Recent content by Planett

  1. Planett

    Sidhani kama nitaweza kuishi na mwanamke mimi. Wengine mnawezaje?

    tatizo lako unadate na wanawake waliovurugwa na situation za maisha, mathalani wale wa over 30 na hawajaolewa na hawana mwelekeo wa maisha, masingle mother n.k....
  2. Planett

    Watanzania mnaojiua kila siku nani aliyewaambieni kuwa sisi wengine hatukupitia changamoto kubwa za kimaisha kuwazidi?

    Ona hii takataka inaongea na marehemu.... Kweli nimeamini wewe ni popoma lililotukuka.
  3. Planett

    DOKEZO Kujiondoa kwa Majeshi ya Africa Kusini nchini Msumbiji na kuiacha Tanzania na Rwanda dhidi ya kundi la kigaidi la Ansar al-Sunna kuna maana gani?

    Hicho kikundi cha msumbiji umeita CHA KIISLAMU, vipi M23 ni kikundi cha akina nani? Sometime muwe mnatumia common sense na sio utumbo kufikiri
  4. Planett

    Arrest Warrant ya ICC ni ya Kipuuzi hakuna hapa Duniani mwenye Ubavu wa Kumkamata Israel Premier Netanyahu na Ole wao Wathubutu watakiona cha Moto

    Genta ndio mana watu hua wanakutukana kumbe akili yako ina walakini sana. Hivi wewe pale Israel unamshabikia nani? Myahudi au Mzayuni?
  5. Planett

    Saa 3 usiku mpaka saa 11 asubuhi simu inatumika

    utakufa vibaya wewe nakuhurumiya...
  6. Planett

    Haya majina ya vitu kwa kiingereza wengi hawafahamu

    Kisogo Medula Oblongata,🏃
  7. Planett

    Nikisikia mwanaume anaoa mwanamke fulani ninaye mjua kitaani kwetu huwa napata huruma kwa mwamba

    Ni kweli mkuu ukitokea unataka kuoa sehem ambayo ni mgeni jichanganye na wahuni (benchi la ufundi) wa maeneo husika wakupe abc za unayetaka kumuoa, ukijumix ukaenda kichwakichwa unaweza angukia pua.
  8. Planett

    Kataa kabisa urafiki au mahusiano ya kawaida na Askari Polisi

    Mkuu upo sahihi 100% polisi sio kabisa yaani. Kuna mwanangu alikua na rafiki polisi wakikutana sehem za starehe anampiga ofa za kutosha, mishemishe kitaa wapo pamoja ila siku mwana alipopata msala the same polisi akamshushia vioo akamtreat kama total stranger ambae hata hawajawahi kujuana...
  9. Planett

    Jirani kanikwaza sana kajenga fensi

    wewe ni ombaomba acha hiyo tabia, zama za kuomba moto / chumvi zishapitwa na wakati dogo.
  10. Planett

    Best Song: Superstar - Jay Melody 🔥🔥🔥

    Ja melody hajawa hyped vya kutosha ila ni bonge la talent. Mond kama sio kuogopa kufunikwa angemsign Jay kuliko kale kajamaa alikokaokota sijui wapi huko.
  11. Planett

    DOKEZO Uongozi wa The Guardian haujatulipa mshahara miezi mitano lakini Raia Wa kigeni wanalipwa kama kawaida

    No offence ila nadhani inatakiwa uwe wa kitofauti sana KUSOMA/ KUNUNUA MAGAZETI siku hizi so possibly lazima biashara iyumbe tuu.
  12. Planett

    Yawezekana Miundombinu ya DSM ni Bora kuliko ya Nairobi Mafuriko yamedhihirisha hilo, tunaishukuru CCM na Rais Samia

    Mkuu miundombinu yetu ni bora kuliko ya Dubai na China usisahau hilo. CCM hoyee!
Back
Top Bottom