Recent content by The mission 2017

  1. The mission 2017

    Hii sheria ya ardhi kuhusu wageni kumiliki ardhi isipokuwa makini mtakuja kulaumiana mbeleni

    Mmeanza kuchokonia ardhi. Nashauri vijana wenzangu ukipata hela popote pale buy some piece of land. Hii nchi kuna uwezekano 10years land ikawa haikamatiki
  2. The mission 2017

    Luhaga Mpina: TBC inadharau Bunge kwa kukatisha matangazo Mubashara ya Bunge na kurusha warsha na ziara za viongozi

    Mpuuzi tu. Kama TBC wamekata kidogo, anasema analidharau bhhunge. Je alie kataa kufanya live coverage tuseme kalifanya nn, Kalibaka au ?
  3. The mission 2017

    Mabinti wa Kiislamu kuvaa bukta katika mafunzo JKT ni kwenda kinyume na Katiba

    Wakati nasoma course za Mifugo. Tulikua na waisilamu ambao walikua wanaingia kwenye mabanda ya nguruwe+ tunashika nao nguruwe bila kelele. Mwishowe nikaelewa ni perceptions tu zinatusumbua. By the way. Unaweza kataa mtoto wako asishiriki hayo mafunzo
  4. The mission 2017

    Mitaa yetu mingi haina nafasi za wazi kwaajilli ya kupumzika. Huwa unaenda wapi kupunga upepo?

    Kwa mjini. Unakuta watu wamekaa kwenye vile viti vya stand ambapo abiria wanatakiwa kukaa wakiwa wanasubiri usafiri. Lakini tulitakiwa kua na open space kabisa. Mfano. Iringa katikati pale kuna ka open space, wanaitaje sijui tulikua tunaenda kukaa kipindi tunasoma Advance
  5. The mission 2017

    Mitaa yetu mingi haina nafasi za wazi kwaajilli ya kupumzika. Huwa unaenda wapi kupunga upepo?

    Umeongea kitu cha maana kabisa. Mm nimepanga single self. Nawaza hivi nikioa na niko humu. Siku nimegombana na Wife. Tunakaaje, maana haiwezekani mtu kakukera na kila ukigeuka unamuona [emoji16] Space ni kitu cha muhimu sna kwangu. Nitaoa siku uchumi ukiruhusu kupanga nyumba nzima. Ili...
  6. The mission 2017

    DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

    Sema mwanamke ni kama amefanya makusudi. Imagine watoto 3 [emoji16] Hyo ni kama miaka 15 hivi mda wote mchungaji anakula manzi yako. Huenda walikua wanataka kuongeza wa nne
  7. The mission 2017

    Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

    Kuna kamanzi nilikua na date nako haipiti siku 2/3 tumekwazana kamenuna. Atleast lkn kalikua kanabembelezeka [emoji16]
  8. The mission 2017

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    [emoji16][emoji16] Nilisoma hii. Sema jamaa alikua muwazi
  9. The mission 2017

    List ya Wasanii 10 bora kwa sasa Tanzania

    Kwa hii miaka miwili. Marioo kasepa na kijiji. Japo naona, Jay melody nae anakuja vizuri. Walio baki platform zinawabeba
  10. The mission 2017

    DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

    [emoji16][emoji16] Tangu lini computer inakosea ?
  11. The mission 2017

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Naomba password za netflix pm mkuu namm niishi [emoji849]
  12. The mission 2017

    Ilikuaje ukapata Gono mara ya kwanza? Je, aliekuambukiza ulimdhania anaweza kuumwa ugonjwa huo?

    Hahaha Leo nimepima HIV, baada ya kuruka ruka 4years [emoji16] sasa narudi enzi zangu. Mm na ndomu kwa kwenda mbele
  13. The mission 2017

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Anapenda shughuli kuliko kazi. Hawezi kua, PM Atavuruga mambo
Back
Top Bottom