Recent content by Makorokoro Bondeni

  1. Makorokoro Bondeni

    Kwa wataalamu wa siasa za kimataifa mtusaidie

    Yah,yaani likionekana jina lako kama wameona kinyesi.
  2. Makorokoro Bondeni

    Kwa wataalamu wa siasa za kimataifa mtusaidie

    Hakuna hathari zozote zitakazo wapata hao jamaa kama hawata safiri kwenda marekani,kama unatulia zako nchini kwako poa tu.
  3. Makorokoro Bondeni

    Zelensky: Hakuna nchi inayoweza kustahimili vita na Urusi peke yake

    Hilo linajulikana wazi kuwa hakuna aneyeweza kusimama na russia kwa cha mtu mbili,na hata mkija mande mjiangalie.
  4. Makorokoro Bondeni

    Watanzania wakiwa Gaza wakipika chakula na kugawa

    Hongera kwao watanzania wenzetu
  5. Makorokoro Bondeni

    Ukraine wapiga radar ya nyuklia ya Urusi, hapa kama wameenda mbali sasa

    Hata akipiga rada sema kichapo anachochezea cha mwana ukome mchambia ndimu
  6. Makorokoro Bondeni

    IAEA: Iran atakuwa na Bomu la Nuclear Wiki moja kuanzia leo tarehe 27 May 2024

    Kila siku mnasema bado wiki moja,si mseme tu na wao wanalo.
  7. Makorokoro Bondeni

    Picha: Wafuatao ni samaki tunaowapata sana hasa ukanda huu wa Lindi beach

    Dah, hapo naondoka na dagaa mchele pweza na kamba.
  8. Makorokoro Bondeni

    Nini kinafanya Sekta ya Ngozi nchini ishindwe kukua kulinganisha na nyingine?

    Tuko nyuma sana kwenye kuitumia ngozi, ukilinganisha na majirani zetu kenya.
  9. Makorokoro Bondeni

    INAUZWA Manual feeder inauzwa

    Ndiyo kidude gani hicho?
Back
Top Bottom