Search results

  1. Wand

    Chat message

    Nimeona inawezekana Cookie
  2. Wand

    Chat message

    Cookie, Ndio Mkuu, karibu
  3. Wand

    Chat message

    Testing
  4. Wand

    Chat message

    Pia huwezi kumtag mtu
  5. Wand

    Chat message

    Habari,
  6. Wand

    Chat message

    Iko poa
  7. Wand

    Chat message

    Hello
  8. Wand

    UZUSHI Kimara, Stop Over: Basi na lori yagongana uso kwa uso na kuungua moto, Oktoba 31, 2022

    Ajali imetokea muda huu katikati ya Kimara Stop over na Suka eneo la Garage. Ni kwamba bus linatokea Dodoma na lory la cement vimegongana uso kwa uso na magari yote yameungua moto na vichwa vya watu vinapasuka kwa mlio kama bomu! Tuombe Mungu atujalie mwisho mwema
  9. Wand

    UZUSHI Simba SC wavunja mkataba na kocha wao Msaidizi, Selemani Matola, leo Oktoba 28, 2022

    Yameibuka madai kwamba Simba SC imefikia uamuzi wa kuvunja mkataba na kocha wake msaidizi Selemani Matola. Madai hayo yamechochewa na barua inayodaiwa kuandaliwa na Simba kusambaa mitandaoni.
  10. Wand

    KWELI Ubalozi wa China wakanusha kufungua vituo vya Polisi Afrika ikiwemo Tanzania

    Madai Shirika la utangazaji la BBC liliripoti kuwa nchi ya China ina mpango wa kufungua vituo vya polisi nchini Nigeria, Lesotho na Tanzania ili kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na raia wake wanaoishi katika nchi hizo tatu za Afrika, tovuti inayomilikiwa na mtu binafsi ya Nigeria ya...
  11. Wand

    KWELI Kuota kwa meno siyo chanzo cha tatizo la kuhara kwa watoto

    Kumekuwa na mazoea katika jamii mtoto anapoanza kuota meno huanza kuharisha na hivyo kuaminika kuwa meno yanasababisha mtoto kuharisha. Ukweli ni upi?
  12. Wand

    UZUSHI DStv wapandisha gharama za vifurushi kwenye king'amuzi kutokana na tozo za Serikali

    Imeripotiwa tozo za Serikali kwenye ving'amuzi itaanza rasmi Septemba 1 kwa DStv kutangaza gharama mpya ya vifurushi.
  13. Wand

    Kiwanda cha Cement Tanga chasimamisha uzalishaji kutokana na ukosefu wa umeme

    Imeripotiwa leo tar, 18/08/2022 magari ya kubeba cement yamekwama kwa zaidi ya siku saba kwa ukosefu wa mzigo wa cement kutokana na kusimama uzalishaji. TANESCO imeshindwa kutoa umeme wa kutosha kwa uzalishaji na meneja wa kiwanda amedai wanatumia zaidi ya milioni 500 kwa mwezi kununua dizeli...
  14. Wand

    KWELI Pierre Liquid ni mgonjwa, asema yupo nyumbani anajiuguza

    Mchekeshaji maarufu aliyejipatia umaarufu wake kupitia mitandao ya kijamii, Pierre Liquid amelazwa Hospitali ya Muhimbili Mwaisela wodi namba 6 iko ghorofa ya pili. Aidha inaelezwa kuwa haijafahamika mpaka sasa Piere anasumbuliwa na ugonjwa gani.
  15. Wand

    UZUSHI Rayvanny ampeleka Diamond BASATA

    Najiuliza hiv inakuaje msanii Kama Rayvanny ameshindwa kumalizana na Diamond hadi kaamua kumpeleka Diamond BASATA. Hivi anadhani mikataba inaweza kuvunjwa kirahisi tu na BASATA. Afate masharti ya mkataba basata hawataweza msaidia Kitu. Ajifunze Kwa Harmonize mwenzake hakuhangaika na BASATA...
Back
Top Bottom