Recent content by we are the inner

  1. we are the inner

    Kutokufahamu ni sanaa

    🙏🙏🙏🙏
  2. we are the inner

    Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

    Daah pole ndugu upo kwenye janga kubwa mno ila wachache wanaweza kuona kama nimaigizo tuu haya. Natamani kukupa ushauli ila muda unanibana sana. Lakini tafakari sana huenda ushalishwa hadi limbwata. Kwaushauli zaidi chukua namba hapo profile yangu.
  3. we are the inner

    Ni Nondo juu ya nondo naimani ipo siku mtasanuka

    FUMBO MFUMBIE MJINGA LUKA 17:20-21 Siku moja, mafarisayo walipomuuliza Yesu ufalme wa Mungu utakuja lini, aliwajibu hivi:, "ufalme wa Mungu hauji kwa kuonekana, 21 Wala watu hawatasema "huu hapa au ule kule", kwamaana ufalme wa Mungu umo ndani yenu" "Ufalme wa Mbinguni umo ndani yenu, yeyote...
  4. we are the inner

    Roho mtakatifu ndani mwetu

    KUNDALINI "Ni Mfumo wa Mazoezi ya Asili na ya kiroho, mazoezi haya hujumuika kama njia ya kuongeza nishati iitwayo KUNDALINI Wakati wa kufanya mazoezi haya unahitajika kufuata Mlolongo mkali uitwao KRIYA Katika Nadharia na Mazoezi ya YOGA hili ni Jina la Nishati ambayo iko ndani ya...
  5. we are the inner

    Tumeshindwa kuumiliki ulimwengu wetu kwa kuutamaani ulimwengu wa Hadithi

    🌳TUMESHINDWA KUUMILIKI ULIMWENGU WETU KWA KUUTAMANI ULIMWENGU WA HADITHI.🌳 Ulimwengu wa kweli umetengenezwa katika hadithi isiyo furahisha sana, unaonekana ni ulimwengu ulio jaa mateso ya kila namna, kisha Ulimwengu wa NADHARIA ndiyo umejaa raha za kila namna na umeitwa ulimwengu mpya...
  6. we are the inner

    Naomba ushauri, nina mtaji wa milion 4 nifanye biashara gani?

    Kwauhitajaji wa odds 1.30 kila siku iendayo kwamungu njoo tukae kiofisi lifanyike hilo.utaweza kuingiza zaidi ya elfu50 kwasiku. Ila kosa kubwa nikutaka hela nyingi uwe tajiri haraka.bali utalidhika nahiyo hiyo faida tuu kila siku. Ukiwa tayari chukua namba hapo profile picture.
  7. we are the inner

    Haya ni baadhi ya mambo yanayoweza kukufanya ukapokea mapigo kutoka kwa maadui zako wa kiroho

    Mambo au Tabia Zinazofanya Kufifisha au Kudhoofisha Malango Yako/Nishati ya Ndani 1. 😞😞 Uzinzi au Ngono Hulela Ni vyema kuwa na mke/mume au mtu mmoja kwa nia ya mahusiano na sio kutangatanga. Mara leo uko huku, kesho kule, hapo utavaa karma nyingi ambazo hazikuhusu. Sio kila umuonae anakufaa...
  8. we are the inner

    Kusamehe ni njia bora ya kufungua milango yako ya baraka na kuondosha huzuni

    KUACHILIA/KUSAMEHE. Ni pale unapokuwa huru ndani mwako, Jambo hili linatupoteza wengi sana ,na mwishowe tunarudi kuwalaumu wachawi Kwamba ndio wanaotukwamisha mambo yetu kumbe hiyo ni sumu uliyokaa nayo ndani mwako ndio tatizo la mafanikio yako. Kuna mtu unakuta ametunza kinyongo, ametunza...
  9. we are the inner

    Ukweli unaoendelea kufichwa

    NIELEWE KWA MAKINI SANA. Mungu wa Israel Mungu Allah, Mungu wa wabudha, Miungu ya kale pale misri, Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo hai. Ukweli mchungu ni huu, pamoja na ufahamu wetu wote tulionao lakini bado hatufahamu kuhusu Mungu...
  10. we are the inner

    Mazoezi rahisi yakujenga uwezo wa kumbukumbu

    Hili somo linawahusu zaidi wale wanao pitia changamoto zakua na kumbu kumbu ya ndoto wanazo ota usiku. Namna ya kukumbuka ndoto. Je unaota ndoto na unasahau?. Fanya meditation ya Namba. Watu wengi wamekuwa wakiota ndoto na pale wanapoaamka hawakumbuki walichoota. Sasa unaweza kurudisha...
  11. we are the inner

    Tafuta fedha, elimu na cheo lakini usisahau kuwa maisha ni ubatili, acha kujitesa kwa vitu vipitavyo

    Maisha,kifo,pesa,kula kushiba,muda,kiama,maumivu,huzuni,hofu...nk.. Hivi vyote ni illusion tuu🤔🤔 Kuna siku ntakuja kutoa somo ila na amini wachache sana ndio watanielewa
  12. we are the inner

    Tafuta fedha, elimu na cheo lakini usisahau kuwa maisha ni ubatili, acha kujitesa kwa vitu vipitavyo

    Maisha,kifo,pesa,kula kushiba,muda,kiama,maumivu,huzuni,hofu...nk.. Hivi vyote ni illusion tuu🤔🤔 Kuna siku ntakuja kutoa somo ila na amini wachache sana ndio watanielewa.
  13. we are the inner

    Nampenda huyu memba

    😂😂😂
Back
Top Bottom