Recent content by venossah

  1. venossah

    Uzi gani wa JF ulikuvutia na unatamani kila mtu apate nafasi ya kuusoma

    The dark days by@Yoga..ni uzi wangu wa muda wote
  2. venossah

    Uzi gani wa JF ulikuvutia na unatamani kila mtu apate nafasi ya kuusoma

    Ulikuwa uzi wa DeepPond na heka heka za mchepuko wake
  3. venossah

    Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

    Pole baba ......poleeeeeee...punguza hasira kwanza Bado hujasema....
  4. venossah

    Ukitaka kuonekana kijana kuwa na mtindo mzuri wa maisha

    Hiyo namba 4 ungeifungulia uzi wake...ijitegemee
  5. venossah

    Natafuta kazi dar

    Zipo za kutosha....tena nyingi ni wanaume ,wanatumia majina ya kike. Na ukiwakuta kwenye uzi wanachangia utasema ni wanawake Inashangaza kwa kweli.
  6. venossah

    Wanaume tujifunze kujenga ukaribu mkubwa zaidi na familia zetu

    UKweli mchungu, watajifanya hawajauona huu uzi. Wapo wale watoka kazini saa 12... wanapita baa mpk usiku wa manane ndo wanarudi. Nyumba zao wamegeuza mahali pa kubadilishia nguo...hlf wakistaafu wanataka familia iwe karibu nao.
  7. venossah

    Picha: Atakuwa kabila gani huyu?

    Siyo msukuma tu....huyo ni@maghayo,
  8. venossah

    Nilimshirikisha mama yangu mafanikio yangu nikadhani amefurahi, baada ya muda kila nikiwasiliana naye ananiambia isijekuwa naenda kwa waganga

    Mama hana makosa....ni wewe kichwa maji umeshindwa kuwaaminish chanzo cha pesa zako Unavyosema una mama mbaya unazidi kumkosea Muumba....angekuwa hakupendi angekuminya kwenye mapaja siku anakuzaa... utalaanika wewe
  9. venossah

    Niagize chochote Dubai

    Waoo....maasha Allah , mashaAllah Kwenye huo uzi unitag plss...kuna kakitu natakamo...
  10. venossah

    LHRC yamuonya Oscar Oscar kwa Vitendo vya Udhalilishaji dhidi Wanawake

    Oscar ndo aina ya waandishi wa habari "vihiyo" waliojaa kwenye hizo redio zao.... Kama kweli ana masters basi haimsaidii kitu...jinga moja
  11. venossah

    Ni kwanini waganga wa jadi wanazikwa wamekaa kwenye kiti au kigoda

    Unataka kunambia Mshana Jr atazikwa akiwa amekaa???
  12. venossah

    Google wanaongeza teknolojia za kuwakwaza wezi wa simu kwenye Android

    Wezi wa simu nao wanazidi kujiboresha Wacha tuone
  13. venossah

    Nimechapiwa kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe

    Sasa kama zipo kwako zilitoka wapi??? Kwani wewe ndo uliwarekodi?? Hawaku reason kwamba kuna mtu wa 2 anazo na wewe ni wa 3?
  14. venossah

    Hongereni sana wakina mama wote kwa upendo mlionao kwa watoto wenu.

    Huu mwili mmoja?? , mbona mwingine anachomoka na kwenda kujiunga na mwingine
Back
Top Bottom