Search results

  1. B

    Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga

    Huwa wanapata nini cha zaidi ambacho mpaka wanapenda kiasi hawajielewi ? Kukojoa ni kuleukule tu me hawa wanaozimikaga nahisi ni mtu jinsi alivyoumbwa labda na ushirikina akikufanyia
  2. B

    Rais wa Iran, Ebrahim Raisi na Waziri wa Mambo ya Nje wafariki dunia kufuatia ajali ya Helikopta

    Kupona ajali ya helicopter ni mara chache sana ila bado hawaipata kuna live coverage twitter ya drone ya turkey inayotafuta
  3. B

    Nina harisha damu yenye matone kama kamasi

    Unapata na shida gani nyengine kabla ya hapo ?
  4. B

    Tatizo la miguu kuwaka moto (neuropathy): Ushauri, Kinga na Tiba

    Mimi nnamauimivu ya miguu kama mwaka au zaid na mara nyengine nnapoanza kulala naskia kama vitu vinatembea kwenye miguu nshafanya vipimo vingi vyote viko fresh kati sehem nlizopita kuna sehem nlipewa amitripyline na gabapentin kwa mwezi ! Nkila dawa zikiisha tu maumivu yanarudi
  5. B

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Iran hakuna kitu drone 3 zimetunguliwa na air defence
  6. B

    Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

    Huyu Jamaa kamaliza kila kitu
  7. B

    Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

    Sawa hajapigwa
  8. B

    Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

    Sasa hajapigwa mbona Israel na marekani wamekubali uwanja wa Jeshi ulishambuliwa ? Wapi Iran Kasema kashambulia watu au uwanja wa mpira ? Mbona Ukraine ligi pia inaendelea au we mpira unaujua wa Israel tu ?
  9. B

    Shikamoo "Muajemi"; Umeguswa, Umenuka!

    Kwani kashambulia uwanja wa mpira ? Alichotaka kuonesha naweza kupiga nnapotaka ndo hio base ilikuwa target na vitus vimefika
  10. B

    Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

    Iran kuweza kupenya kwenye best air defense systems pamoja na ndege za marekani na UK kuwasaidia sio Jambo dogo
  11. B

    Iran kazabuliwa kofi la uso yeye karudisha kwa kumsukuma tu Israel

    Zime hit target au zote zimekuwa intercepted
  12. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na wewe una kimeo Kama mimi ? Nlideposite Leo ila hela haijangia kwenye account na email hawajibu Wala chat kwenye app
  13. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu msaada naomba namba ya helabet au nawapata vipi nkichat nao kwenye app hawajibu nlideposite Leo ila hela haijangia kwenye account
  14. B

    Simulizi: Umalaya na Ukahaba wa Kishua

    Anaendika hii story ni muarabu kama sio basi kakaa sana na waarabu ! Kama ni mwanaume kipa hayupo golink na kama mwanamke basi msagaji
  15. B

    M23 wateka mji wa Shasha, na kuanza kuzingira Goma, busara itumike

    Mbona tuliskia wanachezea au sio hawa
Back
Top Bottom