Sku naambiwa hongera Sasa unaitwa baba kwa njian ya sms , ilikua niko first year nko kwenye kipind Cha medical psychology hakika kile kipind sikukielewa nikaamua nikalale kwanza hostel nilijawa na wenge la hatari
UDOM ndo chuo pekee kinachopeleka wanafunzi wake clinical area kwa mwaka mzima , DRs na Nurses, that is why they have a lot of exposure, hivyo experience wanapata za kutosha
Ungekutana na products ya intern Nurses na intern DRs kutoka UDOM , ungeiweka UDOM ya kwanza ,they have a lot of exposure in clinical setting and a lot of confidence 💪💪💪 UDOM is the best in Tz kwa course za afya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.