Recent content by Ze_Papirii

  1. Ze_Papirii

    Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

    List nzurii ila hyo Man U kitaani naona km ni adimu kdogo
  2. Ze_Papirii

    Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

    Aahhh mzee laki 2 or 4 mbona kubwa sana hata km kitu ni OG
  3. Ze_Papirii

    Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

    Safiiii mzee kuchangamkia fursa ni muhmu hii biashara sahv inatoa watu wengi sanaa
  4. Ze_Papirii

    Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

    Safiii hyo jezi hamna mtu isiyempendeza
  5. Ze_Papirii

    Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

    Hapo kuhusu duka la timu au authorised dealer nmekupata sanaaa
  6. Ze_Papirii

    Uzi gani wa JF ulikuvutia na unatamani kila mtu apate nafasi ya kuusoma

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe Huu hapa nao unanikoshaga sanaa
  7. Ze_Papirii

    Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

    Yaaa na hii imekua kubwa sana kwny miaka ya karibun maana zaman kdogo watu walikua wananunua jezi kishabiki ila sahv jezi zmekua km vazi la Mtoko ndo mana watu hawanunui sana kishabiki kikubwa uzuri wa jezi
  8. Ze_Papirii

    Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

    Daahh safii sana aisee so huu ni mwaka wa 3 upo hapo ni vzurii nataman kujifunza kutoka kwako how you managed to save kiasi hcho
  9. Ze_Papirii

    Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

    Hyo ya AS Roma bdo sjaipata mzee hzo zngne sure znafanya vzurii sana hasa hyo ya Newcastle
  10. Ze_Papirii

    Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

    Inter Milan-Italia Inter Miami-Marekani
  11. Ze_Papirii

    Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

    Upo vzuri kwa umri huo km una saving ya hyo amount syo mbaya,, ulianza lini kuwekeza rasmi mzee
  12. Ze_Papirii

    Wanaume, achani kutembea na liabilities

    [emoji23][emoji23]"Wanaume tumeumbwa Matesooooooo[emoji442][emoji443][emoji444][emoji444]
  13. Ze_Papirii

    Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

    Nini kinavaliwa sana mtaani ndo kinadetermine pia hata mahitaji ya jezi kwa ujumla, then jezi/product yyte kuuza sana tunaangalia kwny stage ya mwsho kabisa yani ya RETAILERS.
  14. Ze_Papirii

    Biashara ya Jezi inavyokua kwa kasi, Je zinatengenezwa wapi?

    Hii mbona km umeongea kishabiki tofauti na uhalisia kitaani, hyo ya ManU inauzika sana ila si number moja..
Back
Top Bottom