Kwa hiyo aliyesoma private ndiye mzima na aliyesoma serikali ndiye mlemavu.
Nimesema hiki ni kiwango kidogo kabisa cha kufikiri na nimetoa maelezo mengi na ushahidi mwingi kwamba unayemwita mlemavu anaweza asiwe mlemavu na unayemwita mzima anaweza asiwe mzima
MAGUFULI HAWEZI KUWA SAHIHI KATIKA HILI LA MIKOPO.
Kabla ya kuanza kujadili kauli hii ya Rais kwanza niorodheshe #interesting_facts katika swala hili.
1. Je uliwahi kujua kamba pesa inayotumika kusomesha wanafunzi vyuo vikuu na VETA ni pesa inayotolewa na shule binafsi ikiwemo na makampuni...
Kura za wajumbe bado hazijapigwa mpaka tarehe 19/12/2016. Na kama kura zitahesabiwa upya na kutoa matokeo tofauti basi huenda swala hili likafika mahakamani na kuamriwa mshindi wa kura halali katika hayo majimbo. Na kama Clinton kashinda basi Trump atapokonywa hayo majimbo na Urais unahamia kwa...
hii ndio nini?
hakuna mchango wa sare na haukuwahi kuwepo popote.
hizo zilikuwa biashara za kuwalazimisha wanafunzi kununua sare za shule katika miradi ya walimu kwa bei kubwa na misare ya ovyoovyo.
sare ni lazima kila mwanafunzi kuwa nayo ila sasa washone wenyewe makwao.
wewe hujielewi kabisa.
hapa tunaongelea watu kugushi vyeti wewe unatuambia habari za watu ambao hawakugushi na serikali inajua hivyo na wala hawana hivyo vyeti.
tunaongelea waliogushi siyo watu waliopata ruhusa ya kusomea fani hiyo huko nyuma bila kuwa na qualification zilizopo sasa...
hakuna ndege duniani yenye uwezo wa ku operate mbele ya S 400 hata hiyo F 22 raptor ya marekani haidhubutu na hata SU 34 na 35 za Urusi hazina ubabe huo mbele ya S 400.
Ingekuwa S 300 ningekuelewa kuna ndege chache kama hizi zinaweza kuoperate lakini bado katika high risk kwa kuwa bado hata s...
wakiamua kutract vyeti kwa system mbona watadaka wengi wengi.
NECTA wanasystem tayari.
wakiambiwa wote wawasilishe namba ya vyeti vyao na taarifa za vyeti vyao afu NECTA waingize kumarchisha matokeo wapo watakodakwa kibao. Hasa waliotoa vyeti mtaani.
wanaotumia cheti kimoja zaidi ya mtu...
hakuna watu feki wewe.
kuna vyeti feki.
ufeki wa cheti unatokana na sababu mbalimbali
mtu kuwa na cheti ambacho hakitoki NECTA bali ni cha kuunda mtaani.
mtu kuwa na cheti feki kinachotoka NECTA ila kafanya mchakato wa kukipata.Ukifatilia details ikiwa ni pamoja na uhalali wa mtu...
ina maana hujui maana ya kugushi ?
hawa wote wapo katika kundi la kugushi vyeti.
kufanyiwa mtihani na kufaulu ni sehemu ya kugushi
nao wakibainika waondolewe tu.
ukibainika hujui kusoma wala kuandika ila umepita unafutwa shule.
na mara nyingi hawa huishia kupata 0 form four na...
kwanza ujue kuwa hizo kazi nyingi mbovu zinasababishwa na hao waliofoji vyeti. MAKANJANJA.
usitake kuwaaminisha watu kuwa wenye vyeti halali ndio wanasababisha kujengwa kwa miundombinu mibovu na majengo mabovu afu wenye vyeti kwa kufoji ndio wanajenga vitu vizuri. Huu ni upuuzi wa hoja...
yaani upite form four kihalali,form six mpaka chuo afu uwe hujui kuandika barua ya kawaida kuomba kazi? huyo ndio wale wa vyeti feki.
labda kuandika barua kama professional hapo sawa.
mfano huwezi kulazimisha kila aliyesoma Physics,Chemistry na Biology aandike barua nzuri sawa na aliyesoma...
wataisoma namba.
afu wafanyakazi kama hawa ndio wanasababisha wenzao waumie.
hawa hata ukitokea mgomo wa Madaktari na manesi kudai kuboreshwa maslahi huwa hawadhubutu kushiriki mgomo.
wao wanaenda kazini kama kawaida kwa kuwa ajira ikiondoka ndio kwa heri tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.