Search results

  1. M

    Jibu hili hapa la kwanini tuna umeme wa mgao

    Sikiliza hii video kuanzia dakika ya kwanza na sekunde 20 utapata jibu. https://youtu.be/3-61pUhI2Yc?si=JmV_EPW8fu0Wu9hS Lakini kwani watu wakitesema faida inakuwa ni nini hivi kukata umeme mfano kata ya kawe tu ni hasara kiasi gani inapatikana kwa siku? Je, wanapokata umeme huwa wanapata...
  2. M

    Ipi ni bora kati ya hizi

    Kumekuwa na news nyingi sana kuhusu single mamaz kwamba siyo watu sahihi sana kuoa labda tu kama wazazi wenzao wawe wametangulia mbele za haki kidogo inaweza kuwa salama kwa muoaji Lakini niko hapa na mtazamo tofauti kidogo Kuna wanawake wenye historia ngumu za mahusiano yao yaliyoishia vibaya...
  3. M

    Tungekuwa na vijana wanaojitambua kama Julias Malema tungekuwa mbali

    Waafrika wote tungekuwa kama hivi kwa hawa wazungu wangekuwa wanatuheshimu sana Unapoanza kumuogopa na kunyenyekea mtu anajiona ana uspecial flani hivi na mwisho anajiona ana haki ya kukuburuza anavyotaka Lakini kadiri unavyokuwa mtu wa hovyo ndiyo watu wanazidi kukudharau na kujichukulia...
  4. M

    Junior katika ubora wake

    .
  5. M

    Viongozi wetu muache uwoga fanyeni kile ambacho ni sahihi kuhusu ushoga Marekani na ndugu zake hawana la kutufanya

    Hawa jamaa wanatuhitaji sisi kuliko vile ambavyo sisi tunawahitaji wao. Kwahiyo hawana uwezo wa kusitisha msaada wowote ule ambao wanatupatia Kwa kulitambua hilo Viongozi wetu wakatae suala la ushoga kwa macho makavu kabisa mpaka wenyewe wasiamini wanachoona na kusikia. Baada ya kukataa suala...
  6. M

    Mwenye uelewa na biashara ya shisha atupe muongozo

    Wakuu kuna hii biashara ya shisha ambayo naona bado haijagunduliwa na wengi haijasambaa sana lakini naona ina wadau wengi (wateja). Kuna mwenye details za hii biashara aweze kushare na sisi tupate uelewa kidogo? Unaweza kuta watu wanajipigia Mihela tukijakushtuka too late. Tunaomba muongozo...
Back
Top Bottom