Search results

  1. little master

    Msaada: Maslahi kwenye ajira za polisi yakoje kwa sasa?

    Unaelewa maana ya neno JESHI?
  2. little master

    Najaribu kuwaza Jakaya Kikwete aliwezaje kuajiri Walimu na Madaktari wote katika kipindi chake wakati Hayati Magufuli hata mwaka mmoja alishindwa

    J - yani hii nchi tutaibiwa mpaka tunakufa. Kitwanga - Chukua form basi J - MIMI WATU WATALIMIA MENO.
  3. little master

    Msaada: Nina changamoto ya nguvu za kiume

    Kuna vitu vinakwaza sana mtu yupo serious anahitaji msaada mtu anafanya dhihaka
  4. little master

    Ratiba ya PlayOff ya ligi kuu Tanzania bara, unatabiri yapi kutokea ?

    Unaweza ukawa sawa kabisa ila wasiwasi wangu mimi siko mbali sana na utabiri wako ila kama tabora U angeanzia ugenini naamini angetoboa hao jamaa tangu championship msimu ule wanagombania kupanda game zao zilikuwa ngumu mno na zina mengi ndani yake.
  5. little master

    Ni ngumu kuibadili jamii inayoamini katika njia ya mkato ya maendeleo

    "Mtu anaweza kujaribu kuwaamusha watu wake kwamba hiki kitu tunaonewa tubadilike tufanye hivi na hivi litaibuka lijamaa limoja ambalo Lina visa ya marekani au nchi yoyote ya ulaya Kwa kuwa anahudumiwa na watoto wake wako nje ya nchi anakutengenezea mazingira uonekane hufai na hunakiuka haki za...
  6. little master

    Ukiyafahamu maisha ya wanavyuo kwenye vyuo vya Elimu ya Juu nchini, hutawalaumu wanaowabeza wasomi wa Kitanzania

    Nadhani hata mimi sikatai mtu kusoma na kula bata ila tu kuna mengi mno vyuoni hivi hujawahi ona kuna watu wanafanyiwa assignments, wanapewa marks na ma lecturer na mengine mengi. Mbona nchi za wenzetu humu humu afrika wanafanya starehe ila elimu zao wanaweka mikazo sisi ni kama hatuna u...
  7. little master

    Which are the best Courses

    Yah mechatronics kwa sasa ipo kwa ngazi ya bachelor degree. (ATC)
  8. little master

    Kwa anayemfahamu mgonjwa aliyepo pichani atoe taarifa

    Dah usidharau mkubwa mambo yamebadilika mno uwezi amini kabisa kuna SF sahivi zina muonekano wowote ule.
  9. little master

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Ni nchi gani wanapiga depo na magauni au majuba? Sijakataa kujivunia kile ambacho wewe unakiamini.
  10. little master

    Rais Samia amteua Balozi Ombeni Sefue kuwa Mjumbe wa Tume ya Mipango

    "Watu ni lazima watambue matatizo yao kwa njia ya uhalisia. Ni lazima wawe na uwezo wa kuchambua matatizo yao na kuyapatia ufumbuzi wa pamoja. Kwa maneno mengine jamii inagawanyika kirahisi pale mtazamo wao wa kitu kimoja ni tofauti" ~ Steven Biko
  11. little master

    UTEUZI Rais Samia Amteua na kumuapisha Mwigulu Nchemba kuwa mjumbe tume ya mipango

    Na haishindikani unafikiri? Ni basi tu yani
  12. little master

    Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

    "Deni ni utekaji upya unaosimamiwa kwa ustadi wa Afrika" ~ Thomas Sankara
  13. little master

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Brother hijab siyo sketi au gauni, hivi utaruka vikwazo na gauni? Au kupita juu kamba ? Hao unaosema tunafahamu sana hadi unaona askari kuvaa hijab tayari basic military training walishatoka huko. Tuondoe ubishani tuwe serious kabisa na fani.
  14. little master

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Huyu jamaa bana kanishangaza mno, kingine namwambia ulimwengu wa kijani yeye anawaza vyama sijui kuna mafunzo ya awali ya jeshi hufanyikia mjini kashindwa kujiongeza naamanisha pori hiyo.
  15. little master

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Ulimwengu wa kijani ni MSITUNI ni mwendo wa kushinda na ndege tu mkubwa achana na habari za siasa. Kwa ufupi sana majukumu yangu hayahusiani kabisa na siasa na hayahitaji.
Back
Top Bottom