Imeisha hiyo hamna email zingine ,hongereni mlio pataa na msikate tamaa kwa mlio kosa MUNGU anakusudi lake hajawasahau na Wala msije kumlalamikia MUNGU kuwa hasikii maombi yenu ,maombi yenu MUNGU anayasikia ila muda sahihi Bado msikate tamaa
Mtangulize MUNGU kaka na ukiomba amini kuwa kwenye hiyo kazi kama wanataka watu 5 basi nafasi moja ni yako ,na ujiwekee kufunga na kuomba kabla ya usaili ,MUNGU hato kuacha na utakuja kushuhudia kaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.