Search results

  1. Moto wa volcano

    Hivi kwanini wanasheria huwa wanaitana wakili msomi

    Mwenye kufahamu naomba anifahamishe hivi kwanini wanasheria mnaitana wakili msomi 🤔 kwani kuna mawakili sio wasomi ?
  2. Moto wa volcano

    Hivi kwanini watu sahihi hawakutani kwenye mahusiano

    Wanaume sahihi hatupati wake sahihi , wake sahihi hawapati waume sahihi 😃 Dunia ngumu hii .. hivi kwanini watu sahihi huwa hatukutanagi . Nahisi shetani ana mkono wake katika hili. Unaona dada wa watu anateseka wakati anasifa zote ... kukutana watu wanao pair ni mara chache mara nyingi mtu...
  3. Moto wa volcano

    Makasiriko ya nini? Busara ni kuheshimu mawazo ya mtu

    Kama haumpendi mtu/ haubarikiwi na mtu huna haja ya kumtukana mtu mtandaoni. Ndiyo maana waliotengeneza hizi App wameweka options za unfollow, delete, block. Inashangaza kuona mtu ana makasiriko kwenye page za watu utazani amewekewa Super glue au kuna smaku inamlazimisha abakie. Busara...
  4. Moto wa volcano

    Hata Yesu / mitume wote wangekuwepo wangekuwa insta live kuhubiri

    Kukua kwa sayansi na Teknolojia ni maarifa ambayo Mungu ameyaachilia kwa wanadamu , Dunia ya sasahivi imekuwa kama kijiji unaweza ukawa Bonyokwa ukaongea na mtu wa London , Nashangaa sana kwa Dunia hii ya leo yenye Teknolojia unakuta mtu kaweka Speaker Stendi anahubiri !
  5. Moto wa volcano

    Kuna muda ni bora kuweka Airplane mode kuepuka mizinga

    Kuna muda ukipata hela wenzako unaofanyanao kazi kama wanajua umepata hela ni bora kuweka Airplane mode kuepuka Mizinga 😃, simu zitaingia Kama zote, utasikia Mkuu mbona kimya unaniachaje!
  6. Moto wa volcano

    Tanzania kuna fursa lukuki na unafuu wa maisha, usijidanganye mamtoni ndio Life kitonga

    Tanzania ni kati ya nchi za Duniani ambayo ina unafuu mkubwa wa maisha na fursa lukuki ukilinganisha na mataifa mengine, ni kutuliza tu akili yako kusaka ramani. Wapo vijana ambao wanadanganyana kwamba ukizamia SA au mamtoni Life linakuwa kitonga. Nilikuwa naangalia makala ya chombo kikubwa...
  7. Moto wa volcano

    Kuna watu ustaarabu ni sifuri, unakaribishwa chakula Una agiza zaidi ya aliyekukaribisha

    Kuna watu ustaarabu sifuri mtu kakukuta unakula mgahawani akaja kukaa kwenye meza yako ukaona utumie ustaarabu kumwambia na yeye aagize chakula maana sio vizuri kula huko mtu anakutazama usoni , unashangaa anaagiza vitu vizito vizito ! Tena zaidi hata unavyokula , halafu anamwambia muhudumu...
  8. Moto wa volcano

    Kuna wadada wana majaribu; Unapigaje simu ya biashara saa 7 usiku!

    Kuna wa Dada wanamajaribu SMH Hivi kweli mtu anakupigia simu ya biashara saa 7 usiku ? imekaaje hiyo
  9. Moto wa volcano

    Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

    Zamani nilikuwa ninawashangaa sana na kukemea tabia za baadhi ya wanaume ambao wakitoka kazini hawaendi nyumbani wanapitia Bar kupoteza muda ili masaa yasogee. Sasahivi nimegundua kumbe wanakuwa wanaepuka domokaya na maneno ya wakezao, mtazamo wangu juu yao umebadilika. Naomba msamaha kwa...
  10. Moto wa volcano

    Wamama wananguvu kubwa ya ushawishi kwa watoto, kuwa makini kama umezaa na mwanamke ambaye hauishinaye

    Kwa wewe ambaye umezaa na wanawake/ mwanamke ambaye hauishinaye inakupaswa ufahamu wamama wananguvu kubwa ya ushawishi kwa watoto kuliko wababa. Kama hauna maelewano mazuri na huyo mwanamke uliyezaanaye usitegemee watoto watakuja kukutambua. Nafahamu sio wababa wote ambao hawatoi huduma...
  11. Moto wa volcano

    Kama unahisi Mchumba wako (Demu) anataka kukuomba hela na wewe huna, tengeneza ugomvi

    kama huna hela ya kumpa wife wako / demu wako siku kama za sikukuu au siku yeyote au ukiona nywele zake zinakaribia kufumuka na wewe machale yanakushika unaenda kuombwa hela , halafu mfukoni hakueleweki ushauri wangu kwako wa kijasusi tengeneza ugomvi alafu jifanye umenuna ili sikuzipite 😀😀😀
  12. Moto wa volcano

    Usiforce kutafuta mpenzi mpya kumkomoa wa zamani (ex)

    Usi force kutafuta mpenzi kwaajili ya kumkomoa X , humkomoi unajikomoa mwenyewe unaweza ukajikuta unaruka mkojo halafu unakanyaga kinye* muda mwengine tuliza akili kwanza ujifunze wapi ulipokosea ili usiyarudie makosa uliyoyafanya . .
  13. Moto wa volcano

    Mwanamke simama imara usaidiane na mume kuendesha familia, ikitokea kesho amepata tatizo usitetereke

    Mwanamke anatakiwa awe mkomavu wa kimwili mpaka ki akili. Wapo baadhi ya wanawake kila kitu anamtegemea mwanaume amfanyie, tambua hata huyo mwanaume unayemtegemea kwa kila kitu ni binadamu, Duniani kuna mengi; kuna kuumwa, ajira/biashara kuharibika, vifo, nk, utaishije na watoto wako hayo...
  14. Moto wa volcano

    WaTanzani ni wepesi wakuamini na kuvumisha uzushi

    Wa Tanzania wanatabia za kuamini sana na kueneza maneno ya uzushi ,, unakuta mtu anavumisha jambo na analielezea kwa hisia zote utadhani alikuwepo eneo la tukio / alilishuhudia jambo, hii tabia haifai kabisa , halafu watu wa aina hii wakiitwa kuisaidia mahakama kutoa ushahidi wanakula kona ☺...
  15. Moto wa volcano

    Ni rahisi sana kucheza na akili ya mswahili kutokana na kuamini sana ushirikina

    Mswahili ukitaka umvuruge akili zake rahisi sana maana waswahili wanaamini sana katika ushirikina. Chukua kichwa cha kuku tafuta karatasi buni maneno ya kiarabu kwa wino mwekundu halafu andika na jina lake mtupie katika biashara yake, ofisini au nyumbani kwake 😃 Akija kuona atachanganyikiwa...
  16. Moto wa volcano

    Muungano wa kiuchumi Jumuiya ya Afrika mashariki hauwezi ukatokea

    Wanaofikiri/ wenye mawazo kwamba EAC jumuiya ya umoja wa Afrika mashariki ipo siku inaweza ikaungana wanajidanganya kama ilishindikana kwa kipindi kile ambacho nchi zetu zilikuwabado ni changa sioni kama sasa inawezekana na hata wakijaribu kuungana haitochukua muda watavurugana. Kama sasahivi...
  17. Moto wa volcano

    Wanawake wenye pesa wanapendelea wanaume mazoba

    Nimefanya tafiti nimegundua wanawake wanaojiweza kiuchumi (wapambanaji) huwa hawapendi kuwa na mwanaume ambaye anajiweza kiuchumi zaidi yake ambaye atamtawala, huwa wanatafuta mazoba ambayo watayatawala. Mwanaume ambaye anajitambua huwa hawezi kuwa chini ya mwanamke ndani ya nyumba, huwa ana...
  18. Moto wa volcano

    Misaada au zawadi huwa inaleta Unyonge kwa mtu au Taifa

    Usiwe mtu wa kupokea misaada/zawadi hovyo hovyo, huwa inatengeza mazingira ya kutawaliwa na kumpa mtu nguvu ya maneno dhidi yako ikitokea siku mmetofautiana. Misaada/vya bure huwa inaleta unyonge unakuwa huna ujasiri kwa mhisani wako. Jitahidi kwenye maisha yako kujitengenezea mifumo ya...
  19. Moto wa volcano

    Tangu lini mwanaume anazaa! Mwanaume hazai anazalisha

    Mwanaume akipata mtoto usimwambie hongera kwa kuzaa, mwambie hongera kwa kuzalisha. Wanaume huwa hawazai wanazalisha, waalimu wa somo la Kiswahili mnatakiwa kulaumiwa Sana watu wengi hawaongei kiswahili fasaha.
  20. Moto wa volcano

    Kuna wanawake kazi sana kuishi nao

    Kuna wanawake kazi kuishinao hujapokea simu kwa wakati utaona meseji inatumwa we Malaya uko wapi [emoji2] heee! Hajali upo kwenye hali gani pengine Una dripu hospitali[emoji2] Ukimkuta aliyestarabika mwenye mindset ya kizungu wala hana panic utaona text inaingia baby are you okay ? , i just...
Back
Top Bottom