Search results

  1. Robert Heriel Mtibeli

    Israel: Mawaziri Wawili watishia kujiuzulu na Kuvunja Serikali ikiwa Israel itasitisha Mapigano Gaza

    Oct 7 Hamas walipata ushindi huohuo kwa kuua na kuteka raia. Jambo moja ambalo wengi hujisahaulisha ni kuwa Wayahudi huongozwa na kanuni ya jino kwa jino. Alafu hao mateka Israel inawatumia tuu kama kisingizio. Lengo la wayahudi ni kuiharibu na kuiangamiza na kuwakomesha wapalestina na ndicho...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama ûzuri na ûhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya. Je ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

    Mimi naamini kila mtu anajambo zuri la kujivunia ambalo Mungu kampa. Mfano Kipaji, nguvu, akili, uzuri, ûkakamavu n.k. Kwa nini mtu aone wivu kwa majaliwa ya wengine badala ya kufurahia majaliwa yake?
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama ûzuri na ûhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya. Je ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

    Kikawaida hakunaga Handsome anayejiita Handsome. Ila kuna wale ambao hushindwa kutofautisha utanashati na ûhandsome. Wale wanaume ambao wengi wao sio Handsome semà hujipodoa na kujivika kisha hujiita Handsome na kutenda mambo kama wanawake. Wengi wao ninaowajua ambao baadhi yao ni maarufu kwenye...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama ûzuri na ûhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya. Je ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

    Wîvu wa kijinga sana. Ati kuoa Mwanamke mzuri lazima uchapiwe wakati kila siku tunaona wanawake wabovu wakichapwa zaidi ya wazuri
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama ûzuri na ûhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya. Je ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

    Bongo ukiona jambo linasifiwa sana ujue hapo kûna tatizo, Ukiona linàpondwa ujue mara nyingi ni mti wenye matunda. Bongo wale wema huitwa wabaya na wale wabaya huitwa wema.
  6. Robert Heriel Mtibeli

    Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama ûzuri na ûhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya. Je ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

    Waafrika tunatabia ya kujisifia udhaifu na ûjinga ndio maana ni bara lenye giza.
  7. Robert Heriel Mtibeli

    Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama ûzuri na ûhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya. Je ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

    Habari za jumapili! Ni wivu katika jamii au ni jambo gani? Ña hii tabia ipo kwenye jamii maskini hasa huku Afrika, Ni kwànini mdada akiwa mzuri wale ambao hawakujaliwa uzuri humpa maneno mabaya na kumhusisha na umalaya, udangaji, ukahaba n.k? Wakati ûkienda site unakuta hali ni tofauti...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Riwaya; CONNECTION

    RIWAYA YA CONNECTION EP 03 Mtunzi: Robert Heriel Mwaka 2024 Kazi hii itarushwa katika mitandao kwa akaunti hizi: Facebook: Robert Heriel Tz Jamii Forum: Robert Heriel Mtibeli WhatsApp +255693322300 ILIPOISHIA “Nifanye nini mimi! Huu mkosi huu! Maskini Profesa Saimon. Alikuwa anaipenda sana kazi...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    Riwaya; CONNECTION

    Tunaendelea Mkuu
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Riwaya; CONNECTION

    RIWAYA YA CONNECTION EP 02 Mtunzi: Robert Heriel Mwaka 2024 Kazi hii itarushwa katika mitandao kwa akaunti hizi: Facebook: Robert Heriel Tz Jamii Forum: Robert Heriel Mtibeli WhatsApp +255693322300 ILIPOISHIA “ Sawa mpenzi. Kama ukiona inakusumbua mwambie hata shemu Darlin Rais, huyu Profesa...
Back
Top Bottom