Recent content by Scottz

  1. Scottz

    Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

    NAWEKA KAMBI HAPA.
  2. Scottz

    DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

    wewe nahisi unaumwa mkuu. Naomba nikupeleke hospitali kuchukua vipimo.
  3. Scottz

    DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

    narahisishiwa mchakato kwani nilimwambia au aliniuliza kuwa nahitaji?.
  4. Scottz

    DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

    never na hakuna kitu kama hicho, kama ni watoto wapo wa kuasili , na hawatofautiani na hao wa nje.
  5. Scottz

    DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

    kwani tuliombwa tusaidiwe?, au tuliombwa tuheshimishwe kwa watoto waliozaliwa nje?, mbon mnajipa ujuaji mwingi wakati hatujakubaliana?, sasa hao watoto wa nje kwanini wadipelekwe kwa baba yao mzazi?, alafu unaniletea mimi niwalee?, dadeq.
  6. Scottz

    Nimepoteza marafiki kisa mke wangu!

    nikuulize mkuu kwahiyo yeye mwanamke kuleta marafiki zake na ndugu zake ni sawa?
  7. Scottz

    DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

    🚨 Imebainika kuwa mshambuliaji wa timu ya taifa ya Nigeria 🇳🇬 Kayode Olarenwaju watoto watatu ambao ilisemekana ni wake yeye na mke wake,kipimo Cha DNA kimethibitisha kuwa sio watoto wake wote hao wala hawaendani kwa damu. Kwa mujibu wa taarifa za mfanano ni kuwa watoto hao wanaelezwa kuwa wa...
  8. Scottz

    Natafuta watu au kampuni ya kufanya Partnership ya Social Network mfano sawa na Facebook & Twitter

    mkuu mtandao zaidi unahusiana na nini yaani main goal ya hii kitu yako huenda baadae tukaja ku invest tukishjipata kifedhaa.🙏
  9. Scottz

    Wanaume 'players' wana nguvu ya hoja kiasi kwamba mwanamke hapangui mbele yake

    huwa nikifikiria wanawake waliopo now, basi kwenye ndoa naona tutataleliana tu.
  10. Scottz

    Wanaume 'players' wana nguvu ya hoja kiasi kwamba mwanamke hapangui mbele yake

    Tangulini mtu anaesimama katika unyoofu wa ki MUNGU na mtu aliesimama katika unyoofu wa kishetani wakawa pamoja, Aisee vijana tujionee huruma sana wanawake wakuwa wake hakuna tena dunia ya sasa, zalisha then baki kulea mtoto ,ule bata tu ( ke + ndoa ) PIGENI CHINI.
  11. Scottz

    Amerudi analia turudiane

    Mwanamke akishakukimbia na akirudi ukampokea atakuona zoba, yalishanikuta ila aliniacha tena, we piga rock mazima kenge huyo.
  12. Scottz

    Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

    duu mkuu mimi ninayo husiana nayo ni surveyor, iko degree huko. Mambo ni shida.
Back
Top Bottom