Zungu is a surname. Notable people with the surname include:
Bongani Zungu (born 1992), South African footballer
Lindelwe Zungu (born 1995), South African rugby union player
Mussa Zungu (born 1952), Tanzanian politician
Philani Zungu, South African activist
Vincent Mduduzi Zungu (born 1966), South African bishop
Sandile Zithulele Zungu Maskandi Artist
"Suala la bodaboda ni kero kubwa sana na hasa katika utumiaji wa sheria za barabara, mimi ni mtetetezi mkubwa sana wa bodaboda lakini matumizi yao kwenye barabara yanakatisha tamaa lazima muwe na mkakati maalum wa kudhibiti ajali wanazozifanya na lazima muwe na sheria kali za kuwadhibiti na hata...
Rasmi tunaanza Ajenda ya Samia 2025 leo katika Jimbo letu la Ilala. Hatutazimwa na mtu wala hatutawashwa na mtu, tumeamua kumbeba na kumtetea kiongozi anayesimamia umoja katika taifa letu.
Musa Azan Zungu
Mbunge, Ilala (CCM)
============ For English Audience Only=============
"We officially...
Nakumbuka wewe ndiye ulishikia bango la tozo za miamala ya simu. Ukashawishi serikali na bunge kuanzisha tozo hizo bila kujali maisha duni ya Watanzania wengi huku ukiweka mbele maslahi yako binafsi! Hivi ulidhani wote wanauza madawa ya kulevya na kupata vipato haramu kama wewe.
Sasa serikali...
Akizungumza na wananchi wa jimbo lake(Ilala), Mussa Azan Zungu amesema haya ni makubaliano ya Tz na UAE sio mkataba na DP-World. Amesema mkataba ukishapita ndipo Tz itaingia mkataba na DP-World ambapo ndipo wataenda kuweka mbele maslahi ya nchi sio sasa kwenye IGA(Inter Government Agreement)...
Mgombea pekee wa nafasi ya Unaibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu (Mbunge wa Ilala) amepata 98.33% ya Kura zilizopigwa
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema kati ya Wabunge 301 waliopiga Kura, 296 wamepiga Kura za Ndiyo, 3 wamepiga Kura ya Hapana na Kura mbili zimeharibika...
Naona kwa wapenda maendeleo hawa wabunge ambao hawana mvuto wala kupedwa kisiasa ndiyo wanakuwa tatizo.
Zungu mfano hana tatizo lolote na mabadiliko ya katiba wala nchi kwasababu ana mvuto na kuelewa siasa. Dr Tulia hajawahi kushinda chochote wala kupedwa na ndiyo maana anahangaika.
Ni wakati...
Naibu Spika alikuwa anaongea katika mkutano wa CCM leo Upanga.
Anasema Bima ya Afya kwa wote kwanza italenga kuwasaidia wale ambao ni vulnerable.
Ulikuwa mkutano ambao ulihudhuriwa pia na Zuberi Mtenvu,Mwenyekiti wa CCM Far.
Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu amelitaka Bunge la Vijana kutoka na azimio ambalo litawaasa vijana kujiepusha na masuala ya ngono kabla ya ndoa.
Zungu ameyasema hayo leo Alhamisi Disemba Mosi, 2022 wakati akifungua Bunge la Vijana ambalo limeanza vikao vyake vya siku tano katika ukumbi...
Naibu spika wa Bunge, Mussa Zungu akiwa kwenye mkutano wa ITAC unaohusu ushiriki wa wananchi kwenye maendeleo ya nchi, ameipongeza Serikali kwa kuwasikiliza wananchi na kupunguza Tozo.
Zungu ametaka kujivunia na kufunga mkanda kujenga wenyewe badala ya kutegemea misaada kwani inaenda kupungua...
Amesikika Zungu akiongelea masuala ya Internet:
Zungu hana ufahamu wowote wa kuhusu Internet zaidi ya kuwa yeye ni mtumiaji kama mtu mwingine tu.
Cha kushangaza ni kuwa ameachwa kuendelea na upotoshaji wake tena kwa raha zake.
Wataalam, TCRA, wasomi, vyuo nk wapo ila wote kimya! Utadhani...
Naibu Spika, Mussa Hazzan Zungu amewataka Watanzania waungane na Serikali kwa kulipa kodi na kuacha tabia ya kutoomba risiti wanaponunua mahitaji.
Zungu alisema hayo juzi ofisini kwake bungeni alipofanya mahojiano maalumu na gazeti hili kuhusu umuhimu wa kodi na vyanzo vyake.
“Wananchi...
Naibu Spika, Mussa Hazzan Zungu ameishauri Serikali kuona umuhimu wa kuzifanya huduma za njia za ‘internet’ (internet gateway) zichangie pato la Taifa (GDP).
Zungu amesema hayo kwenye mahojiano maalumu na Mwananchi kuhusiana na hoja zake alizozitoa bungeni wiki hii.
Miongoni mwa hoja hizo ni...
Tumemsikia Naibu Spika, Mussa Zungu, akielezea kuhusu tozo zilizolalamikiwa Sana na wananchi, hadi Serikali ikasalimu amri na kuahidi kuzipunguza tozo hizo kuanzia tarehe 1 mwezi ujayo.
Katika maelezo yake alidai eti wananchi wanachujua ni kuilalamikia Serikali kuhusu tozo wanazotoza kwenye...
Mbona unayalaumu mabenki na makampuni ya simu, Kwani serikali haitozi kodi kwenye miamala inayotoza mabenki na makampuni ya simu kwa watumiaji? Yaani Mh. Zungu unachotaka wewe ni serikali akate kodi kwenye makusanyo ya mabenki na makampuni ya simu kutoka kwa mteja halafu mkate kodi tena kwa...
Amesema aligundua kuwa anapofanya miamala Serikali huchukua pesa kidogo kuliko bank au makampuni ya simu.
Ametaka Serikali ifanye utafiti kuona kama kiwango wanachokata kiko sahihi au kunahitajika mabadiliko.
Pia soma:Naibu Spika ashauri Serikali kudhibiti makato ya Mabenki na Kampuni za Simu...
Leo kuna pendekezo limetolewa bungeni ambalo uwezekano wa kutekelezwa kwake ni mkubwa, pendekezo hili lita athiri sana hasa watu wa tech ambao matumizi yao ua internet ni makubwa.
Aliependekeza Si mwengine bali ni Zungu naibu spika wa bunge letu ambae aliwahi kupendekeza pia kuwe na tozo kwenye...
Kwa heshima na taadhima ninalazimika kuuliza:
Ni miye peke yangu nisiyemwelewa huyu ndugu ambaye anafahamika kama mwasisi kindaki ndaki wa tozo?
"Gateway ya internet kuwa nje maana yake nini?" Nani aliipeleka huko? Inarudishwa vipi hiyo nchini?
Au kwa nini anaumia mno makqmpuni ya simu...
Huyu Mbunge na naibu Spika....Ni zao la akili mfu zinazojipendekeza sana Serikalini huku zikiumiza raia wake. Huyu bwana na Tarimba huwa mara nyingi ukiwasikiliza unawaza tulimkosea nini Mungu?
Adhabu ambayo tunaipata kwa hawa watu au wa aina hii ni kubwa. Hapo bado hujamsikiliza dr...
Ni mojawapo ya watu wenye roho mbaya sana nchi hii
Ni aina ya mtu ambaye kadiri watu wanavyolalamika maisha magumu,bando bei ghali yeye anataka waumizwe zaidi
Huyu mzee ni saddists,tafadhali acheni shobo za kulialika hili lizeee kama ligeni rasmi litatuletea mikosi isiyo na sababu
Preamble:
Fikiria una nyumba 1000, zote zina huduma ya umeme na fiber. Zote zina matumizi ya kawaida ya umeme na fiber.
Kwa kawaida gharama ya umeme iko chini kushinda fiber. Nyumba moja inaweza kutumia 20,000/= kwa mwezi kwenye umeme. Kwenye fiber kifurushi cha 50,000/= unlimited kwa mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.