa huzitumia kwa manufaa yake.
Baada ya kuidondosha "drone" hiyo akaiokota kurudi nayo mjini.
Wananchi wakamtunza tuzo ya ushujaa kwa kumuinua juu kisha kuzunguka naye mitaani huku wakiimba nyimbo za kumsifu mtoto huyo.
Ndimi Juma Wage
Dodoma.