Recent content by kwetugt

  1. kwetugt

    Diamond Platnumz: Niliibiwa Tsh. Bilioni 4 niliyotaka kununulia ndege

    Ndenge zote ni mtumba "(Mtumba) "
  2. kwetugt

    Ushauri: Hataki kuolewa na mimi, anaogopa kuchekwa kuolewa na "asiyesikia"

    Kuna rafiki yangu wakike anakufaa maana hata yeye anatatizo kama lako
  3. kwetugt

    Smartphone brands zenye market share kubwa zaidi duniani

    Nilifuta second space vipi kuna njia ya Kurejesha au ndio basi maana awali nilikua kama natumia simu mbili lakini bahati mbaya sehemu ya pili nilifuta.. Simu yangu ni redmi S10
  4. kwetugt

    Msaada tiba ya macho

    Yanaweza saidia
  5. kwetugt

    Msaada tiba ya macho

    Kama kuna mama ananyonyesha mwambie amkamlie maziwa machoni kesho ataamka yuko poa
  6. kwetugt

    Xiaomi 12S Ultra ni moto wa kuotea mbali

    450000/= bila punguzo
  7. kwetugt

    Xiaomi 12S Ultra ni moto wa kuotea mbali

    Pesa unayo Nikuachie yangu Redmi S10
  8. kwetugt

    Hakuna biashara inafilisi kama uchimbaji wa madini

    Soma kwanza uelewe maelezo yake mie naona huenda umekimbilia kumjibu bila kumuelewa, we unashangaa mteja kutaka kuchukua kiloba kwa milioni 18? Lakini mwenyewe alijua atapata zaidi lakini akiambulia gm28 kwani tatizo nini kwenye biashara ya madini au hujui biashara ya madini ni kamari? Kuna...
  9. kwetugt

    Hakuna biashara inafilisi kama uchimbaji wa madini

    Inaonekana hujui vizuri hii biashara ya madini, ngoja nikupe mwanga kidogo sababu mie nimezaliwa chimbo na hatujui kingine zaidi ya dhahabu. Machimboni maabara ya kwanza hufanywa na Mchimbaji mwenye yaani kupiga chabo kwa maji na kuangalia kiasi cha dhahabu na kujiridhisha kulingana na tathimini...
  10. kwetugt

    Ni kipi humfanya mtu kupata GPA ndogo chuoni? Kati ya mwenye GPA ndogo na kubwa ni yupi ana uwezo mkubwa?

    Acha uongo ndugu yangu kuna jamaa yangu aliingia na E flat nao ni ufaulu mkubwa tena siyo huyo na mwingine alikua na EES
  11. kwetugt

    Ni kipi humfanya mtu kupata GPA ndogo chuoni? Kati ya mwenye GPA ndogo na kubwa ni yupi ana uwezo mkubwa?

    Kwanza hata mie najilaumu sana kwanini niliacha kazi na kuamua kurudi shule? Hakika katika mambo nilifanya ya hivyo ni hili la kuamua kurudi darasani et kutafuta makaratasi tu na ajabu baada ya kurudi nakuta nilowaacha wako vizuri kimaisha sana inaniuma sana sijui hata makaratasi yatakuwa hela...
  12. kwetugt

    Ni kipi humfanya mtu kupata GPA ndogo chuoni? Kati ya mwenye GPA ndogo na kubwa ni yupi ana uwezo mkubwa?

    Duh! pole sana hivi unajua hata hii elimu tunayoisoma walioleta hawakuwa na hii mambo unayoona ya maana? Watu walioleta hii elimu hawakusoma pahala popote mbali walikua na akili tu hivyo kumbuka ndugu kuna tofauti kati ya kusoma na akili, maana mtu anaweza kuwa kasoma sana tu lakini akakosa...
  13. kwetugt

    Ni kipi humfanya mtu kupata GPA ndogo chuoni? Kati ya mwenye GPA ndogo na kubwa ni yupi ana uwezo mkubwa?

    Uko sawa kabisa mie nakumbuka nilipohitimu kidato cha sita nilibahatika kupata ajira Mgodini kampuni kubwa tu hapa Tanzania, niliingia kama mine trainees ( Mchimbaji mwanafunzi) nilikaa kwenye hiyo kazi mda tu huku najipanga kurudi shule siku moja nikaona tangazo la kazi humo ndani ya kampuni...
  14. kwetugt

    Waturuki wanaojenga SGR

    Hata hivyo walimsaidia kama bado yupo kazini huyo jamaa yako, kawaida pahala popote kiwandani si ruhusa kuendesha mtambo wowote bila kibali cha kuendesha huo mtambo adhabu yake ni kufukuzwa kazi bila mashauriano yoyote na kama na huyo Dereva alimruhusu huyo jamaa yako wote lazima waondoke.
Back
Top Bottom