Search results

  1. Zemanda

    Wanaume kwani hii mboga ya chainizi ina tatizo gani?

    Walizituhumu kuwa zinapunguza nguvu za kiume. Tokea hapo ikawa ni mtihani kwa baadhi ya watu kuzila. Ila si kweli.
  2. Zemanda

    Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)

    Aliona na kujua unachotaka kufanya. Wanawake walioharibu life huwa hawapendi kuona mabinti wadogo wanatengeneza maisha na mtu ambaye wao walitamani awatongoze wao. Kama huyo akikuharibia makusudi ili huyo binti akose na wewe ukose yeye ndio ajiskie vizuri. Wanakuwaga mabwege kweli.
  3. Zemanda

    Sipendi Morning Glory

    Raha ya morning glory ni nyote muwe active na muwe mnataka. Sio m'moja anamvuta vuta mwenzake.
  4. Zemanda

    Pata laini ya SME kwa Tsh. 5000 tu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa ni mtata sana ujue.
  5. Zemanda

    ANC kupoteza Viti vingi vya Ubunge baada ya Miaka 30

    Uzuri ni kwamba hakunaga viongozi wapumbavu kihistoria waoishawahi kuwafurahisha wanainchi na ndio maana baba wa taifa mwalimu J.K Nyerere alishawahi kusema kuwa kama unajiona hauna uwezo wala akili na utashi wa kuwa kiongozi muadilifu then ikulu upaone kama ukoma na upaogope. Wao wanahisi...
  6. Zemanda

    Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

    Me nadhani ndugu zangu mnaoshikamana na imani ya kiislam ni wakati sasa wa kuwaumbua na kujitenga mbali na hawa wanavikundi vya wavuta misokoto ya bangi kwa kutumia kurasa za Quran takatifu. Nina walaumu kwanza ninyi sababu ninyi wenyewe hampo mstari wa mbele kukemea jambo ambalo linadhalilisha...
  7. Zemanda

    TANESCO yatangaza maboresho ya Mita za LUKU, soma ujue jinsi ya kuingiza Token upya kuanzia Juni 1, 2024

    Machale yananiambia wanataka kuongeza gharama kupitia taariffs. Huku kwenye mitandao ya simu wameshafanya yao.
  8. Zemanda

    I am looking for a broken angel to give each other company

    Njoo Dm unambie details zako kuanzia umri, elimu, mahusiano yako, kama una watoto au la. Kama utakuwa vema nikuweke kwa kadada fulani hivi kapambanaji sana ambako kamechelewa kuwa na mahusiano now kapo desperate.
  9. Zemanda

    Je njegere zinafaa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

    Wewe hiyo hewa unayovuta unalipia, au na wewe MUNGU akwambie cha bure siku hizi ni shikamoo halafu tuone kama utatoboa hata wiki.
  10. Zemanda

    Je njegere zinafaa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

    Zinafaa mradi tu wakati unazipika ukaangie na kitunguu swaumu cha kutosha kama utaweka nyanya. Na hata maharage unatumia fresh tu ila make sure unaweka kitunguu swaumu cha kutosha. Sio vipeke vitatu, hapana. Nazungumzia weka vijiko viwili vikubwa vya chakula kwenye sufuria wakati unakaangiza...
  11. Zemanda

    Mtu Mwenye miaka 35 ni Kijana?

    Inategemea kwa muktadha upi. Huwezi sema kuwa in general mtu akiwa umri huo basi ni kijana au sio kuna factor za kukadiria umri.
  12. Zemanda

    Video: Sikiliza jinsi Shirika la Afya la Dunia (WHO) linavyojipanga kukabili population Afrika

    Was*nge sana hawa wanaojiita wataalamu, kupenda pesa za haramu wakiona ni ujanja.
  13. Zemanda

    Video: Sikiliza jinsi Shirika la Afya la Dunia (WHO) linavyojipanga kukabili population Afrika

    Wataalamu gani tulio nao? Hawa wataalamu ambao mzungu akisema kuna chanjo ya Umasikini watairukia na kuipigia chapuo harakaharaka bila hata kujitathimini wao wanalinda afya za watanzania au wanafanya uwakala wa mipango ya kiafya ya mataifa ya magharibi? COVID-19 chanjo zake zimeprove kuwa na...
  14. Zemanda

    Wanawake, ukimpenda mwanaume halafu yeye hakutongozi huwa mnafanyaje?

    Ukitongoza tu mwanaume umeharibu sababu itampa maswali sana kuwa wewe ni mwanamke wa aina gani unafuata mwanaume na huko ulipotoka umetongoza wangapi? Kimsingi jitahidi sana kuweka nae ukaribu ila sio kumtongoza wacha yeye afanye hiyo kazi. Nitakupa mfano, upo ofisini na ume mspot mkaka ambaye...
  15. Zemanda

    Hivi kwanini watu sahihi hawakutani kwenye mahusiano

    Kwa maana nyingine unasema kwann watu perfect hawakutani kwenye mahusiano. Its simple. Dunia ina operate kwa namna ya kipekee sana kwamba mwenye mapungufu akutane na mwenye ukamilifu fulani ili waboreshane sababu hata huyu mkamilifu atakuja mhitaji huyu wa mapungufu kwenye maeneo fulani huko...
  16. Zemanda

    Ukioa mke mkirsto mkatoliki una asilimia nyingi za kuwa na familia yenye furaha na mafanikio

    Halafu kwann waislam wakiingia ukristo na ikatokea wakasilimia kanisa katoliki huwa ni ngumu sana kurejea kundini yaani Islam? [emoji848][emoji848]
  17. Zemanda

    Ukioa mke mkirsto mkatoliki una asilimia nyingi za kuwa na familia yenye furaha na mafanikio

    Oooooohooooh baba usituletee matatizo huku. Hawa wanawake wetu wa kikatoliki muwaache kwanza hawana mapepo na huku hatuna mambo ya mapepo usije ukatuletea walokole huku wakatuletea majini ya mwamposa. Hebu mtuache. Kwanza nikasali novena sasa hivi.
  18. Zemanda

    Wanaume wa sasa wanapenda kulelewa, tofauti na wa zamani

    Sasa si ndio maana halisi ya mwanaume kutawala? [emoji23][emoji23][emoji23] Kimbele mbele chako kutafuta hela kinamzuia yeye nini kuwa mtawala wa mema ya huu ulimwengu.
  19. Zemanda

    Wanaume wa sasa wanapenda kulelewa, tofauti na wa zamani

    Kushare gharama sio kuomba kulelewa. Mwanaume kutaka mgawane majukumu haimaanishi anakutegemea it means anatambua mchango wako wa kiuchumi kama haupendi hilo mwambie tu usitoe kwa moyo wa lawama. By the way sasa kama unataka akufinance kwa 100% why unakwenda kutafuta si utulie ndani yeye...
  20. Zemanda

    Tendo la ndoa chanzo cha kuua ndoa nyingi

    Mojawapo ya kikwazo ni pale mwanamke anapokuwa ana experience kujamiiana badala ya kufanya mapenzi toka kwa the so called mume wake. That's one of the important skills package kwa mtoto wa kiume kujifunza ni kuwa romantic na mbunifu. Kuanzia majina unayompa mwanamke wako kama a.k.a's mfano...
Back
Top Bottom